Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022

Mbona kama Urio anasaffer from short term memory loss, anaulizwa swali hili anajibu ivi.
 
Habari Wakuu,

Leo tena shahidi wa 12 Denis Urio anaendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3.

Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki:Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022


Fuatana nami kupata yatakayojir...
Kuliwahi kuwa na Kilaza, Kihiyo...
Akaja Bashite... Sasa yupo Urio na Kingai.
Ni majina ambayo ukiitwa watu wanarudia kukucheki mara mbili mbili..
 
Habari Wakuu,

Leo tena shahidi wa 12 Denis Urio anaendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3.

Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki:Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022


Fuatana nami kupata yatakayojir...
Luteni Urio ni turning point kwa watuhumiwa na yeye binafsi.Komando hatakiwi kuwa msaliti na ajifahamu kuwa ni kiongozi na mwalimu wa Adam,Bwire,Ling'wenya,Lijenje na wengine wanaoteswa na Kikosi Maalum.

Lazima atuthibitishie uzalendo wake kwa nchi kwa kuzingatia viapo vyake.Atubu ili awe Huru kwa kutenda Haki.
 
Habari Wakuu,

Leo tena shahidi wa 12 Denis Urio anaendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3.

Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki:Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022


Fuatana nami kupata yatakayojiri

UPDATES:

Jaji ameingia Mahakamani, Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Jamuhuri Dhidi ya Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na

  • Wakili Pius Hilla,
  • Abdallah Chavula
  • Jenitreza Kitali
  • Nassoro Katuga
  • Esther Martin
  • Ignasi Mwinuka
  • Tulimanywa Majige
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala nipo Pamoja na

  • Wakili Michael Mwangasa
  • Sisty Aloyce
  • Gaston Garubindi
  • Idd Msawanga
  • Maria Mushi
  • Nashon Nkungu
  • John Mallya
  • Dickson Matata
Jaji anaita Washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika wapo Mahakamani

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na tutaendelea na Shahidi, Tupo tayari Kuendelea

Shahidi anaingia kutoka Nje

Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Nasisi pia tupo tayari Kuendelea

Jaji: nakukumbusha Kwamba Tarehe 28 ulikuwa upo chini ya kiapo na leo utaendelea kutoa ushahidi wako chini ya kiapo

Kibatala: Mheshimiwa Jaji naomba sababu ya kelele za Jenereta tufunge madirisha tafadhali.

Kibatala: Mr Urio how are you?

Shahidi: Am fine

Kibatala: Did you have a nice Weekend?

Shahidi: like speak again

Kibatala: Did you have a nice Weekend?

Shahidi: like That!

Kibatala: Shahidi Umesha wahi Kukutana na Mazingira ya Kuambi Maneno Mazito Unayosema ya Ugaidi

Shahidi: Sijawahi Kukutana nayo

Kibatala: Umesema hauna tatizo la Kumbukumbu

Shahidi: Sina tatizo la Kumbukumbu

Kibatala: Iweje usikumbuke Tarehe 2 Muhimu Wewe Kukutana na Mbowe na Kwenda Ofisini Kwa DCI Ukizingatia wewe ni Mwanajeshi, na Luteni wa Jeshi

Shahidi: Mhe Jaji Mheshimiwa Mbowe alikuwa ni Ndugu yangu, Nilikuwa sijui kuwa ni kweli au si Kweli, Mpaka nikaona kuwa Kumbe ni Serious

Kibatala: Wewe Luteni unaona Umejibu swali Langu la inawezekana Vipi usikumbuke Tarehe

Shahidi: Sijawahi Kusikia Maneno Mazito, Ndiyo Maana Nikaenda kutoa Riport Polisi Wafanye Uchunguzi

Kibatala: Swali langu inawezekana Vipi Ushindwe Kukumbuka Tarehe ya Matukio Kama hayo

