Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Pamoja na mchongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hizo sms alizozisoma Bro URIO sijaona Ugaidi hapo hata mmoja - labda nyie wenzangu,.
Sms hizo zinathibitisha maelezo yake ya awali kuwa aliyosimulia yote ni kweli. Labda ni summery ila instantly Mbowe kumshirikisha afisa wa jeshi tena patriotic Commando juu ta njama zake za uhalifu,zinanipa ukakasi ila kama ni kweli Mbowe alifanya hivyo basi ni mshamba sana na aongezewe miaka ktk hukumu yake. Eti uhome boy tu unamwamini mtu bila kumchunguza kama ni shushu au laa. Ila makomando the way treated by, na plan ya ulio used by or accomplished by makomando ni antagonistic. Something missing somewhere like to suggest to go back to the drawing tableUrio anatupotezea muda. Mbona mawasiliano ya telegram ya kawaida Sana. Hakuna sehemu inayoonesha njama au utekelezaji wa ugaidi. Zaidi ya mgonjwa anaendeleaje, nipo kwenye kamati kuu, nimetuma laki tano na security Ni muhimu wasije wakatelekezwa. Mimi nilitegemea message za and a vijana watano kukata miti, au nadhani vilipuzi vipo tayari au mashine za kukata miti zimewasili?.
Kama mawasiliano yao yalikuwa hivyo sidhani na hakuna mawasiliano mengine sidhani Kama kutakuwa na jipya.
Hawawezi kumfunga, wao ndio waliomtumia afanye jambo hili la aibuHuyu Shahidi mkuu atafungwa kwa kuisababishia serikali hasara kwa taarifa za uongo
Sent from my Lenovo TB-7305X using JamiiForums mobile app
Maushahidi mazito yako wapi[emoji15]Wale waliokuwa wanadanganyana kwenye kitchen Party ya akina maria na fatuma kuwa urio ,urio hayupo sasa huyo hapo anafunguka na maushahidi mazito ta telegram, huyu shahidi ndio anawamaliza kabisa
1. Una umri gani ndg?Wale waliokuwa wanadanganyana kwenye kitchen Party ya akina maria na fatuma kuwa urio ,urio hayupo sasa huyo hapo anafunguka na maushahidi mazito ta telegram, huyu shahidi ndio anawamaliza kabisa
Umeona mbali kiongozWale waliokuwa wanadanganyana kwenye kitchen Party ya akina maria na fatuma kuwa urio ,urio hayupo sasa huyo hapo anafunguka na maushahidi mazito ta telegram, huyu shahidi ndio anawamaliza kabisa
Mkuu ungekua unaandika kwa lugha ya Kiswahili, hiyo nyingine haikutakiSms hizo zinathibitisha maelezo yake ya awali kuwa aliyosimulia yote ni kweli. Labda ni summery ila instantly Mbowe kumshirikisha afisa wa jeshi tena patriotic Commando juu ta njama zake za uhalifu,zinanipa ukakasi ila kama ni kweli Mbowe alifanya hivyo basi ni mshamba sana na aongezewe miaka ktk hukumu yake. Eti uhome boy tu unamwamini mtu bila kumchunguza kama ni shushu au laa. Ila makomando the way treated by, na plan ya ulio used by or accomplished by makomando ni antagonistic. Something missing somewhere like to suggest to go back to the drawing table
Hata mimi nimewaza hivyo tangu jana.Huenda huyu jamaa wala hakuteswa na Mosses Lihenje huenda yupo.
Huenda kuna watu waliingizwa kingi.
Mission hii ilipangwa naona
JF walete na sticker maana hapa kuna kasticker nimetaman kukaweka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu ungekua unaandika kwa lugha ya Kiswahili, hiyo nyingine haikutaki