Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022

Tusubiri nani kawekewa mtego
 
Huyu jamaa amekuwaje luteni wa jeshi kwa cheti cha form 4 [emoji849][emoji15]

Luteni kilaza sana

Amepita kweli TMA monduli huyu !?

Kasomea wapi huo uafisa.

Mbona analiabisha jeshi kuwa na afisa kilaza kama huyu!?

Aisee[emoji15]
Ndio anaenda mning'iniza Mbowe
 
Ok,let's wait and see what is going to happen DUDE!
 
ndg yangu asb nusu nindoshe laptop yangu nilicheka chekasana nikasema kweli dunia tambara bovu

Huyu jamaa nadhani kakata tamaa
Jamaa alisema last week eti parking ya staff ni "park at your own risk"

Huyu jamaa kwa kifupi ni anapewa script sasa anajikuta anasahau ndio maana hadi aliangua kicheko.
 
Nyie ni Nani Aliye Iba Sim Card Luteni?

Watu hawana Huruma Wanaiba Hadi Sim Card Ya Luteni.
Simu card hazikuibwa ila zimefichwa kimkakati. Si unaona hata calls wanaonyesha logs tu sauti zimeondolewa. Wao walichokuwa wanatafuta ni mambo ambayo yatasapoti tuhuma zao. Ktk hizo simu kulikuwa na mambo mengi tu ambayo yalikuwa yana crush vibaya sana tuhuma zao ndio maana wamezificha hizo simu card na kuondoa sauti kwenye calls
 
Mkuu inauma sana makomandoo wetu walikua wanapambana na hali zao akawaita kuja kuwauza wakati anajua kabisa ameshaenda kuchoma kwa DCI dah....Kwa nn wasingetafuta maargent wwengine au hao hao kina adamoo wangewapa mchongo kua kamchunguzeni mbowe km anataka kuleta ugaidi ila wakauzwa mazima na kipigo juu tena kipigo heavy kilicho acha chuki ndani ya mioyo yao
 
Huo ndio uhalisia wa ccm
 
Aisee dunia hii acha watu wapate laana. Kumsababishia mtu maumivu kiasi kile kwa manufaa binafsi. Hizi hela ukiona watu wanakula bata acha wale wanazipata kwa njia nyingi sana.
 
24July ndio mwisho wa mawasiliano. 12 aug alikabidhi simu zake zote.
 
Hi
Hili linaendelea na kesi hii imekuwa chachu zaidi
 
Tuwape kongole jamani mawakili wa upande Wa utetezi kwa sababu wanafanya kazi kubwa na ngumu sana kumwokoa M/Kiti toka ktk midomo ya hawa simba wala watu...
Nasubir kwa hamu Uzi maalumu wa kuwachangia walau Kila Wakili laki 5 this. Wknd wanywe kamvinyo
 
Urio hayupo sawa,wampeleke kwa wanasaikolojia kabla hajaharibikiwa zaidi.

Wana Lumumba wanaona yupo fit kabisa...

Kuna sheria zamani walikuwa wanasema huruhusiwi mtu kucheka mahakamani,,, sijui ilikuwa kweli au stori za vijiweni
 
Hivi hii kesi imo kwenye kile kitabu kilichotolewa juzi au wameona wafiche namna serikali ilivyoangukia pua?

Na kwanini wiki chache baada ya hii kesi nyuzi zilikuwa combined na kuwa pinned jukwaani ila baadae JF wakaziunpin??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…