Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Jibu swali nikikuoa utapata faida gani?Ukome kuichezea CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali nikikuoa utapata faida gani?Ukome kuichezea CHADEMA
Na wewe unaamini kabisa upumbavu wa Mbowe ni gaidi, cha ajabu hamjui hata alitaka kumdhuru naniUgaidi hata Tshs.5,000/= inafanya! Toa akili yako ndogo hapa! Kwani lita moja ya petroleum ni shilingi ngapi na kiberiti kimoja ni shilingi ngapi?
Hoja isiwe kiasi cha pesa,hoja iwe Mbowe alitenda vitendo ambavyo vina amount kwenye ugaidi au la, basi!
Hatutaki kelele za kijinga hapa muache due process ichukue mkondo wake.
Kama hakutenda basi Mahakama itam-acquit.
Jibu swali we kengeUshakata pumzi
Wachana nao hao wachumia tumbo wa lumumbaNa wewe unaamini kabisa upumbavu wa Mbowe ni gaidi, cha ajabu hamjui hata alitaka kumdhuru nani
Mkapa haukuitwa aliomba mwenyewe aende. Soma kitabu chake ili usije onekana MUUNGONdiyo maana wakili msomi Kiba kamuingiza J4 kuonyesha kikosi kilivyo pandishwa vyeo baada ya kubambikia kesi ya kisiasa
Hivyo hata yule wa BBC ataitwa aje atoe ufafanuzi mbona Mkapa aliitwa kesi ya balozi Muhilu!!
Taratibu haki inaanza kuonekana
Ukitaka kuona nyeti ya kuku subiri upepo uvume!!!
Mpaka mashahidi wa jamhuri wathibitishe bryond resonable doubt kwamba hiyo laki sita ilitumika kwenye ugaidi si leo. Khalfan bwire alitumiwa miamala na watu kibaoUgaidi hata Tshs.5,000/= inafanya! Toa akili yako ndogo hapa! Kwani lita moja ya petroleum ni shilingi ngapi na kiberiti kimoja ni shilingi ngapi?
Hoja isiwe kiasi cha pesa,hoja iwe Mbowe alitenda vitendo ambavyo vina amount kwenye ugaidi au la, basi!
Hatutaki kelele za kijinga hapa muache due process ichukue mkondo wake.
Kama hakutenda basi Mahakama itam-acquit.
Kamanda unayechoka mbona umechoka sana?Jibu swali we kenge
Acha shoboKamanda unayechoka mbona umechoka sana?
Wako ataitwaMkapa haukuitwa aliomba mwenyewe aende. Soma kitabu chake ili usije onekana MUUNGO