CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Cross examination sio maswali ya mtihani ulioandikwa tayari, hata kama akienda chooni kupiga chabo anajidanganya tu Kibatala atamuongezea parts b,c, na d, lazima aombe poo.Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Zamani wakati wa mtihani tulikuwa tunakwenda kusoma " nyenzo" chooni.
Baadae chooni akawekwa mlinzi ili kutia hofu wapiga chabo.
Labda vyoo vya mahakama zifungwe camera ili kesi hii iende haraka na iishe.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu!Katika historia ya JF umekuwa mkweli. Leo na kesi hii UCHAWA WA CCM umeuweka pembeni, umeangalia Haki (Kama huna hidden ill motive anyway)
Mkuu The Sheriff Asante sana kutuunganisha mahakamani. Leo mimi sijisikii vizuri nitakuwa naingia na kutoka afya yangu sio nzuri sana.Habari Wakuu,
Leo 10/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Shahidi Tumaini Swila jana Februari 9, 2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Swila aomba ahirisho kuwa hajisikii vizuri; kuendelea na ushahidi 10/02/2022
Baki nami.
Updates:
Sasa mbona kila anapotoka chooni anakuwa jasiri zaidi?Cross examination sio maswali ya mtihani ulioandikwa tayari, hata kama akienda chooni kupiga chabo anajidanganya tu Kibatala atamuongezea parts b,c, na d, lazima aombe poo.
Umechanja bwashee?Mkuu The Sheriff Asante sana kutuunganisha mahakamani. Leo mimi sijisikii vizuri nitakuwa naingia na kutoka afya yangu sio nzuri sana.
Team yenu Mbarikiwe sana watu wa Mungu.Habari Wakuu,
Leo 10/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Shahidi Tumaini Swila jana Februari 9, 2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Swila aomba ahirisho kuwa hajisikii vizuri; kuendelea na ushahidi 10/02/2022
Baki nami.
Updates:
Usicheze na mkojo. Kwani ana umri gani Shahidi?Sasa mbona kila anapotoka chooni anakuwa jasiri zaidi?
Kwani Mwalimu hawezi kutoa maswali kwa mwanafunzi in advance?
Its a "No-show" from the witness today.Habari Wakuu,
Leo 10/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Shahidi Tumaini Swila jana Februari 9, 2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Swila aomba ahirisho kuwa hajisikii vizuri; kuendelea na ushahidi 10/02/2022
Baki nami.
Updates:
Jaji ameingia Mahakamani Muda huu
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa na Mohamed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa
Wakili wa Serikali, Nasorro Katuga: Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha Mawakili
- Pius Hilla
- Esther Martin
- Jenitreza Kitali
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha Mawakili
Wakili wa Serikali Nasorro Katuga: Mheshimiwa Jaji Shahidi ameshauriwa na Daktari Kupumzika na sisi hatuwezi Kwenda Kinyume na Ushauri wa Daktari Pia tungeweza Kutafuta Shahidi Mwingine wa Kuendelea naye ila Kwa Muda wa Jana na leo isingetosha Kutafuta Shahidi Mwingine
- Jeremiah Mtobesya
- Fredrick Kihwelo
- Sisty Aloyce
- Iddi Msawanga
- Michael Mwangasa
- Edward Heche
- Gaston Garubindi
- Hadija Aron
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji naomba tuhairishe Kesi Mpaka Jumatatu, Kama atakuwa bado hajapona tunaweza Kutafuta Shahidi Mwingine Pia Mheshimiwa Jaji Kwa kutii Agizo la Mahakama Shahidi ameweza Kumtumia Ndugu yake aweze Kuja na Cheti cha Hospitali, lakini Original yake anaweza Kuja nayo yeye Mwenyewe pale atakapo pona
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Naomba kama Dakika Moja na sisi tuweze Kuangalia Cheti cha Hospitali.
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Tumesikia Hoja ya Ndugu yangu Nassoro Katuga Nikianza na Hoja yenyewe ya Nyaraka Kutoka Hospitali, Nakumbuka Wakati natoa Hoja Jana, Tuliomba Shahidi atuletee Karatasi Kutoka Hospitali ya Serikali ambapo pia nafahamu Kwamba Askari Polisi anapopatwa na Ugonjwa anatakiwa kwenda huko, Nyaraka Walio leta Wenzetu Inatoka TMJ Super Polyclinic hii siyo Hospitali Ya Serikali Nyaraka hii inazidi Kuweka Wasiwasi zaidi Kwa Nini Mtu aende Kwenye Hospitali ambayo Haifahamiki
Nafikiri Jana tulikubaliana kuwa aje na Uthibitisho kutoka Hospitali ya Serikali Naomba Mahakama Ione kuwa sababu haina Logic wala hazipo Kama Mahakama itaona tofauti Basi Wenzetu Wasisitizwe
Hali ikiwa mbaya unaomba kuahirisha mtihani kwa kuwa unajisikia vibaya!Zamani wakati wa mtihani tulikuwa tunakwenda kusoma " nyenzo" chooni. Baadae chooni akawekwa mlinzi ili kutia hofu wapiga chabo.
Nenda kwenye zile nyuzi zako huku hakukufaiUzi umejaa mashabiki na washangiliaji
Nilijua tu hili litatokea. Yaani unaweza kudhani wao ndio wanashtakiwa. Kila siku Udhuru wao tu.Habari Wakuu,
Leo 10/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Shahidi Tumaini Swila jana Februari 9, 2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Swila aomba ahirisho kuwa hajisikii vizuri; kuendelea na ushahidi 10/02/2022
Baki nami.
