Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3: Shahidi wa 13, Tumaini Swila ashindwa kufika mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Februari 14, 2022

Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3: Shahidi wa 13, Tumaini Swila ashindwa kufika mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Februari 14, 2022

Serikali haijajipanga katika hii kesi.

Walidhani same cover Kila angle matokeo yake wanapigwa matobo Hadi wanatafuta visingizio vya TMJ. Polisi Wana hosp Yao nzuri Sana kule Kilwa road, kwanini sense TMJ?

Angeanzia Kilwa road then Kama no rufaa angeletwa Muhimbili kuliko na vifaa na madaktari wa uhakika. Hata Marais, Mimi mwenywe na mawaziri wakuu wanatibiwa Muhimbili.

Who goes to TMJ these days?

MNH is fully stocked.
 
Mashahidi karibu wote upande wa Jamhuri ni mapolisi, wanashindwaje kuwapanga kufika mahakamani? Hawakumjulisha shahidi anaefuata baada ya Swila kuwa standby na hasa baada ya kuona hali ya afya ya Swila kuwa si nzuri? Itakuwa vema kuanzia sasa kuwajulisha mashahidi kuwa akimaliza H au akishindwa kumaliza kwa sababu yoyote ile atafuata J.
Kama wewe ungekuwa polisi ungekubali kutoa ushahidi kirahisi!
 
Mashahidi lazima waandaliwe!
Wana andaliwa kuna unyago? Waliona yanayo tendeka waitwe watoe ushahidi.

Hata kama ni kuandaliwa wana takiwa wawe na taarifa in advance.

Kwani mawakili wa serikali hawaoni muendelezo wa kesi?

Kuna siku tulidanganywa shahidi ni mstaafu na yuko mikoani. Tukaletewa Ndowo kijana wa miaka 37 tena yuko Dar.

Tusitetee ujinga. Serikali ikubali kwamba hii kesi ina liaibisha Taifa.
 
Mashahidi karibu wote upande wa Jamhuri ni mapolisi, wanashindwaje kuwapanga kufika mahakamani? Hawakumjulisha shahidi anaefuata baada ya Swila kuwa standby na hasa baada ya kuona hali ya afya ya Swila kuwa si nzuri? Itakuwa vema kuanzia sasa kuwajulisha mashahidi kuwa akimaliza H au akishindwa kumaliza kwa sababu yoyote ile atafuata J.
Hilo linatia shaka timu ya mawakili wa jamhuri
 
Nilivyoona Column ya mawakili wa serikali wako wachache, nikawaza kabisa , leo hamna kitu.

Najua Column yetu sisi wa JF iko kama jana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mimi tangu jana, nilijiandaa kisaikolojia kwamba leo hamna kitu!
 
Ukiwa shahidi kwa suala unalolijua kikamilifu. Huwezi kupata wasiwasi.

Kwanza hata ukiandaliwa na wakili ni dakika 20 ikizidi nusu saa.

Ila ushahidi wa kitu cha kutengeneza. Aisee ni ushahidi mgumu sana. Ukiandaliwa na wakili inabidi hata siku mbili ukae na manotebook.. Kalamu.. Ukariri.. Yaani ni shida tupu.

Ndio maana mawakili wa Serikali hawawezi kukubali eti kesho tuu walete shahidi mwengine, ni kazi kubwa sana kuwaandaa na muda ni mfupi.

Kwahiyo wanakimbilia Jumatatu
 
Mashahidi karibu wote upande wa Jamhuri ni mapolisi, wanashindwaje kuwapanga kufika mahakamani? Hawakumjulisha shahidi anaefuata baada ya Swila kuwa standby na hasa baada ya kuona hali ya afya ya Swila kuwa si nzuri? Itakuwa vema kuanzia sasa kuwajulisha mashahidi kuwa akimaliza H au akishindwa kumaliza kwa sababu yoyote ile atafuata J.
Wanatoa ushahidi wao kimkakati, kwamba leo tumpeleke huyu akafukie shimo la yule! Tatizo kila anayeletwa anafukia shimo moja alafu anatengeneza mashimo mengine 10!
 
Wale mawakili waandamizi leo hawapo, wana mpika jamaa..
Yaani serikali ita pata shida sana kwenye hii kesi. Hata wamloweke kwenye mafuta hawezi kuongea waliyo sema wenzake.
Halafu hii kesi niya muda mrefu kwanini mashahidi ni wakuokota??
Bora afe ili haki ipatikane.
Sala yangu kwa Mungu, kila anae dhihaki neno lake ampatilize hapa hapa duniani.
🤣🤣🤣🤣Hapikiki
 
Hivi wakina Kibatala wangemaliza leo, upande wa mashtaka wasingeweza kuleta shahidi mwingine kesho? Ningekuwa Jaji ningewalazimisha wanipe schedule ya mashahidi na uthibitisho kuwa wamewasiliana nao na wako standby kuja wakati wowote watakapohitajika. Unashindwaje kupata polisi ambae anawajibika kutii amri ya mamlaka? Kuna haja ya kuwa serious na maisha ya wenzao. Au lengo ni kuwaweka watuhumiwa mahabusu kwa muda mrefu inavyowezekana? Jaji lazima awe mkali kwenye hili.

Amandla...
 
Back
Top Bottom