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Mimi naona Kama Nimejibiwa

Jaji: Swali lilikuwa linawezekanaje Kuwa asahau Tarehe za Mambo Muhimu

Shahidi: Ilikuwa ni Mara ya Kwanza, Kusikia Kutoka Kwa Mheshimiwa Mbowe, Sikuwa nategemea

Kibatala: Vipi Kuhusu Tarehe ya kwenda Kwa DCI na yenyewe Ulikuwa shocked

Shahidi: Siyo Duty yangu Mimi Kukumbuka, Kazi yangu Ilikuwa Kutoa Riport tu

Kibatala: Kwakuwa Unaomekana Kujivua Duty ya Record Ya Tarehe, Unaweza za Ku tuisaidia Kwanini na Yeye DCI hakumbuki Tarehe Uliyo Kwemda Ofisini Kwake

Shahidi: Sifahamu, Siwezi Kumjibia

Kibatala: Siku Unakwenda Kwa DCI Kingai alikuwa Summoned akaja, Unaweza Kutuisaidia Kwanini huyu Kingai Mtu wa Tatu na Yeye hakumbuki ni Tarehe ipo Mlimkutana

Shahidi: Siwezi Kujua ni Kwa nini

Kibatala: Ni kwanini hata Inspector Swila ambaye ndiyo Afisa wa Upelelezi Aliyefungua Faili Tarehe 18 July 2020, Hakumbuki Tarehe hiyo

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Je Kwa wewe Kama Luten Wa Jeshi unaona ni sahihi Kwa Nyinyi Watu wote hakumbuki Tarehe

Shahidi: Siwezi Kujibia

Kibatala: Umewahi Kusikia Msemo "The Lights are on but nobody at home"

Shahidi: Hapana Sijawahi Kusikia

Kibatala: Kwanini Tarehe 11 August 2020 ndiyo Maelezo Yako yaandikwe Mtoa Taarifa Ambaye ndiyo Ulisababisha Faili Kufunguliwa Tarehe 18 July 2020?

Shahidi: Hapana Sifahamu

Kibatala: Wewe ni Luteni wa TPDF uoni Kwamba Inategemewa Maelezo Ya Mtoa Taarifa Kuandikwa Mapema Kadriri inavyowezekana

Shahidi: Siwezi Kujibia Polisi, Sababu Wao Wana Utaratibu Wao wa Kazi na Mimi Nina Utaratibu Wangu Wa kazi

Kibatala: DCI alikifafanulia Kwamba Kwanini Maelezo Yako hayawezi Kuchukuliwa Siku ambayo wewe Umeenda ku report

Shahidi: Hawakufafamua chochote

Kibatala: Tarehe 11 August 2020 kwa Ushahidi Wako Ndiyo Ulikwenda Kutoa Maelezo Ushahidi Wako Kwa Inspector Swila.. Inspector Swila alikufafanulia Kwanini alisubiri Mpaka Mwezi Mmoja Baadae?

Shahidi: Hakufafanulia

Kibatala: Tukisema Kuwa Mlitunga Kesi Mapema Kisha Baadae Ndiyo Makaanza Kutafuta Watuhumiwa, Nitakuwa Nakosea Kwa Fact hizo

Shahidi: Utakuwa unakosea

Kibatala: Unafahamu Dhana ya Infiltration,.?

Shahidi: Nafahamu

Kibatala: Maana yake
Kesi hii imepangwa na wasio na akili,matokeo yake ni aibu kubwa kwa serikali ktk jumuia ya kimataifa
 
Kwa wakuu wahusika humu: heshima yenu! Hii kesi ni kubwa na muhimu sana, inafunua jinsi jamii na taasisi zetu zilivyooza....ninapendekeza/omba ikiwapendeza mlolongo wa hii kesi tangu ilipoanza uwekwe pamoja ili hata wale ambao hawakupata bahati ya kuanza nasi iwe rahisi kwao kupata mfululizo wa kesi hii kwa tarehe ambazo walipitwa.
 
Habari Wakuu,

Leo tena shahidi wa 12 Denis Urio anaendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3.

Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki:Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022


Fuatana nami kupata yatakayojiri

UPDATES:

Jaji ameingia Mahakamani, Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Jamuhuri Dhidi ya Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na

  • Wakili Pius Hilla,
  • Abdallah Chavula
  • Jenitreza Kitali
  • Nassoro Katuga
  • Esther Martin
  • Ignasi Mwinuka
  • Tulimanywa Majige
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala nipo Pamoja na

  • Wakili Michael Mwangasa
  • Sisty Aloyce
  • Gaston Garubindi
  • Idd Msawanga
  • Maria Mushi
  • Nashon Nkungu
  • John Mallya
  • Dickson Matata
Jaji anaita Washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika wapo Mahakamani

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na tutaendelea na Shahidi, Tupo tayari Kuendelea

Shahidi anaingia kutoka Nje

Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Nasisi pia tupo tayari Kuendelea

Jaji: nakukumbusha Kwamba Tarehe 28 ulikuwa upo chini ya kiapo na leo utaendelea kutoa ushahidi wako chini ya kiapo

Kibatala: Mheshimiwa Jaji naomba sababu ya kelele za Jenereta tufunge madirisha tafadhali.

Kibatala: Mr Urio how are you?

Shahidi: Am fine

Kibatala: Did you have a nice Weekend?

Shahidi: like speak again

Kibatala: Did you have a nice Weekend?

Shahidi: like That!

Kibatala: Shahidi Umesha wahi Kukutana na Mazingira ya Kuambi Maneno Mazito Unayosema ya Ugaidi

Shahidi: Sijawahi Kukutana nayo

Kibatala: Umesema hauna tatizo la Kumbukumbu

Shahidi: Sina tatizo la Kumbukumbu

Kibatala: Iweje usikumbuke Tarehe 2 Muhimu Wewe Kukutana na Mbowe na Kwenda Ofisini Kwa DCI Ukizingatia wewe ni Mwanajeshi, na Luteni wa Jeshi

Shahidi: Mhe Jaji Mheshimiwa Mbowe alikuwa ni Ndugu yangu, Nilikuwa sijui kuwa ni kweli au si Kweli, Mpaka nikaona kuwa Kumbe ni Serious

Kibatala: Wewe Luteni unaona Umejibu swali Langu la inawezekana Vipi usikumbuke Tarehe

Shahidi: Sijawahi Kusikia Maneno Mazito, Ndiyo Maana Nikaenda kutoa Riport Polisi Wafanye Uchunguzi

Kibatala: Swali langu inawezekana Vipi Ushindwe Kukumbuka Tarehe ya Matukio Kama hayo

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Mimi naona Kama Nimejibiwa

Jaji: Swali lilikuwa linawezekanaje Kuwa asahau Tarehe za Mambo Muhimu

Shahidi: Ilikuwa ni Mara ya Kwanza, Kusikia Kutoka Kwa Mheshimiwa Mbowe, Sikuwa nategemea

Kibatala: Vipi Kuhusu Tarehe ya kwenda Kwa DCI na yenyewe Ulikuwa shocked

Shahidi: Siyo Duty yangu Mimi Kukumbuka, Kazi yangu Ilikuwa Kutoa Riport tu

Kibatala: Kwakuwa Unaomekana Kujivua Duty ya Record Ya Tarehe, Unaweza za Ku tuisaidia Kwanini na Yeye DCI hakumbuki Tarehe Uliyo Kwemda Ofisini Kwake

Shahidi: Sifahamu, Siwezi Kumjibia

Kibatala: Siku Unakwenda Kwa DCI Kingai alikuwa Summoned akaja, Unaweza Kutuisaidia Kwanini huyu Kingai Mtu wa Tatu na Yeye hakumbuki ni Tarehe ipo Mlimkutana

Shahidi: Siwezi Kujua ni Kwa nini

Kibatala: Ni kwanini hata Inspector Swila ambaye ndiyo Afisa wa Upelelezi Aliyefungua Faili Tarehe 18 July 2020, Hakumbuki Tarehe hiyo

