mangyi
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 723
- 877
Tuombe Mungu sana hawa jamaa wanaotuhumiwa pamoja na Mbowe wasije wakawa watu wa system. Maana hawashindwi.
Hili swala nimelifikiria leo. Isije ikawa jamaa alipelekewa watu wa TISS kujifanya ni walinzi wake afu mwisho wa siku wakiri kuhusika na huo ugaidi unaotajwa then wale namba wote baadae wao watolewe kwenda kuendelea na mbinu chafu.
Dhuluma huwa na mbinu nyingi ila mwisho ukweli husimama.
Hili swala nimelifikiria leo. Isije ikawa jamaa alipelekewa watu wa TISS kujifanya ni walinzi wake afu mwisho wa siku wakiri kuhusika na huo ugaidi unaotajwa then wale namba wote baadae wao watolewe kwenda kuendelea na mbinu chafu.
Dhuluma huwa na mbinu nyingi ila mwisho ukweli husimama.