... acha tu Kiongozi; hii nchi kupitia CCM ina laana kali sana!Duh! Ndiyo maana mara nyingi watu wema hatufanikiwi sana. Ntalipwa kiasi gani cha fedha au cheo gani nitapewa mpaka nikubali kumtesa binadamu mwenzangu?
Kesi ya kubumba. Kuna maneno mengi ya uongo wameyaongezea wakati Wakili wa serikali akimuhoji, maneno ambayo hayapo kwenye statement yake aliyoitoa polisi ambayo ndiyo inatumika kama ushahidi.Ha ha ha, eti nilimtaka mlinzi wake achukue kalamu na karatasi ili waandike duh aisee
... eti Mheshiwa sana Freeman Aikaeli Mbowe (KUB) amtumie "nguruwe" kama yule pesa kupitia Airtel Money! Jinga kabisa shahidi feki!Siamini hata hayo makampuni ya simu, yanaweza kulazimishwa kutoa fake print, utetezi walete forensic expert afanye verifications zote kama zipo, serious kesi kama hizi ni long and very expensive lakini kwa wenzetu hawa ni michezo tuu ya mahakama za mbuzi
🤣🤣🤣🤣Mtobesya: Soma kwa Sauti Kuanzia Sehemu unayosema kuwa Ulikuwa Msaidizi wa Katibu wa CCM Shahidi anasoma Kuwa alikuwa Msaidizi wa Katibu wa CCM na mwanaharakati wa CCM.
... naona rekodi zinawekwa sawasawa! Na zisomwe na wote wenye ufahamu.🤣🤣🤣🤣
Shahidi Mkulima wa mbogamboga na mpiga picha asiye Mwanachama wa chama chochote
View attachment 1988505
View attachment 1988506
View attachment 1988507
... UVCCM meza imepinduka huko mahakamani msikimbie uzi. Jibuni hizi hoja; jingalao, Magonjwa Mtambuka, citizensindevelopment18, Kiturilo, et. al.Kesi ya kubambikiwa ikitokea kuwa “high profile”, inakuwa aibu tupu. Yani hata kama Samia walimlisha matango pori na yeye akayabugia tu.
Huyo Kaaya ambaye anasema alikuwa mpiga picha, na kwamba ni mkulima, kumbe si kweli. Jamaa alikuwa kada wa ccm na msaidizi wa katibu mkuu wa ccm. Nimeshangaa sana eti aende kuishi nyumbani kwa Sabaya kwasababu ni mpiga picha! Kwani Sabaya alikuwa mwigizaji wa porn?
Kaazi kweli kweli.
WEUPE KABISA MBONAusiombe kuhojiwa na hawa mawakili upande wa utetezi.....unaweza 💩
Usipaniki, teknolojia haijawahi kumuacha mtu salama, kazi ndiyo kwanza imeanzaUna akili ya kisoda sana, unafikiri huyo Shahidi hawezi kupangwa kusema hayo, kwanini alikaa ndani mwaka mzima na baadae kuachiwa?
Acha kuamini kila kisemwacho.
hii kesi msingi wake eti ni kusudio la kutenda kosa, kwamba waletea mashitaka wanamshitaki Mbowe kwa kusudio la kufanya ugaidi.. sasa sijui sheria inasemeje hapo maana so far hakuna ugaidi wowote ulifanyika na mbaya zaidi hakuna vielelezo vya kuifanya mahakama iamni kwamba ugaidi ulipangwa, hakuna hata kimoja.
Umemsikia Shahidi wenu wa kuchonga.Usipaniki, teknolojia haijawahi kumuacha mtu salama, kazi ndiyo kwanza imeanza
Mwanzo mwisho, nimesikia pia jinsi Mkiti alivyokuwa analitumia gari la KUB kuzurura na "kimada" na kupanga matendo ya uhalifu.Umemsikia Shahidi wenu wa kuchonga.