Halafu huyu aongoze hao paratrooper vitani???mashaka ni mengi mnoooooooo juu ya elimu yake.Tuwekeni uchadema na uccm pembeni, kweli jamani msg ya muda umeisha ndo inamaanisha kutaka kufanya ugaidi???aiseee hii nchi ina watu vilazaaaaaaaaaa!hahahahahahhahahaahhahahahhahahahahhahahahahaahahahhaah
Kuna maelekezo mengine hugomewa na mungu ndiyo maana Lt Urio amejikanyaga kajichanganya changanya mahakamani na endapo Jaji atatoa hukumu feki ajua mungu yupo anaona kila baya linaloendeleaJaji mwenyewe ana maelekezo ya kumfunga Mbowe
Kama hivi ndivyo basi mbinu zao zilikuwa ni za kijinga kwa sababu hazithibithishi chochote, kwa wazoefu wa upelelezi kama Kingai na DCI kama ingekuwa ni kweli alikutana nao kabla ya Mbowe hajakutana na hao kina Adamoo ni lazina kina Kingai wangefanya namna ya kupata record za sauti za mipango ya Mbowe...na si ajabu wangetumia mbinu za medani wangetuma makomandoo feki ili kujenga msingi thabiti wa kesi....lakini kwa hali inavyoonekana serikali wana kesi dhaifu sana hapamzee, informer pia huwa anakamatwa na huwa anapigwa hadi vibao ili muendelee kuamini kwamba mpo pamoja naye, na kule lock up muendelee kutapika uchafu mbele yake wa namna gani mnataka kujitetea, na mwisho yeye anachomolewa anakuwa shahidi. ndivyo ilivyo. mwulizeni mwenyekiti wenu kwanini soon after uchaguzi alikimbia nchi, pamoja na kwamba hapakuwa na threat yeyote. na kwanini tundu lisu alikuwa na amani na kutukana kote kule wakati wa kampeni hakufanya kosa, lakini alipoona hao vijana wamekamatwa tu mbio ubalozi wa ujerumani, kwanini alikuwa haishi ubalozi wa ujerumani wakati wa kampeni?...cdm mnafikiri kwa kutumia nini aisee,ni nani aliyewaloga?
Upeo wa Lt Urio ni Mdogo sanaHalafu huyu aongoze hao paratrooper vitani???mashaka ni mengi mnoooooooo juu ya elimu yake.
aisee balaal tupuKibatala: Ni sahihi Kwamba Umeanza Kuwakusanya hawa baada ya Tarehe 20 July 2020
Shahidi: Ni sahihi
Kibatala: Na wewe ndiyo Ulikuwa Unawafahamu hawa wala Siyo Mbowe
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Unaweza Kutuisaidia Kuwa Kwanini Inspector Swila alifungua Faili la Kula Njama Tarehe 18 July 2020 Wakati Wakati Umekutana hawa Vijana Tarehe 20 Mpaka 24
Shahidi: Sijui sasa
IQ ya kamanda wetu ni shidah.Upeo wa Lt Urio ni Mdogo sana
Kazi ya upande wa mashitaka ni kuthibithisha tuhuma hizo bila shaka kumfanya mtuhumiwa awe guilty beyond reasonable doubt...shahidi anaweza kuwa amejenga msingi wa kuwa ni kweli alikuwa akiwasiliana na Mbowe lakini ushahidi wa mawasiliano uliotolewa na wa kawaida sana hauoneshi nia ya kutenda kosa walilo tuhumiwa nao..wanachofanya jopo la utetezi ni kutengeneza matundu kwenye ushahidi wa mashahidi ili ku create reasonable doubts!kikubwa alichofanikiwa kuthibitisha hapo ni kwamba, at least kulikuwa na communication kati yake na mbowe jambo ambalo linaweza kuback up oral testimony yake, ukizingatia kwamba ukishaona mahakama imemuamini kwenye kitu kimojawapo hapo (ambacho kwenye communication na ukiunganisha na alichokisema ling'wenya), basi credibility imeshajengwa. na ili mahakama imkatae inatakiwa kutoa sababu ambayo hapo sijaiona kama itakuwepo wakati kwenye ushahidi wa yeye kuwasiliana na hao ameshathibitisha kwa print out hizo za simu. every witness is entitled to credence, na ukiamua kutomwamini lazima utoe sababu, la sivyo anakuwa credible na ushahidi wake which includes oral testimony unatakiwa uaminiwe na ufanyiwe kazi. kwa mwanasheria hapo ameshanielewa.
