Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Huu ni zaidi ya uonevu yani
 
Comte naona leo atakuwa kaishiwa hela ya bando[emoji1787][emoji1787] jana alitutambia sana yahani kila page alitokea sio chini ya mara nne. LEO KIMYAAAAA
Alisema leo kutakuwa na voice recoder
 

..labda Lijenje ni shahidi wa upande wa serikali.

..labda ataibuka mahakamani hivi karibuni kuwakandamiza wenzake.
 
Huu ni zaidi ya uonevu yani
Ulitaka awaambie kuwa wanaenda kufanya ugaidi? Au Mbowe kweli atakubali kwenye mahojiano kuwa aliwaita kwa ugaidi? Of course atasema ni kwa ulinzi, na CHADEMA wenyewe hadi leo wanasema ni walinzi. Lakini deepdown yeye Urio na Mbowe kila mmoja alijua kuwa ni lwa kazi za kigaidi. There is no contradiction there.
 
Nashon: Freeman Mbowe ndiyo alikutana nao Morogoro?

Shahidi: Hapana ni mimi nilikutana nao Morogoro

Nashon: Kwa hiyo ulienda hadi Morogoro kukutana na magaidi nakuwa Mobilise wafanye ugaidi?

Shahidi: HAPANA SIYO MAGAIDI
Kesi ya mchongo lazima ukutane na ambayo hukutarajia.
 
akitoka shahidhuyu wataturejeza kwenye ushahid wa Rau madukani...chips na nyama choma ..mbege na kete za madawa ya kulevya na kuzunguka arusha kumtafuta linjenje....wanachosha hawa..
Nishawashtukiwa hii ndio njia yao pale ushahid wanaodhani ni konki unapoonekana ni kituko wanaanza ku buy time kwa zile stori za moshi 😉😉😉
 
mbona yeye mwenyewe hautaji sasa huo ugaidi?
 
Wewe ndiyo taahira. Kwa hiyo unataka kusema tungeona mwili wa marehemu Sabaya ndiyo ungeamini? Gaidi nu kumzuia asiue, akishaua tayari upelelezi wako hauna faida tenalabda kwa revenge. Na magaidi mara nyinginao hufa kwa kujitoa mhanga. Lt Urio succeeded 100%.
 
Comte naona leo atakuwa kaishiwa hela ya bando[emoji1787][emoji1787] jana alitutambia sana yahani kila page alitokea sio chini ya mara nne. LEO KIMYAAAAA
Anawasiliana na Lumumba wamtumie bando. Kwa taarifa yake Luteni Urio amesema washitakiwa siyo magaidi, aliwalipia hata bill ya chakula Morogoro.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kiapo cha Jeshi siyo mchezo bwashee!

Ndio maana Jeshi lina mahakama yake.
Mahakama ikitaka ushahidi wowote kutoka kwa mtu yeyote na wakati wowote inaupata!!! Kumbuka hakuna chombo wala mtu mwenye nguvu zaidi ya mahaka!a linapokuja swala la haki,,,tushukuru tupo kwenye nchi ambayo mahakama haiwezi kusimamia hadhi yake ipasavyo otherwise ungeona vumbi mahakamani,,,,,sheria ya kulinda siri ina inazieleza ila mahakamani unatakiwa kuongea unachoulizwa!!! Jiulize inakuwaje kama unachoulizwa ndio ushahidi unaotakiwa kumtoa mtu hatiani alafu wewe ukatae eti ni siri!!? Hapo mahakama itakutaka kuheshimu kiapo ulichokula cha kusema ukweli wote na ukweli tupu!! Kiapo cha mahakama ni kiapo kikuu!!! Ndo maana jaji alilazimisha shahidi ajibu maswali na shahidi akahamaki!!

Jiulize kama mtu hawezi kusema ukweli wote mahakamani kwanini umlete kama shahidi wakati unajua shahudi ana kiapo kinachomzuia kusema ukweli wote!???

Nadhani kiapo kinamzuia kuropoka maneno ya jeshi akiwa baa,stendi,kwa mchepuko,harusini nk ila si mahakamani,,,,,mahakamani utajibu chochote unaxhoulizwa then jaji atapima maswali unayoulizwa ili kutenda haki sehemu zote mbili za mshitakiwa na mshitaki/shahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…