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Je Kwa wewe Kama Luten Wa Jeshi unaona ni sahihi Kwa Nyinyi Watu wote hakumbuki Tarehe

Shahidi: Siwezi Kujibia

Kibatala: Umewahi Kusikia Msemo "The Lights are on but nobody at home"

Shahidi: Hapana Sijawahi Kusikia

Kibatala: Kwanini Tarehe 11 August 2020 ndiyo Maelezo Yako yaandikwe Mtoa Taarifa Ambaye ndiyo Ulisababisha Faili Kufunguliwa Tarehe 18 July 2020?

Shahidi: Hapana Sifahamu

Kibatala: Wewe ni Luteni wa TPDF uoni Kwamba Inategemewa Maelezo Ya Mtoa Taarifa Kuandikwa Mapema Kadriri inavyowezekana

Shahidi: Siwezi Kujibia Polisi, Sababu Wao Wana Utaratibu Wao wa Kazi na Mimi Nina Utaratibu Wangu Wa kazi

Kibatala: DCI alikifafanulia Kwamba Kwanini Maelezo Yako hayawezi Kuchukuliwa Siku ambayo wewe Umeenda ku report

Shahidi: Hawakufafamua chochote

Kibatala: Tarehe 11 August 2020 kwa Ushahidi Wako Ndiyo Ulikwenda Kutoa Maelezo Ushahidi Wako Kwa Inspector Swila.. Inspector Swila alikufafanulia Kwanini alisubiri Mpaka Mwezi Mmoja Baadae?

Shahidi: Hakufafanulia

Kibatala: Tukisema Kuwa Mlitunga Kesi Mapema Kisha Baadae Ndiyo Makaanza Kutafuta Watuhumiwa, Nitakuwa Nakosea Kwa Fact hizo

Shahidi: Utakuwa unakosea

Kibatala: Unafahamu Dhana ya Infiltration,.?

Shahidi: Nafahamu

Kibatala: Maana yake

Shahidi: Kutoka sehemu Moja Kwenda sehemu Nyingine Kwa siri

Kibatala: Ni sahihi pia Maana yake Pana ni Kutuma Mtu Kwenda Kwenye Kambi ya Upinzani, Ili Kupata Taarifa Kamili

Shahidi: Hapana, Tactics inasema Kwamba ni Kitendo Cha Kutuma Mtu Kwa Siri

Kibatala: Nikumbushe tena Elimu yako

Shahidi: Form Four

Kibatala: Unafahamu Decoy

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Luteni wa Jeshi hufahamu Decoy

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mlijadili Kwa Pamoja Kumpeleka Mtu kwa Mbowe akiwa na Vifaa aweze Kupeleleza na Kurekodi Ushahidi

Shahidi: Hatujawahi Kujadili

Kibatala: Ni Kweli Katika Ushahidi Wako Kwamba Mheshimiwa Mbowe alikwambia atachukua Dola Kwa namna yoyote, Je Uchaguzi ulitajwa

Shahidi: Nafahamu Uchaguzi Ulitajwa

Kibatala: Bado Jeshi lilikuwa halina Role to Play Kwamba wewe ni Mwanajeshi uliye kazini na Mbowe anataka Ex Commandos, Bado Jeshi lilikuwa halina sababu ya Kupewa Taarifa?

Shahidi: Ni Taarifa ambazo hazina Ushahidi, Bado Jeshi litapeleka Kule Kule Kwa Polisi

Kibatala: Unamfahamu Aliyekuwa Chief of Staff Luteni Generali A. Shimbo

Shahidi: Namfahamu

Kibatala: akiwa katika Majukumu Yake ulikuwa Jeshini

Shahidi: Ndiyo

msisahau na huku mchungaji kaua chama
 
Najisikia aibu sana kama mtanzania mpenda haki. Aibu.. aibu... aibu sana.
 
