Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake. Shahidi Justine Eliya Kaaya, amtaja Ole Sabaya. Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 28, 2021

Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake. Shahidi Justine Eliya Kaaya, amtaja Ole Sabaya. Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 28, 2021

Shaidi wa Leo walimpanga vizuri sana wakaona itakuwa bonge la ushahidi yahaani wanaua kama sio kuwa Homa ya jiji.

Masikini ya Mungu wakati wanampanga shaidi wakasahau kusoma maelezo aliyotoa polisi. Alichokiongea Leo Mahakamani ni tofauti kabisa na maelezo aliyotoa polisi. Na Inaonekana upande wa mashitaka ndio walikuwa wanamtegemea sana

Kwa kifupi ni aibu sana
Hayo ni maoni yako binafsi na wishes zako. Bahati mbaya siyo ya kisheria na mahakama ile ni ya kisheria, the court of law na siyo the court of opinion.
 
Unaongelea siasa za kistaarabu za kupiga risasi,kufunga na kubambikia kesi wapinzani kama kina Sugu, Lisu, Mbowe, lema etc na kuiba uchaguzi nchi nzima, kuweni na aibu kidogo
Mimi sina upande nilioegemea, najua kuna sehemu lazima watu wakubali lawama, tuache kulaumiana na tutafute suluhisho ili watoto wetu warithi Tanzania yenye umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha.
 
Toa mfano basi busara ipi itumike? Maana watu wameongea sana hata kipindi wakiwa bungeni lakini hakuna lolote, au kufanya kongomano sio busara?

Watu mnajifanya wajuaji sana kwenye hamna.
Kukumbushana kunako amani ni bora kuliko kila siku kuhubiri chuki na dharau, tatizo kubwa tulilonalo ni ubinafsi, viongozi wengi wawe wa chama tawala au upinzani wana ajenda binafsi kuliko ajenda zenye maslahi ya umma.
Molembe huenda wewe ukamchukia mtu kwa kuwa unayempenda ndiye hasa mwenye kumchukia huyo unayemchukia. Mkuu weka chuki pembeni jenga umoja, upendo na mshikamano maisha ni mafupi.
 
Kumpa kashfa tena? Wakati mwenyekiti amezaa na huyo Dada watoto wawili? Nyinyi akili zenu zikoje na huyo Mwenyekiti wenu?
Wewe, hadi ufahamu hilo, labda ulitaka azae na wewe. Wanawake mna mambo sana, unafamu hata kabla mke wake hajafahamu.😜😜
 
Usipanick , nyie ndiyo mmekuwa mkituhubiri kuwa haki huiponya taifa. Ndiyo hivyo gaidi akihukumiwa taifa tutapona dhidi ya maovu yote ya kigaidi. Biashara au afya inaweza kuteketezwa muda wowote na gaidi. Hakuna afya njema, biashara nzuri wala kazi nzuri gaidi akiingia mtaani.
Mungu alifanya kwa Magufuli,akafanya kwa Makonda ,akafanya kwa Sabaya!!Mimi sikuhukumu Mungu mwenyewe aliyetuumba anakujua vizuri zaidi yangu.Sisime upokee laana na familia yako kwa maneno na matendo yako ,sisemii wewe na familia yako mpokee kansa lakini Mungu aonaye sirini na akujaze mwenyewe.
 
Kwani kipo kifungu cha sheria kinachompa haki ya kuomba radhi?

Ndio! Ni kile kinachosimamia haki ya kila mtanzania kuwa na uhuru wa kusema /kutoa maoni yake ili mradi hasivunje sheria wala kukiuka mipaka ya kikatiba ya nchi.
 
Kila siku unasema maneno hayo hayo ya kulaani lakini unachopswa kujua ni kuwa Munhu aliyefanya kwa wengine ndiye huyo aliyefanya kwa Mbowe.

Elewa pia kuwa mwenye kulaani analaaniwa yeye. Hakuna laana yoyote inayompata mwenye kutenda kwa haki, ingekuwa hivyo leo mahakimu na majaji wangejaa laana kwa maamuzi ya kufunga watu jela. Mbowe atafungwa jela na hakuna wa kulaaniwa.

Mungu wetu ni wa haki. Hata kuhukumiwa jela ni sehemu ya haki hiyo.
Mungu alifanya kwa Magufuli,akafanya kwa Makonda ,akafanya kwa Sabaya!!Mimi sikuhukumu Mungu mwenyewe aliyetuumba anakujua vizuri zaidi yangu.Sisime upokee laana na familia yako kwa maneno na matendo yako ,sisemii wewe na familia yako mpokee kansa lakini Mungu aonaye sirini na akujaze mwenyewe.
Aa
 
Kwa hiyo wewe hapo ndiyo umejiona una iq kubwa? Nini cha maana umechangia kiasi cha kumdhihaki mwenzio.Punguza utoto mwingi,jikite kwenye mada,shusha nondo zako udhihirishe ukubwa wa iq yako na si kuleta maneno ya kejeli kwa wengine.
Niwie radhi kwa kujazibika ninapoona tuko jf kwa hoja nzito mtu analeta mzaha na kejeri. Binafs hili suala naliangalia kwa muktadha wa kanuni ya utoaji haki na utawala bora kuwa si tu haki itendeke bali ionekane ikitendeka. Jaji ni mkubwa sana katika kiti chake kama referee. Hapaswi kutetemekea upande wowote. Tena Mashahid!
 
Back
Top Bottom