Mfano mzuri afande swila alifungua jarida tarehe 18 JulyKazi ya upande wa mashitaka ni kuthibithisha tuhuma hizo bila shaka kumfanya mtuhumiwa awe guilty beyond reasonable doubt...shahidi anaweza kuwa amejenga msingi wa kuwa ni kweli alikuwa akiwasiliana na Mbowe lakini ushahidi wa mawasiliano uliotolewa na wa kawaida sana hauoneshi nia ya kutenda kosa walilo tuhumiwa nao..wanachofanya jopo la utetezi ni kutengeneza matundu kwenye ushahidi wa mashahidi ili ku create reasonable doubts!
aisee balaa hili!!
kumbe ndio maana wafuasi wa Mbowe walikuwa wakishinikiza mahakama imfutie Kesi!! sasa uovu wote huu alikuwa anauratibu huyu mbowe tungeujuaje?!!
afadhali sasa tunajua matendo yake ya kimafia aliyo kuwa anayafanya dhidi ya serikli.
huyu mhalifu alikuwa anawatumia watu mbalimbali amabo sio waaminifu na waadilifu kukidhi mhitaji yake.........ndio maana alikuwa anatumia neno "atakinukisha" maana yake atachafua amani ya nchi.
Dada umeingia mwezini akili zimerukaaisee balaa hili!!
kumbe ndio maana wafuasi wa Mbowe walikuwa wakishinikiza mahakama imfutie Kesi!! sasa uovu wote huu alikuwa anauratibu huyu mbowe tungeujuaje?!!
afadhali sasa tunajua matendo yake ya kimafia aliyo kuwa anayafanya dhidi ya serikli.
huyu mhalifu alikuwa anawatumia watu mbalimbali amabo sio waaminifu na waadilifu kukidhi mhitaji yake.........ndio maana alikuwa anatumia neno "atakinukisha" maana yake atachafua amani ya nchi.
itakuwa mwezi mchanga huu wa Feb ushamwandamia huyo...πππDada umeingia mwezini akili zimeruka
ipo hivi mbowe baada ya kubanwa kuhujumiwa na DC Sabaya akapata taarifa kuwa huenda DC Sabaya akaja kumdhoofisha zaidi ndipo akaongea na Lt Urio amtafutie walinzi imara ambao ni Asikari wasitaafu kwa ajili ya kujikinga na Hatari tokea kwa DC Sabaya na baada ya Sabaya kugundua kuwa Mbowe anakwenda kuimarisha Ulinzi wake binafsi akajua itamuia vigumu kumhujumu kwa wepesi ndipo akabuni mbinu za kumbambikia kesi ya ugaidi kuwawekea unga na mengineyo mengi ya hovyo, huyo Lt Urio aliwapeleka Asikari kwa mbowe kwa Lengo la Ulinzi siyo ugaidi lakini baada ya kukamatwa akapigwa sana akatesa vibaya mbaka fahamu zikamtoka amegeuka na kutengeneza uongo aliofundishwa na akina kingai mahita na watesi wenzao, mungu anaendelea kumtumbua hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa ubaya ni Aibu kubwahuyo shaidi ni rafiki wa mbowe tangu mwaka 2008 hadi 2020.urafiki wao ni wa miaka 8.kwa maelezo ya shaidi urafiki wao ulikuwa mzuri .na luteni ni cheo cha kati siyo cheo kikubwa jeshini.kama mbowe alitaka kuchukua nchi kwa nini hakufanya mawasiano na wanajeshi wenye vyeo vikubwa?je maaskari 3 au 4 aliotafutiwa mbowe wangeza kutekeleza vitendo vya ugaidi nchi nzima kwa kutunia bastola ya risasi 3?
Au wangekuwa na mashoka mengi kiasi gani au chensooo za kuangusha miti mchi nzima? Huyu shaidi alikuwa mtu mwema sana kwa mbowe.lakini ni kwa nini alikuja kumbadilikia ghafla? je mahusiano yake na mbowe ndiyo yamemuingiza kwenye huu mtego? na iyo simu iliyoharibikwa ina nini ndani? na mbona inaonekana michongo yote ilikuwa inapitia kwake?
Umeona eeeh! tiyari inatia mashaka...Mfano mzuri afande swila alifungua jarida tarehe 18 July
Urio alikutana na watuhumiwa morogoro tarehe 20th July...
Je inawezekana hivi jarida likawa tayari huku watuhumiwa hata hawajakutana kupanga njama ?
Lt Urio anajua ukweli kuwa hakukuwa na ugaidi lakini kajitoa fahamu zote analidhalilisha jwtzPamoja na "unaa" wako,
Haya sasa mwambie huyo Mr michongo Urio athibitishe hizo siri alizoambiwa na Mbowe,
Mbona hata simu yenye hizo siri kaipasua anaogopa nini?
Unamaanisha marehemu sasa anafurahia hii kesi!!??Hakuna ugaidi wowote bali aliyetengeneza ugaidi hewa ni DC Sabaya na kingai kwa Lengo la kumfurahisha marehemu Magufuli