Habari Wakuu,

Leo tena shahidi wa 12 Denis Urio anaendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3.

Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki:Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022


Fuatana nami kupata yatakayojiri

UPDATES:

Jaji ameingia Mahakamani, Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Jamuhuri Dhidi ya Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na

  • Wakili Pius Hilla,
  • Abdallah Chavula
  • Jenitreza Kitali
  • Nassoro Katuga
  • Esther Martin
  • Ignasi Mwinuka
  • Tulimanywa Majige
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala nipo Pamoja na

  • Wakili Michael Mwangasa
  • Sisty Aloyce
  • Gaston Garubindi
  • Idd Msawanga
  • Maria Mushi
  • Nashon Nkungu
  • John Mallya
  • Dickson Matata
Jaji anaita Washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika wapo Mahakamani

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na tutaendelea na Shahidi, Tupo tayari Kuendelea

Shahidi anaingia kutoka Nje

Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Nasisi pia tupo tayari Kuendelea

Jaji: nakukumbusha Kwamba Tarehe 28 ulikuwa upo chini ya kiapo na leo utaendelea kutoa ushahidi wako chini ya kiapo

Kibatala: Mheshimiwa Jaji naomba sababu ya kelele za Jenereta tufunge madirisha tafadhali.

Kibatala: Mr Urio how are you?

Shahidi: Am fine

Kibatala: Did you have a nice Weekend?

Shahidi: like speak again

Kibatala: Did you have a nice Weekend?

Shahidi: like That!

Kibatala: Shahidi Umesha wahi Kukutana na Mazingira ya Kuambi Maneno Mazito Unayosema ya Ugaidi

Shahidi: Sijawahi Kukutana nayo

Kibatala: Umesema hauna tatizo la Kumbukumbu

Shahidi: Sina tatizo la Kumbukumbu

Kibatala: Iweje usikumbuke Tarehe 2 Muhimu Wewe Kukutana na Mbowe na Kwenda Ofisini Kwa DCI Ukizingatia wewe ni Mwanajeshi, na Luteni wa Jeshi

Shahidi: Mhe Jaji Mheshimiwa Mbowe alikuwa ni Ndugu yangu, Nilikuwa sijui kuwa ni kweli au si Kweli, Mpaka nikaona kuwa Kumbe ni Serious

Kibatala: Wewe Luteni unaona Umejibu swali Langu la inawezekana Vipi usikumbuke Tarehe

Shahidi: Sijawahi Kusikia Maneno Mazito, Ndiyo Maana Nikaenda kutoa Riport Polisi Wafanye Uchunguzi

Kibatala: Swali langu inawezekana Vipi Ushindwe Kukumbuka Tarehe ya Matukio Kama hayo

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Mimi naona Kama Nimejibiwa

Jaji: Swali lilikuwa linawezekanaje Kuwa asahau Tarehe za Mambo Muhimu

Shahidi: Ilikuwa ni Mara ya Kwanza, Kusikia Kutoka Kwa Mheshimiwa Mbowe, Sikuwa nategemea

Kibatala: Vipi Kuhusu Tarehe ya kwenda Kwa DCI na yenyewe Ulikuwa shocked

Shahidi: Siyo Duty yangu Mimi Kukumbuka, Kazi yangu Ilikuwa Kutoa Riport tu

Kibatala: Kwakuwa Unaomekana Kujivua Duty ya Record Ya Tarehe, Unaweza za Ku tuisaidia Kwanini na Yeye DCI hakumbuki Tarehe Uliyo Kwemda Ofisini Kwake

Shahidi: Sifahamu, Siwezi Kumjibia

Kibatala: Siku Unakwenda Kwa DCI Kingai alikuwa Summoned akaja, Unaweza Kutuisaidia Kwanini huyu Kingai Mtu wa Tatu na Yeye hakumbuki ni Tarehe ipo Mlimkutana

