Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022

Huyo jamaa maswali mengi anajibu sijui na sifahamu.
 
Naona sasa kibatala anamtengenezea shahidi hali ya kujihisi msaliti asiyefaa kwa kuwasukumia wenzake kwenye moto.
Hii itamtesa kisaikolojia hata baada ya kumaliza ushahidi wake, na pengine mahusiano yake na wanajeshi walio ktk utendaji wake

Ana roho mbaya Sana huyo jamaa.
 
Wachaga hasa ukoo wa urio poleni.....au huyu siyo urio, ni jina tu la kutafutia kazi, aliiba cheti cha mtu?
 
Naona sasa kibatala anamtengenezea shahidi hali ya kujihisi msaliti asiyefaa kwa kuwasukumia wenzake kwenye moto.
Hii itamtesa kisaikolojia hata baada ya kumaliza ushahidi wake, na pengine mahusiano yake na wanajeshi walio ktk utendaji wake
Huyo hata akirudi jeshini ataishi kwa shida sana maana wanamuona kama snitch Fulani,hata maboss wake watakua makini nae maana haaminiki tena.
Wasipomfukuza watapekeka huko kwenye mavita akafie huko
 
Huyo hata akirudi jeshini ataishi kwa shida sana maana wanamuona kama snitch Fulani,hata maboss wake watakua makini nae maana haaminiki tena.
Wasipomfukuza watapekeka huko kwenye mavita akafie huko
akitoka hapo na cheo kinapanda katokomezagaidi lilitaka kupindua nchi mbowe ni GAIDI
 
Denis urio hoi sema ukweli ukuweke huru simcard iko wapi?
 
Mawili tu yangu:
Kibat: Uliambiwa anataka kuchukua dola. Nikiasi gani cha dola au na pound watachukua
Shahi: Kimyaaaaa

Kibat: Ulisema wanataka kuchoma masoko na sasa soko la Karume lilichomwa. Je inawezekana ni Mbowe alitoka gerezani kuja kuchoma?

Shahi: Hapana. Niseme ukweli nimelazimishwa kutoa ushahidi. Kibat utaniua nisamehe.

Mahak: Kichekooooo!!!!!! Mpaka ikulu wamesikia [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nitajie mchaga asiyekuwa katili.

Wachaga na Wakinga wanafanana sana!
 
KIMEUMANA... !!

Kibatala:
Katika Ushahidi Wako, Unasema Uliwapa Tsh 195,000 katika TSh 199,000 Uliyotumiwa, Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba TSh 4,000 Ilienda wapi

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Kwa hiyo TSh 4,000 ya Ugaidi hujasema Ipo wapi

Shahidi: SIYO YA UGAIDI, BALI YA KUWASAFIRISHA

Kibatala: kwa hiyo Wenzetu Wanasema Yote TSh 199,000 ilitumika Kwenye Ugaidi, Kumbe siyo Ugaidi

Shahidi: Kimyaaaaaaaaaa
 
yaani hiyo ndiyo umeona ni point kubwa saaaana aliyoiongea kibatala? hopless kibatala hana jipya anamfungisha tu mbowe hana point y akumnasua na huo ugaidi wake
[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…