Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
This tyme atakuwa Ester aliyetajwa jana na yule mama muuza mbege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Mungu awapofushe!MUNGU akasimame na Mbowe na wenzake haya makatili yapigwe pigo kubwa sn hata ya kufiwa na watoto
Na wakawe vichaaHakika Mungu awapofushe!
Hiii kesi hiii!Etiiiiii?
Wanachezea kodi zetu hawa wapuuziKweli huu ni ujinga unaendelea mahakani muda mchache uliopita walirekebisha jina lake kutoka Frank wakasema anaitwa Fredy asa yeye kajitambulisha kuwa anaitwa ALFREDY yaaani kwanini lakini mahakama zinachezewa kiasi hiki jamani
Kwajiyo wanafahamika kutoka committal proceedings? Na hivyo hata maelezo ya huyu wa Tigo mawakili wa Mbowe wanayo? Any clue Yana substance au porojo?Miongoni mwao 21 ni Polisi
Umeshaanza ule umalaya wako tena.Mungu wa mbinguni akutangulie ulete habari za kweli siyo ushabiki!
Kumbe huyu Ni jike[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..si rahisi kujuaUmeshaanza ule umalaya wako tena.
Huyu mama sijui taarifa hizi za kesi hii hazimfikii?Chief Hangaya acha kucheza na kodi zetu kabisa sisi kama sisi tunaomba uache kuichezea nchi na kesi zisizo na ukweli kwanza ulitakiwa uanze na yule aliekulisha maneno ya uongo kuhusu hii kesi tena kwa kutangaza hadhani ndio urudi kuifuta................ unajitahidi kufuta makosa ya mwenda lakini unaweka makosa mengine tena yenye aibu zaidi
Kuna sauti ya mdau mmoja hapa inasema umeshaanza umalaya wako, umeisikia Bwashee[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mungu wa mbinguni akutangulie ulete habari za kweli siyo ushabiki!
Inaumiza sana mkuu, nikiangalia jinsi wanavyotukamua kwenye tozo acha kabisa,Chief Hangaya acha kucheza na kodi zetu kabisa sisi kama sisi tunaomba uache kuichezea nchi na kesi zisizo na ukweli kwanza ulitakiwa uanze na yule aliekulisha maneno ya uongo kuhusu hii kesi tena kwa kutangaza hadhani ndio urudi kuifuta................ unajitahidi kufuta makosa ya mwenda lakini unaweka makosa mengine tena yenye aibu zaidi
Halafu hela yenyewe inaenda kufanya mambo ya hovyo kabisa kabisa................ haoni hata sasa hivi hana mvuto tena kwma ule wa mwanzo........sio kwenye tozo tuu kila mahali ni malipo acha tuuInaumiza sana mkuu, nikigikiria jinsi wanavyotukamua kwenye tozo acha kabisa,