Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hafai kuwa platoon commander anaweza wachoma memba wake kwa adui akiminywa pumbu huyuNaona sasa kibatala anamtengenezea shahidi hali ya kujihisi msaliti asiyefaa kwa kuwasukumia wenzake kwenye moto.
Hii itamtesa kisaikolojia hata baada ya kumaliza ushahidi wake, na pengine mahusiano yake na wanajeshi walio ktk utendaji wake
TPDF ondoeni hio takataka inawachafua sana jamaa sio mzalendo kabisa.
Halafu tena komando[emoji15]!!