Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake. Shahidi Justine Eliya Kaaya, amtaja Ole Sabaya. Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 28, 2021

Kwenye hii kesi Hakuna Gaidi aliyekubaliana kiwango na malipo. Magaidi wa Aina hii wanapatikana Tanzania tu.
 
Nafikiri na nadhani Niko sahihi kwamba hao washtakiwa wengine walikamatwa Mwaka Jana
 
Haya sasa ushahidi kwa kufundishwa - shuuli kama ile ya PGO ishaanza !!
 
... Kaka yangu wakili msomi mwandamizi Mtobesya asimamaye upande wa haki kamlabua kwelikweli huyo mrugaruga na ushahidi wao wa kubumba!

Je, haijapata kuandikwa katika chuo cha manabii, ulimi wa uongo ni wa kitambo tu? Ndicho kinachotokea sasa! Mungu wa Mbinguni asimamaye na wenye haki daima usitufiche uso wako YEHOVA; Ee Mungu bila wewe hatuondoki hapa BWANA!
 
Sisi tu watazamaji tu hakuna kinginej
Jaji naye asije akaachia ngazi
 
Kesi ya kubambikiwa ikitokea kuwa “high profile”, inakuwa aibu tupu. Yani hata kama Samia walimlisha matango pori na yeye akayabugia tu.

Huyo Kaaya ambaye anasema alikuwa mpiga picha, na kwamba ni mkulima, kumbe si kweli. Jamaa alikuwa kada wa ccm na msaidizi wa katibu mkuu wa ccm. Nimeshangaa sana eti aende kuishi nyumbani kwa Sabaya kwasababu ni mpiga picha! Kwani Sabaya alikuwa mwigizaji wa porn?

Kaazi kweli kweli.
 
Siamini hata hayo makampuni ya simu, yanaweza kulazimishwa kutoa fake print, utetezi walete forensic expert afanye verifications zote kama zipo, serious kesi kama hizi ni long and very expensive lakini kwa wenzetu hawa ni michezo tuu ya mahakama za mbuzi
 
Pia tuhakikishie kupitia hata ikibidi vipimo vya DNA ama finger prints kwamba ile Bunduki alitumiwa na Adamoo na ni yake ambayo alipanga kumlipua Mr. Sabaya.
Tunaambiwa 7Baya angeuwawa kwa kupuliziwa PODA kama UTITIRI!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…