Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake. Shahidi Justine Eliya Kaaya, amtaja Ole Sabaya. Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 28, 2021

Naona mwenye chair ushahidi unamkaanga..sion possibility ya yeye kuchomoka asee...
Tatizo Tiss ni vichwa vibovu hawaipendi bali. Nchi matumbo yao hivi kweli wangekuwa weledi unaruhusije kesi inayomdharilisha chief Hangaya na serikali yake to zero yaani ukisikia watanzania ni stunt brain kwa asilimia 41 ndio matokeo yake haya ya akina Ramadhani Kingai sijui alizaliwa na nani
 
Simply jaji kaonesha bosi wake ni Kingai, hivyo haikuwa haki kwake kuona bosi wake akitandikwa maswali na yeye subordinate yupo tu anaangalia bila kufanya chochote kwa sababu alibanwa na sheria, ndio maana akaamua kumuomba radhi bosi wake lakini naamini atamtendea wema zaidi bosi wake siku ya hukumu ikifika ili kumuonesha bado anamheshimu.

Naona bado tuna safari ndefu sana ya kutafuta haki ya kweli nchi hii, kama majaji nao wanawafanyia kazi polisi ili kuwaridhisha kwasababu wote ni ndugu moja sijui tutakimbilia wapi, muhimili wa mahakama hasa mahakama kuu unazidi kupoteza thamani yake kila siku tena kwa spidi ya kutisha sana.

Katiba Mpya inavyozidi kuchelewa ndio tunazidi kuoneshwa umuhimu wake kila siku, na ndio maana mpigania haki na wenzake wasio husika wako ndani kama njia ya kumfunga mdomo ili asiwaamshe waliolala.
 
Huyo jamaa pichani anaonekana roho mbaya tupu, tuanze na polisi akipiga raia iwe kosa la jinai
 
Kuna sababu yeyote ya kuwa na "Stunts" kama hizi mahakamani? Huyu jamaa watu wanamvimbisha kichwa sana na masifa wanayompa, ila sidhani kama kweli ana uwezo huo...Attention Seeker
Wewe mwenyewe hapo huna tofauti na huyo unayemsema hapo. Tazama tu unavyo'seek attention' kwa hilo jina ulilojipachika, huku ukiwashabikia wanaoinajisi hiyo Tanzania unayodai unaipenda.

Kazi yake inaonekana, acha watu wamuhukumu kwa kazi na matokeo yanayoonekana.
Bure Kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…