Shahidi: Siwezi Kujua ni Kwa nini

Kibatala: Ni kwanini hata Inspector Swila ambaye ndiyo Afisa wa Upelelezi Aliyefungua Faili Tarehe 18 July 2020, Hakumbuki Tarehe hiyo

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Je Kwa wewe Kama Luten Wa Jeshi unaona ni sahihi Kwa Nyinyi Watu wote hakumbuki Tarehe

Shahidi: Siwezi Kujibia

Kibatala: Umewahi Kusikia Msemo "The Lights are on but nobody at home"

Shahidi: Hapana Sijawahi Kusikia

Kibatala: Kwanini Tarehe 11 August 2020 ndiyo Maelezo Yako yaandikwe Mtoa Taarifa Ambaye ndiyo Ulisababisha Faili Kufunguliwa Tarehe 18 July 2020?

Shahidi: Hapana Sifahamu

Kibatala: Wewe ni Luteni wa TPDF uoni Kwamba Inategemewa Maelezo Ya Mtoa Taarifa Kuandikwa Mapema Kadriri inavyowezekana

Shahidi: Siwezi Kujibia Polisi, Sababu Wao Wana Utaratibu Wao wa Kazi na Mimi Nina Utaratibu Wangu Wa kazi

Kibatala: DCI alikifafanulia Kwamba Kwanini Maelezo Yako hayawezi Kuchukuliwa Siku ambayo wewe Umeenda ku report

Shahidi: Hawakufafamua chochote

Kibatala: Tarehe 11 August 2020 kwa Ushahidi Wako Ndiyo Ulikwenda Kutoa Maelezo Ushahidi Wako Kwa Inspector Swila.. Inspector Swila alikufafanulia Kwanini alisubiri Mpaka Mwezi Mmoja Baadae?

Shahidi: Hakufafanulia

Kibatala: Tukisema Kuwa Mlitunga Kesi Mapema Kisha Baadae Ndiyo Makaanza Kutafuta Watuhumiwa, Nitakuwa Nakosea Kwa Fact hizo

Shahidi: Utakuwa unakosea

Kibatala: Unafahamu Dhana ya Infiltration,.?

Shahidi: Nafahamu

Kibatala: Maana yake

Shahidi: Kutoka sehemu Moja Kwenda sehemu Nyingine Kwa siri

Kibatala: Ni sahihi pia Maana yake Pana ni Kutuma Mtu Kwenda Kwenye Kambi ya Upinzani, Ili Kupata Taarifa Kamili

Shahidi: Hapana, Tactics inasema Kwamba ni Kitendo Cha Kutuma Mtu Kwa Siri

Kibatala: Nikumbushe tena Elimu yako

Shahidi: Form Four

Kibatala: Unafahamu Decoy

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Luteni wa Jeshi hufahamu Decoy

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Mlijadili Kwa Pamoja Kumpeleka Mtu kwa Mbowe akiwa na Vifaa aweze Kupeleleza na Kurekodi Ushahidi

Shahidi: Hatujawahi Kujadili

Kibatala: Ni Kweli Katika Ushahidi Wako Kwamba Mheshimiwa Mbowe alikwambia atachukua Dola Kwa namna yoyote, Je Uchaguzi ulitajwa

Shahidi: Nafahamu Uchaguzi Ulitajwa

Kibatala: Bado Jeshi lilikuwa halina Role to Play Kwamba wewe ni Mwanajeshi uliye kazini na Mbowe anataka Ex Commandos, Bado Jeshi lilikuwa halina sababu ya Kupewa Taarifa?

Shahidi: Ni Taarifa ambazo hazina Ushahidi, Bado Jeshi litapeleka Kule Kule Kwa Polisi

Kibatala: Unamfahamu Aliyekuwa Chief of Staff Luteni Generali A. Shimbo

Shahidi: Namfahamu

Kibatala: akiwa katika Majukumu Yake ulikuwa Jeshini

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namnukuu Tarehe 13 10 2010 "Katika Uchunguzi huu, Jeshi limejipanga Kuhakikisha Uchaguzi Unakuwa wa Amani na utulivu".. Uliwahi Kusikia?

