Kwanza ameulizwa:
Kibatala: Ulisema Kwamba Mohammed Ling'wenya baada ya Kufika Kwa Mbowe Tarehe 24 hujawahi Kuzungumza naye
Shahidi: Hapana, Nilimtafuta bila Mafanikio
Kibatala: Je unasema Kwamba Mbowe aliacha Kuwasiliana na wewe Tarehe ngapi
Shahidi: Tarehe 24 July 2020
Kibatala: Kwa hiyo Kwenye Kielelezo namba P 34 Kuna Meseji ambazo Ulimtumia Mbowe Hakujibu?
Shahidi: Zipo
Kibatala: Meseji hizo Ulimuonyesha Mheshimiwa Jaji ambazo hazikujibiwa na Mbowe Kwa Kuongozwa na Mawakili wa Serikali
Shahidi: Sikuonyesha
Kibatala: Vipi Kuhusu Calls, Ulimuonyesha Mheshimiwa Jaji
Halafu akaja kuuliwa kiujanja:
Kibatala: Ulipo surrender Simu zako zote toka Tarehe 12 August 2020, Ulifafanua Kwa Jaji Kuwa Ulikuwa unatumia Simu gani
Shahidi: Hapana Siku fafanua
Simu alikabidhi tarehe 12.8.2020 halafu akaendelea kuzitumia tena tarehe 24.8.2020. Huyu jamaa anastahili kuwa mshtakiwa wa kwanza halafu wenzake waliokuwa anashirikiana nao kuchonga mashtaka waunganishwe kama washtakiwa