kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,521
- 2,747
Mkuu achana na huyo pimbi, mshauri aisaidie timu yake kupata hela ya chakula cha wachezaji kabla ya game yao ya leo manake mpaka muda huu wachezaji wa Yanga pamoja na bench lao la ufundi hawana uhakika wa chakula cha mchana kabla ya game yao na ruvu shooting.Najua mkuu Lakini huyu poyoyo ameanza matusi. Wengine kama yeye wakionyeshwa ustaarabu hawaelewi.