Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Ngoja tuone baada ya nusu saa jaji atakuja na maamuzi gani, ila kwa record ambazo amekuwa nazo na kwa utata ulioibuka saizi tunaweza kubashiri maamuzi atakayokuja nayo
 
Nashon ale wa mbuzi hivyo hivyo ila asihisi uonevu au upendeleo kwa upande fulani
 
Hapa wakili msomi nkungu angesema tu Nyani haoni kundule😃😃
 
Mimi naomba nijifunze jambo. Mkuu Nyendo,unawezaje kutype kwa kasi kiasi hiki updates za matukio haya moja kwa moja?
 
kaa kwa kutulia usubirie nondo za mawakili wasomi wa utetetezi.mutujuwa hamujuwi
Huyo anapoteza muda wa mahakama kwa kuchukua muda mrefu wa kuuliza mwaswali ambayo ni irrelevant hana lolote. Ukitaka kujua anauliza maugoro fuatilia issue ya P.G.O kwenye trial within trial rulling yake ilikujaje huko amepoteza muda mreefu kuuliza maugoro na wafuasi wake kwenye maudaku yao ya space ya maria waliamini kuwa wameshinda , uliona majibu yalitokaje?
 
Na hizo meseji na miamala ya simu?
Mahakamani hakuna mambo ya kufikirika kama hekaya za Abunuasi. Hapo ni ushahidi wa kitukio je kama walikutana halafu FM akamnyandua Urio unadhani kuna ushahidi.
 
Ngoja tuone baada ya nusu saa jaji atakuja na maamuzi gani, ila kwa record ambazo amekuwa nazo na kwa utata ulioibuka saizi tunaweza kubashiri maamuzi atakayokuja nayo
Absolutely, na hii itamuwezesha shahidi kitojibu maswali mengi kwamba ni siri za jeshi.
 
naona pia wanamkingia shahidi kifua,hawataki aulizwe maswali .kwa nini wamemleta mahakamani?
 
naona pia wanamkingia shahidi kifua,hawataki aulizwe maswali .kwa nini wamemleta mahakamani?
Kumbuka utetezi wana mashahidi wawili ambao siku wakija kutoa ushahidi wanatatoa ushahidi chamber- haktakuwa na viherehere wa CHADEMA wala mleta updates- na haya kaomba Mh. Kibatala
 
Kumbuka utetezi wana mashahidi wawili ambao siku wakija kutoa ushahidi wanatatoa ushahidi chamber- haktakuwa na viherehere wa CHADEMA wala mleta updates- na haya kaomba Mh. Kibatala
Kwahiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…