Yaliyojiri Mahakamani katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, Januari 13, 2022. Kesi imeahirishwa hadi Januari 14 2022

Na wewe unaamini kabisa upumbavu wa Mbowe ni gaidi, cha ajabu hamjui hata alitaka kumdhuru nani
 
Mkapa haukuitwa aliomba mwenyewe aende. Soma kitabu chake ili usije onekana MUUNGO
 
Mpaka mashahidi wa jamhuri wathibitishe bryond resonable doubt kwamba hiyo laki sita ilitumika kwenye ugaidi si leo. Khalfan bwire alitumiwa miamala na watu kibao
 
Siku nyingine mrekodi video tu aisee, its much easier, leo siku nzima nasoma thread moja bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…