Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3: Shahidi wa 13, Tumaini Swila ashindwa kufika mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Februari 14, 2022

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Zamani wakati wa mtihani tulikuwa tunakwenda kusoma " nyenzo" chooni.

Baadae chooni akawekwa mlinzi ili kutia hofu wapiga chabo.

Labda vyoo vya mahakama zifungwe camera ili kesi hii iende haraka na iishe.
Cross examination sio maswali ya mtihani ulioandikwa tayari, hata kama akienda chooni kupiga chabo anajidanganya tu Kibatala atamuongezea parts b,c, na d, lazima aombe poo.
 
Mkuu The Sheriff Asante sana kutuunganisha mahakamani. Leo mimi sijisikii vizuri nitakuwa naingia na kutoka afya yangu sio nzuri sana.
 
Team yenu Mbarikiwe sana watu wa Mungu.

Nyinyi na uzao wenu mtabarikiwa sana kwa kutushirikisha matendo ya haki.

Mkono wa Kuume wa Mwenyezi Mungu uwe juu yenu.

Amina
 
Its a "No-show" from the witness today.
 
Nilijua tu hili litatokea. Yaani unaweza kudhani wao ndio wanashtakiwa. Kila siku Udhuru wao tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…