Mbowe hata wakija wazazi wake ndio wawe polisi, waendesha mashitaka na jaji- atafungwa kwa sababu damu yake ni jinai tupuhii kesi inasemekana mashadi wa kiraia ni 2 tu ... wengine wote ni askari police ambao wote pamoja na mwendesha mashitaka na jaji wa mahakama Kuu wanaripoti na kutii maagizo kutoka mamlaka za juu
Unamulazimisha amujue? Wapo watu hawajui rais was Sasa sembuse mzee wa Machame😃😃😃😃
Kweli wewe NYAMINZI.Mkuu hili ndilo kosa kubwa sana mnalifanya,mwisho wa siku yale yale ya kushangilia PGO ndiyo yatakuja kujirudia hapa.Mnachokiona nyinyi si kile anachokiona Jaji,na siyo tu Tigo,hata Vodacom,Airtel,Hallotel wakati wowote wakitakiwa kutoa ushirikiano kwa Serikali watafanya bila kusita.Huo ndiyo ukweli wenyewe japo ni mchungu.
Tuondolee upumbavu wako humu ndani, unataka kulazimisha tuamini uongo? Juha kabisa wwHaya muheshimiwa mjuaji wa kila kitu,all the best!
Haya muheshimiwa mjuaji wa kila kitu,all the best!
Thank you[emoji3059][emoji3059] maana niliona unanidipu kabisaa[emoji23][emoji23]Ukweli upo wazi kwenye hii kesi mawakili wa upande wa utetezi wanajenga hoja vizuri kabisa na kama ulivyosema sheria muda mwingine ni ngumu kuielewa naimani Jaji atatenda haki, ila niwe mkweli hii kesi ni ya kutengenezwa maana hata mashahidi ambao wako upande wa jamhuri ni hawajui wanaongea nini? Na napata tabu sana sitaki kuamini binadamu tumefikia hatua ya kuapa mbele ya vitabu vitakatifu na kushuhudia uongo.
Yaani hili jambo nilicheka mno. Yaan majina aliyotambulishwa siyo akaja na lakeKweli huu ni ujinga unaendelea mahakani muda mchache uliopita walirekebisha jina lake kutoka Frank wakasema anaitwa Fredy asa yeye kajitambulisha kuwa anaitwa ALFREDY yaaani kwanini lakini mahakama zinachezewa kiasi hiki jamani
Ni mataga mkuu. Hawatumiagi akili. Ni matumbo mbeleWanacoment kwa mihemko tu hwatumii akili
Huko CCM mumejaa vilaza watupuCaution statement ya Adam Kasekwa maana yake ni kuwa amekiri kupanga njama.
Lakini hii habari ya kusajiri line Tigo, kuwa na miamala ambayo haijataja matumizi ya Tigo pesa ni lack of wisdom for prosecution.
Kuna muamala ambao umetaja juu ya kudhamini ugaidi? Kusajili lini Tigo kuna husiana nini na ugaidi.
Taifa halina wasomi kabisa.
We siulipata A ya kiswahili, endelea kukazia hapo hapo.Eti nazan, shaidi, halafu watu humu wanajibizana na mtu Kama wewe
Eti " siulipata" haya Ni maneno mawili yatenganishe please[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]We siulipata A ya kiswahili, endelea kukazia hapo hapo.
Hata mimi wakitamka neno "KANDA SIELEWI" huwa nini maana yake!?Screen short mkuu ameniudhi sn
Mbona Mbowe alidanganya kavunjwa mguu na wasiojulikana kumbe alibugia Faru John?Upo chini sana wewe, na kwa wewe kuwa huko unadhani wengine nao wapo shimoni kama wewe.
Hata huoni anavyoharibu ushahidi anaoutoa kwa kusema uongo ulio wazi mbele ya mahakama?
TISSInashangaza sana wanaotaka kumtupia lawama kijana wa watu,sijui walitaka akatae wakati ni kweli aliombwa taarifa na akazitoa
Nina ushauri kwenu,Mbona Mbowe alidanganya kavunjwa mguu na wasiojulikana kumbe alibugia Faru John?
Alidanganya account zake zilifungwa na TRA kumbe ugonvi wa kifamilia?
Mbona hukudemuka Kama leo?
M
Hatari snHata mimi wakitamka neno "KANDA SIELEWI" huwa nini maana yake!?
Tuwaandalie!
View attachment 1996787
View attachment 1996789
Mzee Nina F ya Kiswahili, so unaweza chukua yote mawili.Eti " siulipata" haya Ni maneno mawili yatenganishe please[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ni kweli. Lkn huenda akawa Hamjui ila anamfahamuMkuu mtu akiangalia ataona umeandika bonge la point, ila una mwanasheria anayetoa ushahidi wa kujidanganya kwa kiwango hiki. Eti mwanasheria anasema hamjui Mbowe, yaani anaona akisema anamjua basi ataonekana msaliti. Simaanishi Mbowe ni maarufu sana, ila kwa mtu kama yeye kusema hamjui Mbowe ni ujuha na utoto.