Shahidi: Hapana

Kibatala: Bado Unasisitiza Kwamba Mambo Ya Kiuchaguzi Jeshi halihusiki

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: huoni Kwamba Kwa Kutoa Kwako Taarifa Jeshi lingefanikisha Kuweka Decoy, (Mamluki) wa Kwenda Kukusanya taarifa ambazo ni sahihi?

Shahidi: The issue ni kwamba Mtu anaitwa Freeman Mbowe hapokei Simu za Kawaida, anasema Nitumie picha na Profile yake ili ajiridhishe Kwamba bado Wapo Katika Service, Kwa hiyo Endapo tungetuma Mtu ambaye bado yupo katika Service angegundua

Kibatala: Kwa hiyo Tactical appreciation Yako ilikwambia Kwamba Mheshimiwa Mbowe ana uwezo wa Kujua profile zao?

Shahidi: Ndiyo, Unafikiri Kwanini alitaka Picture na Profile zao?

Kibatala: Katika Ushahidi Wako Wote Kuna Mahala Popote Ulisema Kwamba Mbowe alikwambia Kwamba ana Access ya Mtu Mwingine Jeshini

Shahidi: Hapana

Kibatala: Tujadili Kuhusu Tactical Appreciation, Ni sahihi Kwamba Kamanda anakutana na Mazingira Fulani ambayo Kamanda anapanga Vikosi Vyake Kukabiliana na Mazingira hayo kwa Muda kwa Kupanga Mkakati

Shahidi: Ni sahihi

Kibatala: Sasa Wewe Palikuwa na Several Unknown, Nimekuuliza Kama Mbowe alikuwa na Access Jeshini Ukasema hujui, Sasa huoni Kwamba Tactical appreciation Yako Ilikuwa si sahihi

Shahidi: Huyu Bwana ningemwambia kuwa Sitaki angemtumia nani, Ndiyo Maana nilifanya Tactical Appreciation na Kwenda Kuripoti Kwa DCI

Kibatala: Unakubaliana na Mimi kwamba Katika hali hiyo Kuna mambo Kadhaa wa Kadhaa ulikuwa huyafahamu, Ndiyo Maana Ukasema Kwamba Ulikuwa hujui Kama alikuwa ameshaongea na Watu Wengine

Shahidi: Ndiyo nilikuwa sina Uhakika Kama Mbowe ana Option A, B na C

Kibatala: Sasa Jambo hilo Linaendana na Tactical Appreciation

Shahidi: Ndiyo linaendana

Kibatala: Kazi yangu ni Kuuliza Maswali

Kibatala: Umesema Ulikuwa huna Uhakika Mbowe alikuwa na Option A, B na C, Je ulijihakikishia Kwa Kumuhoji

Shahidi: Sikumuhoji

Kibatala: Unathibitisha alikuwa na Trust Yako yote

Shahidi: Sijui Kwa Yeye Sasa

Kibatala: Nakuuliza Wewe

Shahidi: Je ni Mimi peke yangu anaye niamini

Kibatala: Hakuna Mahala Uliposema Kwamba Mbowe alikutishia Wewe au Familia yako

Shahidi: Sijasema

Kibatala: Kwamba Mbowe alikuahidi Cheo Kama Incentive yako

Shahidi: Mbowe Hawezi Kunipa Cheo Jeshini

Kibatala: Kwa hiyo Mbowe alikuwa hawezi Kukuhaidi Cheo Sababu alikuwa Mbunge

Shahidi: Sahihi hawezi

Kibatala: Nashukuru Kwa jibu lako Zuri

Kibatala: Wakati Mbowe anakupa Maombi , Ulimkubalia au Moyoni Ulimkatalia

Shahidi: Ilikuwa Tactical Appreciation, Ile Kwamba nitachoma Vituo Vya Mafuta, Kuchoma Masoko,

Kibatala: Na Kumdhuru Sabaya pia Ulikuwa Unachakata

Shahidi: Sijawahi Kumtaja Sabaya Mimi, Nilitaja Viongozi

Kibatala: Akili ya Kawaida ya Luteni haikuwa na zaidi ya Kumchimba Kwamba anataka Kulipua Vituo gani, Kukata Miti sehemu gani?