Updates:
Jaji ameingia Mahakamani Muda huu
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa na Mohamed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa
Wakili wa Serikali, Nasorro Katuga: Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha Mawakili
- Pius Hilla
- Esther Martin
- Jenitreza Kitali
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji naomba Kuwatambulisha Mawakili
Wakili wa Serikali Nasorro Katuga: Mheshimiwa Jaji Shahidi ameshauriwa na Daktari Kupumzika na sisi hatuwezi Kwenda Kinyume na Ushauri wa Daktari Pia tungeweza Kutafuta Shahidi Mwingine wa Kuendelea naye ila Kwa Muda wa Jana na leo isingetosha Kutafuta Shahidi Mwingine
- Jeremiah Mtobesya
- Fredrick Kihwelo
- Sisty Aloyce
- Iddi Msawanga
- Michael Mwangasa
- Edward Heche
- Gaston Garubindi
- Hadija Aron
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji naomba tuhairishe Kesi Mpaka Jumatatu, Kama atakuwa bado hajapona tunaweza Kutafuta Shahidi Mwingine Pia Mheshimiwa Jaji Kwa kutii Agizo la Mahakama Shahidi ameweza Kumtumia Ndugu yake aweze Kuja na Cheti cha Hospitali, lakini Original yake anaweza Kuja nayo yeye Mwenyewe pale atakapo pona
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Naomba kama Dakika Moja na sisi tuweze Kuangalia Cheti cha Hospitali.
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Tumesikia Hoja ya Ndugu yangu Nassoro Katuga Nikianza na Hoja yenyewe ya Nyaraka Kutoka Hospitali, Nakumbuka Wakati natoa Hoja Jana, Tuliomba Shahidi atuletee Karatasi Kutoka Hospitali ya Serikali ambapo pia nafahamu Kwamba Askari Polisi anapopatwa na Ugonjwa anatakiwa kwenda huko, Nyaraka Walio leta Wenzetu Inatoka TMJ Super Polyclinic hii siyo Hospitali Ya Serikali Nyaraka hii inazidi Kuweka Wasiwasi zaidi Kwa Nini Mtu aende Kwenye Hospitali ambayo Haifahamiki
Nafikiri Jana tulikubaliana kuwa aje na Uthibitisho kutoka Hospitali ya Serikali Naomba Mahakama Ione kuwa sababu haina Logic wala hazipo Kama Mahakama itaona tofauti Basi Wenzetu Wasisitizwe
Kwa Mujibu Sheria Kesi katika Mahakama hii inatakiwa iishe ndani ya Miezi 9 Tukienda Kwa Mwenendo huu tutalazimika Kuomba Muda wa Nyongeza Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji
Jaji: Hoja ya Kuhusu airisho Sijaona kama Umezungumzia Kuhusu Muda wa airisho
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Jumatatu ni Mbali sana, Kwa Vyovyote itakayokuwa, Sasa ni saa Nne, Mpka Kesho Saa Nne ni Zaidi ya Masaa 24 Wana akiba ya Mashahidi 11 zaidi. Basi tutafute kati hao Mashahidi 11 angalau tuairishe Kwa Leo tuweze Kuja Kuendelea Kesho
Wakili wa Serikali Nasorro Katuga: Mheshimiwa Jaji Tumesikia Hoja ya Wenzetu Kutoka kwa Wakili Peter Kibatala Wenzetu Wanasema Kwamba Shaeria na Tangazo la Serikali namba 259 inataka Kumaliza shauri hili ndani ya Miezi 9 tunalifahamu na tumelichukua
Suala la tukishindwa Kuleta Shahidi huyu, tulete shahidi Mwingine nalo tumelichukua Suala la Shahidi Kuleta Cheti cha Hospitali ya Serikali, Shahidi Tulikuwa tunaona hapa tangu Mwanzo Kila Muda alikuwa anaomba Kwenda Msalani Huko Ndipo alipo kuwa anatibiwa kupitia Daktari Wake
Kupata tiba kutoka kwa Daktari Wake ni Nusu ya tiba, Kuhusu Wasiwasi Wa hapo anapotibiwa wanaweza Kwenda Kuuliza na Kuonana na Daktari Wake. Tunasisitiza Sisi Ka Maafisa wa Mahakama hatufurahishwi na airisho Lolote Pasipo Sababu.
Kuhusu Kuairisha Mpaka Kesho na Sitakukubali Kwamba tuje Kesho halafu tukaja na Hadithi ya Kukosa Shahidi.. Ndiyo Maana tukaomba tuahirishe Mpaka Jumatatu ili kama Shahidi hata Kama anatakiwa Kusafiri atakuwa amefika
Sisi tunaona Kuwa ni Busara Kuairisha Mpaka Kesho halafu tukaja na story, Mahakama Yako itachoka Kutusikiliza. Sisi tunaomba tupewe airisho Mpaka Jumatatu. Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.
Mahakama ipo kimya kusubiri uamuzi mdogo wa Mheshimiwa Jaji
Na ndio maama Abdalla Chavula ma Kidando leo hawapo🤣🤣🤣Yawezekana alienda kujiandaa kujibu mapigo atakapoongozwa na mawakili wa Jamhuri akishamalizana na Kibatala.
KaulazaSwilaaaa.....! Leo yupo kweli au kaulaza?