Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ya Mbowe na wenzake. Superitendent Jumanne Malangahe atoa ushahidi, Kesi imeahirishwa hadi Nov 9, 2021

Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ya Mbowe na wenzake. Superitendent Jumanne Malangahe atoa ushahidi, Kesi imeahirishwa hadi Nov 9, 2021

Hii kesi hii.... haimwachi mtu salama...
Gov kupeleka mashahidi 20+, wamedhamiria..
Kesi za kisiasa ndivyo zinavyotengenezwa, hakuna jipya. Ukifuatilia jinsi Kagame wa Rwanda anavyowafunga wanaompinga utaona Samia alichojifunza ziara ya Rwanda, alienda kuchota (udikteta styles) kule.
Tanzania ya Nyerere imeangamizwa na hawa viumbe wanaojiita watawala.
 
Tatizo la mikesi kama hii hata wanaotumika hawajui kama wanatumika, hao mashahidi inawezekana kabisa walikuwepo katika hayo matukio yote bila wao kujua ni set up na wengi walikuwa wanafanya kazi zao za kila siku, hizi episodes kuna watu nyuma yake walishaandika kila kitu na ni wataalam kwelikweli na wamesomea na ujuzi wa miaka mingi sana, inawezekana hata hao wakuu wa mapolisi hawajui lolote zaidi ya kuchukua amri tuu na kupewa ushahidi kutoka juu, haya mambo ya state crime/ sponsored terrorism kwa raia wake yapo sana na especially kwenye nchi zetu maskini za kidkteta uchwara, nchi nyingi zilizoendelea walishaachana na huu upuuzi kwa sababu wana mahakama zao za uhakika na good lawyers all around wanaoweza kuiaibisha serikali anytime, kwa hii kesi sioni upande wa mashtaka wakithibitisha chochote kuna ugaidi wowote ulitokea au ulitaka kutokea, waliotengeneza hii case not very smart
 
Laah nilipitiwa kidogo ckujua kumbe leo tumerudi RAU MADUKANI tena.... ha ha ha

Kesi kama hizi ni aibu kwa taifa linalojinasibu lipo na uhuru toka 1961, this shows how we can't even manage our self, ni kama mji ambao hauna sheria, kila mtu anarudi muda anaotaka, kubakana humo humo, muda wa kula haujulikani.. hii ndiyo Tanzania.
 
Baada ya Ijumaa kesi kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani.

Leo Jamhuri inaleta shahidi mwingine. Kuwa nami.

=====

Jaji ameingia

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa

WS Robert Kidando anasimama

Jaji: Ndiyo

Robert Kidando anatambulisha Jopo la mawakili wa serikali

  1. Abdallah Chavula
  2. Jenitreza Kitali
  3. Pius Hilla
  4. Nassoro Katuga
  5. Esther Martin
  6. Tulimanywa Majige
  7. Ignasi Mwinuka
Wote wanawakilisha Jamhuri katika kesi hii...

Wakili Peter Kibatala nae anasimama na anatambulisha Jopo la mawakili wa upande utetezi.
Hii nchi ina chekesha sana. Yaani mbunge wa Ccm ana kamatwa na bunduki zaidi ya kumi sio gaidi. Bastola yenye risasi tatu imekuwa gaidi. Huu uonevu iko siku
 
Shaidi wa leo anaoneshwa majibu kabisa kwenye karatasi, mpaka JaJiCCM anaona aibu, hii nchi Magufuli aliiangamiza pakubwa.
Magu hakuwa Rais, na angetawala miaka 30 zaidi kama CCM walivyotaka hii nchi ingekuwa zaidi ya Somalia, the guy was shortly not a leader - alitawala nchi yetu kishamba sana imagine kumpa mamlaka ya kishenzi Sabaya kutesa watu - useless kabisa. bora amekufa (Mungu nisamehe )
 
Baada ya Ijumaa kesi kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani.

Leo Jamhuri inaleta shahidi mwingine. Kuwa nami.

=====
Kama huo ukamataji ulishapangwa na watuhumia walishajulikana walikokuwa ilishindikana nini kuchukua viongozi wa mtaa walikokuwa na wao washudie tangu ukamataji ikajulikana watuhumiwa walikuwa na vitu gani walivyovibeba? Sasa wameshawakamata ndiyo wanaenda kuwatafuta mashuhuda je kama waliwawekea hiyo silaha kabla hao mashuhuda hawakufika kuona?
 
Kama huo ukamataji ulishapangwa na watuhumia walishajulikana walikokuwa ilishindikana nini kuchukua viongozi wa mtaa walikokuwa na wao washudie tangu ukamataji ikajulikana watuhumiwa walikuwa na vitu gani walivyovibeba? Sasa wameshawakamata ndiyo wanaenda kuwatafuta mashuhuda je kama waliwawekea hiyo silaha kabla hao mashuhuda hawakufika kuona?
Maswali ni mengi bila majibu. Kwanini Askari wote waliokwenda kuwakamata watuhumiwa wametoka nje ya mkoa wa K'manjaro?? Mbona hawajamshirikisha hata mmoja na ndio wanaofagamu maeneo yale???
 
Shahidi anatajiwa majibu asije akajichangaya adi judge anaona sio poa kabisa ihiiiiii bhagoshaa
 
Maswali ni mengi bila majibu. Kwanini Askari wote waliokwenda kuwakamata watuhumiwa wametoka nje ya mkoa wa K'manjaro?? Mbona hawajamshirikisha hata mmoja na ndio wanaofagamu maeneo yale???
Hata kamati ya ulinzi na usalama mkoa haijui achilia mbali ile ya wilaya walikokwenda kukamata watuhumiwa! Yaan magaidi wako tayari hadi kuua lakini kamati ya ulinzi na usalama haijui adi wameenda kuokolewa na kina kingai kutoka arusha na arumeru, wanataja watu watatu kuwa pamoja lakini walikamata wawili, mbona yule wa tatu hawanyooshi maelezo? Eti akapotea kimazingara watu hawakuwa na hata Mia mbovu mfukoni alielekea wapi??? Mwingine akasema walikuwa kibanda cha kusajili line, wengine grocery, mwingine kibanda umiza, mahita akasema umati ulikusanyika watu wakajaa pale wakachagua mashahidi leo anasema akaenda kwenye vibanda vyao kutafuta watu mhhhh!
 
Magu hakuwa Rais, na angetawala miaka 30 zaidi kama CCM walivyotaka hii nchi ingekuwa zaidi ya Somalia, the guy was shortly not a leader - alitawala nchi yetu kishamba sana imagine kumpa mamlaka ya kishenzi Sabaya kutesa watu - useless kabisa. bora amekufa (Mungu nisamehe )
Umekosea wapi kwani
 
Back
Top Bottom