Shahidi: Hata Ingekuwa ni Mimi, Ukishaanza Kunidodosa nakosa trust na wewe.

Kibatala: Wakati Mnakutana Kupanga Matendo ya Ugaidi, Mahakama Itakapopima, Maneno yako Dhidi ya Maneno ya Mbowe sababu Hakuna Sauti Nyingine wala Decoy?

Shahidi: Ndiyo Maana nikatuma Vijana

Kibatala: Kwani Vijana hawa si Washtakiwa? Au Wapelelezi Wako?

Shahidi: Washtakiwa

Kibatala: Unakubaliana na Mimi sasa Mahakama itabidi ipime neno lako dhidi ya Mbowe kwa sababu Hapakuwa na Mtu Mwingine pale

Shahidi: Ni sahihi

Kibatala: Unakumbuka Wakati wa Utejelezaji Wa Majukumu Yako, namna ulipompata Ling'wenya

Shahidi: Nakumbuka

Kibatala: Unakumbuka Uliongea na Baba Yake Ling'wenya

Shahidi: Nakumbuka

Kibatala: Unakumbuka Kwamba uliongea naye Tarehe ngapi

Shahidi: Sikumbuki

Kibatala: Unakumbuka uliongea naye Majira gani

Shahidi: Sikumbuki

Kibatala: Unafahamu a kwamba Mzee Ling'wenya alikukatalia Kumtoa Mwanaye sababu ya Mambo yaliyomtokea Mwanaye Jeshini

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Unafahamu kwamba Yeye alishamtafutia Mwanaye Kazi ya kokoto

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Unafahamu Kwamba huyu Mzee (Baba yake Ling'wenya) ni Mwenyekiti wa Kijiji fulani huko Kusini

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Baba Yake alipokutafuta baada ya Kusikia Mwanae kakamatwa Unakumbuka Ulimjibu nini

Shahidi: Sikumbuki, Ila Niliwambia kuwa amuulize Boss wao

Kibatala: Kwani Boss wao ndiye aliye Mpigia Kumuombea Ruhusa Kwamba Kuna kazi

Shahidi: Ni Mimi

Kibatala: Ulimwambia Mzee Ling'wenya Kwamba Kuna kazi Kwa Mbowe lakini nataka akafanye Mipango ya Ugaidi

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Unafahamu Maana ya Intrapment

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Maana ya Kumtoa Mtu kafara

Shahidi: Nafahamu
type chap chap
 
Mbona kama Urio anasaffer from short term memory loss, anaulizwa swali hili anajibu ivi.
Siyo short term memory issue bali anaogopa kusema ili asije akajikuta anaharibu movie nzima .... Ndiyo maana kila kitu either hakumbuki au amesahau. Ndiyo maana Kibatala amemwmbia kuwa hao mashahidi wameenza kutafutwa baada ya kutengeneza kesi.

Haiingii akilini kesi kubwa kama hiyo ilipotiwe July halafu maelezo ya Urio yachukuliwe August ..... No wonder, Adamoo wanadai walimsikia akilia kwenye chumba cha mateso ..... Nasikia wenyewe wanakuita Garage .....!!
 
Leo ndio nimetambua Urio Ni mpumbavu Sana. Yani aliwatoa wenzake kama chambo. Yani kumbe lingwenya alikuwa amepata shughulika ya kokoto kaenda kumtoa huko ili amtumie kwenye mpango wake. Halafu anaulizwa anajibu kwa jeuri. Tanzania Ina watu wakatili Sana, unapoteza Maisha ya wenzako kwa manufaa binafsi na haujari.
 
Back
Top Bottom