Yaliyojiri Ligi ya Mabingwa Africa : Nkana FC yaichapa Simba SC kwa magoli 2-1

Yaliyojiri Ligi ya Mabingwa Africa : Nkana FC yaichapa Simba SC kwa magoli 2-1

Muda bado, Simba bado wana utulivu mkubwa kuwawezesha kupindua ubao
 
Bado simba tutasawazisha na kushinda
 
Jamani natumia Laptop ni youbute gani inayoonyesha mpira huu wa Simba na Nkana,
 
Kiungo cha Simba kimekufa...wanacheza mavi mavi tuuu

Second half kocha inabid afanye sub ya mapema sanaaaaa

Kichuya akiingia,naiona kadi nyekundu kwa Nkana maana jamaa wanatumia nguvu balaaah

All in all,jamaa wanaongoza tu..ila so far sijaona mpira wao wa kutishaaa hata kidogo...

Hawa Nkana weupe saaana..Simba watafute goli la ugenini tuu..wakiweza wawapige kabisa uko uko

Mie ni Yanga damu.....ILAAAAH UZALENDO KWANZAAA!!!
 
Kiungo cha Simba kimekufa...wanacheza mavi mavi tuuu

Second half kocha inabid afanye sub ya mapema sanaaaaa

Kichuya akiingia,naiona kadi nyekundu kwa Nkana maana jamaa wanatumia nguvu balaaah

All in all,jamaa wanaongoza tu..ila so far sijaona mpira wao wa kutishaaa hata kidogo...

Hawa Nkana weupe saaana..Simba watafute goli la ugenini tuu..wakiweza wawapige kabisa uko uko

Mie ni Yanga damu.....ILAAAAH UZALENDO KWANZAAA!!!
Hi gemu ni physical Sana Sina hakika Kama kichuya ataweza maana hata kagere na miguvu yake wanampama na kudondoka
 
Ligi ya mabingwa Africa round ya Kwanza Leo inatimua vumbi Kati mashetani wekundu kutoka Zambia Nkana Red Devils na wekundu wa msimbazi Simba. Mshindi wa jumla katika michezo 2 watakayocheza atafuzu moja kwa moja hatua ya makundi huku atakaeshinda atupwa kwenye kombe la shilikisho barani Africa.
Wachambuzi wa soka barani Africa waipa wanaipa nafasi kubwa kushinda mshezo huu wa Leo kutokana na kuwa na kikosi Bora huku wakitandaza soka maridadi la kuvutia kiasi kufanishwa na kikosi Cha Manchester city.
Simba Leo itawategemea golikipa namba moja wa taifa stars aishi manula, akilindwa na mchezaji kiongozi Paschal Wawa, katikati mkude kotei na Chama watakuwa wakitawala kwa pasi fupi fupi za uhakika na mbele okwi, kagere na Bocco wakiongoza mashambulizi ya uhakika.
Watabiri wa masuala ya kubet wameipa Simba ushindi mnono.
Mchezaji tishio wa Nkana ni Walter Bwalya Simba wamepewa tahadhari ya kuwa makini nae. Pia mtanzania Hasan kessy atakuwa akiiwakilisha Nkana FC
Usikose mtanage huu hapa hapa JF mida ya saa 10 kamili jioni na saa 9 kwa muda wa Zambia
View attachment 968731
msimu huu timu ikitoka raundi ya kwanza hakuna kucheza Confederation
 
Back
Top Bottom