Yaliyojiri Mahakama Kuu divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, kesi ya Mbowe na wenzake - 30 Nov 2021

Yaliyojiri Mahakama Kuu divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, kesi ya Mbowe na wenzake - 30 Nov 2021

Sasa kama huyu shahidi wa leo,eeh Mungu awasaidie tu lakini.
 
Mawakili wa mbowe wanachelewesha tu kesi,mara diary mara GPO badala ya kujikita kwenye kupangua kesi
Yaani kuna siku alikua anapinga maelezo ya askari kwamba wakati wa tukio alikua Arusha kikazi na sasa yupo oysterbay,
Kibatala hajui kwamba askari anaweza kuwa yupo mbinga lakini anafanya upelelezi chake chake?
Naomba unisaidie kuona ushahidi wowote au kielelezo chochote kinachoonyesha 'kula njama kutenda vitendo vya kigaidi'. Najaribu kutafuta kila siku sijafanikiwa. Labda ni mimi sielewi.
 
Mawakili wa mbowe wanachelewesha tu kesi,mara diary mara GPO badala ya kujikita kwenye kupangua kesi
Yaani kuna siku alikua anapinga maelezo ya askari kwamba wakati wa tukio alikua Arusha kikazi na sasa yupo oysterbay,
Kibatala hajui kwamba askari anaweza kuwa yupo mbinga lakini anafanya upelelezi chake chake?
Kuna Mahakama mbili. Mahakama ya Jaji na Mahakama ya Jamii. Haya mapingamizi hata yakitupwa na Jaji, jamii haiyatupi. Na Mahakama kubwa zaidi ni ya jamii. Huu ushahidi nao utakataliwa na Jaji lakini jamii itajua kuwa Msemwa alisema uongo. Watamfunga Mbowe lakini watajua huko mbele itabidi kutumia nguvu za ziada kubaki madarakani kwa sababu watu wengi watakuwa hawana imani nao.

Amandla...
 
Kwako wewe haki ni kina Mbowe kushinda!!

Ushahidi wa upande wa mashitaka ni wa wazi sana. Mawakili wa utetezi wamepwaya sana. Hivyo tuiache mahakama itende haki.
Upi huo? Mbona sioni? Nafuatilia kila siku kwamba labda nitapata, lakini hadi leo sijaona mfano - mawasiliano, vilipuzi na mikakati au matayarisho ya 'kula njama kutendo vitendo vya kigaidi'. Naomba mnisaidie, labda ni mimi tu nashindwa kuelewa vizuri ushahidi unavyojieleza.
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Nimeangalia majina/ID za waliokupa "like", kwa kweli Tanzania ina "vilaza" wakubwa wengi sana.
 
Kuna Mahakama mbili. Mahakama ya Jaji na Mahakama ya Jamii. Haya mapingamizi hata yakitupwa na Jaji, jamii haiyatupi. Na Mahakama kubwa zaidi ni ya jamii. Huu ushahidi nao utakataliwa na Jaji lakini jamii itajua kuwa Msemwa alisema uongo. Watamfunga Mbowe lakini watajua huko mbele itabidi kutumia nguvu za ziada kubaki madarakani kwa sababu watu wengi watakuwa hawana imani nao.

Amandla...
Kiongozi, mbona mimi sioni hivyo? Mimi focus yangu ni 'kula njama kutenda vitendo vya kigaidi' na hadi leo hii nimeshindwa kuona hivyo au sifuatilii vizuri kesi yenyewe ingawa kila siku jioni natumia kama nusu saa kusoma kilichoandikwa kuhusu mwenendo wa kesi kwa siku husika?
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Wewe akili yako inatosha kushangilia watawala tu,yanayojadiliwa hapa yako juu sana ya uwezo wako wa kufikiri. Waachie wenye akili timamu wajadili.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mawakili wa mbowe wanachelewesha tu kesi,mara diary mara GPO badala ya kujikita kwenye kupangua kesi
Yaani kuna siku alikua anapinga maelezo ya askari kwamba wakati wa tukio alikua Arusha kikazi na sasa yupo oysterbay,
Kibatala hajui kwamba askari anaweza kuwa yupo mbinga lakini anafanya upelelezi chake chake?
Nenda kanywe mataputapu,haya ni mambo ya wenye akili timamu tu. Kapu la mjanja mjinga hatii mkono.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Umeandika marefu af hayana maana 😆
 
Kuna Mahakama mbili. Mahakama ya Jaji na Mahakama ya Jamii. Haya mapingamizi hata yakitupwa na Jaji, jamii haiyatupi. Na Mahakama kubwa zaidi ni ya jamii. Huu ushahidi nao utakataliwa na Jaji lakini jamii itajua kuwa Msemwa alisema uongo. Watamfunga Mbowe lakini watajua huko mbele itabidi kutumia nguvu za ziada kubaki madarakani kwa sababu watu wengi watakuwa hawana imani nao.

Amandla...
Jamii ni Nini?!?! Hivi Ni Watanzania wangapi wanafuatilia kesi hii?!
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Najua Wana CCM wengi ni wapumbavu lakini nchi hii itageuka kioja kama Kila mpumbavu ataanika UPUMBAVU wake hadharani kama wewe.
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Hiyo siasa unayoiona kwa wengine naona kama unafanya 'projection' - yaani kitu ambacho unacho wewe mwenyewe hukioni na badala yake unakiona kwa wengine wasiyonacho. Hapa 'projection' ni neno nimelitumia kama linavyotumika kwenye psychology.
 
Mawakili wa utetezi siyo kwamba wanapoteza muda.Wanachofanya ni kukusanya kila kitu ambacho anaamua bila kufuata sheria za uendeshaji kesi ili ziwasaidie hapo baadaye,maana inaonekana kabisa jaji anatembea na hukumu ndani ya briefcase.Anachosubiri ni muda tu.
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Kesi ni ya UGAIDI, lakini toka shahidi wa kwanza mpaka aliyepo Sasa, wote wanaongelea ukamataji, uwekaji mahabusu, kuandika maelezo, kusafrisha washitakiwa, kuharibika kwa gari njiani, kula supu na nyama choma, kunywa MO energy....Sasa shahidi gani ataongelea UGAIDI? Sasa huko ndo kujipanga kwa Jamhuri?
 
Kuna Mahakama mbili. Mahakama ya Jaji na Mahakama ya Jamii. Haya mapingamizi hata yakitupwa na Jaji, jamii haiyatupi. Na Mahakama kubwa zaidi ni ya jamii. Huu ushahidi nao utakataliwa na Jaji lakini jamii itajua kuwa Msemwa alisema uongo. Watamfunga Mbowe lakini watajua huko mbele itabidi kutumia nguvu za ziada kubaki madarakani kwa sababu watu wengi watakuwa hawana imani nao.

Amandla...
wameshindwa mbowe akiwa nje watawezaje akiwa jela? watu ni wanafiki. Hii inaonyesha kuwa wapinzani hawana watu, wanawatumia watu kwa manufaa yao tu ya kupatia ubunge na ruzuku. kama wangekuwa na watu basi pangechimbika. Zuma ana watu, alipokamatwa watu wake walijitokeza.
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Umeandika ugoro mtupu
 
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe, mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii.

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa, kwasababu atainajinsi mahakama. Hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu
Hebu rudia kusoma ulichoandika!
 
Back
Top Bottom