Wewe ni zuzu haswa.Unaona la likijinga si kwasababu ya uzuzu wako
Kwenye hii kesi Hakuna Gaidi aliyekubaliana kiwango na malipo. Magaidi wa Aina hii wanapatikana Tanzania tu.Hairuhusiwi mahakama kuomba print out kutoka makampuni ya simu inayoonyesha calls za shahidi na Mbowe?..... naona wakili kauliza tiketi na shahidi hana, mahakama haiwezi kuthibitisha kwa kuangalia movement ya simu ya mhusika hiyo siku..vs mazungumzo yake anayotoa mahakamani... Kama ni uongo mahakama haiwezi kumpiga mvua shahidi kwa kuleta uongo mahakamani.?....
hakuna nilipoona makubaliano ya malipo kati ya huyo shahidi na Mbowe...unawezaje kuombwa tu important information za watu na kutoa kirahisi hivyoo bila makubaliano? ( anyway labda ndio watanzania tulivyo..)
Nilijua Kingai atakuwa mpumbavu No.1 kwenye hii kesi kumbe kuna Mazuzu bado tutawaona.Useless, yaani Mbowe kama ana shinda hawezi kujua mwenyewe Sabaya anatembeleaga wapi? Yaani Hai, Arusha, Moshi Mh. Mbowe ashindwe kujua viwanja vipi Sabaya huwa anapenda kwenda? - muongopeni Mungu nyie watu.
Unaweza ku suppy barua iliyomu-appoint kwa hiyo task force?Task Force hiyo mkuu
Nafikiri na nadhani Niko sahihi kwamba hao washtakiwa wengine walikamatwa Mwaka JanaNashindwa kuelewa mantiki ya kesi hii. Maana Agosti 2020 Mbowe anawaajiri hao komando kuandaa fujo, kuchoma vituo vya mafuta, kukata miti kwenye barabara Moro/Iringa na kumshambulia DC wa Hai?
Halafu mwaka 1 baadaye, wakati hakuna kituo 1 kilichochomwa, hakuna mti ulioanguka kwenye barabara hiyo, na Ole Sabaya alifurahia maisha hadi kupora wafanyabiashara wa Arusha, hao magaida wanakamatwa?
Na katikati hakuna hatua iliyochukuliwa kulinda usalama? Wala hakuna kitendo cha kigaidi kilichotekelezwa?
Abu Nuwasi au mwendesha mashitaka mkuu?
(Hasa kwa sababu mashitaka ya ugaidi yalitumiwa tayari Oktoba 2020, nisipokosei; ni yaleyale ya kuchoma vituo vya mafuta..... sivyo?)
Nyoo maji mtaita mma, mnakubali kuja kusimama mbele ya Mahakama kutetea uongo?Wakili wa Serikali: tunaomba Dakika 15
Haya sasa ushahidi kwa kufundishwa - shuuli kama ile ya PGO ishaanza !!Mtobesya: Eleza Mahakama Kwamba huyo Mlinzi alikuwa Diwani wa Kiboriloni
Shahidi: Nilisema
MTOBESYA: elezea Sasa hapo Katika Maandishi yako humo kuna Mlinzi anaitwa Bwire
Shahidi: Mheshimiwa Jaji MI Leo nilikuwa nafafanua.
Mtobesya: hakuna mahala Kwenye Statement inaonyesha kuna Mlinzi anaitwa Bwire
Shahidi: Statement Haionyeshi
Mtobesya: kwenye Statement yako kuna sehemu inasema Baada ya Kukutana Mara ya Pili, kwamba Ulimtajia Majina huyo Mbowe watu wanaotembea na Sabaya?
Shahidi: Majina hayajaandikwa hapa kwenye Statement
Mtobesya: Ulipokutana Mara ya Tatu ulisema Ulimtajia pia Majina, hayo Majina yapo kwenye Maelezo Yapo?
Shahidi: Hayapo
Uwanja umeshainama huko mahamani kwa shahidi no2,Nyoo maji mtaita mma, mnakubali kuja kusimama mbele ya Mahakama kutetea uongo?
mambo yeshaharibika hayaa, shahidi katuangusha yakheeee !! wacha nirudi zangu Pemba mie shuuli ishaishaaa !!Uwanja umeshainama huko mahamani kwa shahidi no2,
Alikuwa msaidizi wa Katibu wa Ccm na mwanaharakati na Malaya fulani
... Kaka yangu wakili msomi mwandamizi Mtobesya asimamaye upande wa haki kamlabua kwelikweli huyo mrugaruga na ushahidi wao wa kubumba!...
Mtobesya: Soma eneo linalosema Mimi nilikwenda Kwa Kutumia Nauli yangu. Umeona?
Shahidi: anapekua
Shahidi: Mimi nilikwenda Kwa Kutumia Nauli yangu, na Nilipofika alikuja Kunichukua
Mtobesya: Eleza Mahakama Kwamba huyo Mlinzi alikuwa Diwani wa Kiboriloni
Shahidi: Nilisema
MTOBESYA: elezea Sasa hapo Katika Maandishi yako humo kuna Mlinzi anaitwa Bwire
Shahidi: Mheshimiwa Jaji MI Leo nilikuwa nafafanua.
Mtobesya: hakuna mahala Kwenye Statement inaonyesha kuna Mlinzi anaitwa Bwire
Shahidi: Statement Haionyeshi
Mtobesya: kwenye Statement yako kuna sehemu inasema Baada ya Kukutana Mara ya Pili, kwamba Ulimtajia Majina huyo Mbowe watu wanaotembea na Sabaya?
Shahidi: Majina hayajaandikwa hapa kwenye Statement
Mtobesya: Ulipokutana Mara ya Tatu ulisema Ulimtajia pia Majina, hayo Majina yapo kwenye Maelezo Yapo?
Shahidi: Hayapo
Mtobesya: Wakati Unaongozwa na Wakili Wa Serikali na huyo uliyemuita Mbowe ulimpigia Sabaya na Baadae Mbunge uliyemjulisha, Je hayo yapo kwenye Statement Yako?
Shahidi: hayapo
Mtobesya: pia wakati wakili wa Serikali anakuongoza nilisikia Majina ya Hotel na Club ulizotaja kwa Majina yake, Hizo Taarifa zipo humo kwenye Statement Yako?
Shahidi: Hazipo
Mtobesya: Wakati wakili wa Serikali anakuongoza Huyo uliyesema ni Bwire alitamka Sabaya ni Mtoto Mdogo atamchezesha, Je yapo kwenye Statement?
Shahidi: Hayapo
Mtobesya: Wakati wakili wa Serikali anakuongoza a umesema wewe unajishughulisha na Kilimo na Ukasema unavyofanya Kilimo, Je yapo hapo kwenye Statement..?
Shahidi: Hayapo
Mtobesya: Soma kwa Sauti Kuanzia Sehemu unayosema kuwa Ulikuwa Msaidizi wa Katibu wa CCM Shahidi anasoma Kuwa alikuwa Msaidizi wa Katibu wa CCM na mwanaharakati wa CCM.
Mtobesya: Wakati wakili wa Serikali anakuongoza ulisema kuwa wewe Ulishawahi kuwa Msaidizi wa CCM.
Shahidi: Hapana
Ahahaaa alijitapa kuwa ni Mkulima wa mboga mboga!Mtobesya: Wakati wakili wa Serikali anakuongoza ulisema kuwa wewe Ulishawahi kuwa Msaidizi wa CCM.
Shahidi: Hapana
Siamini hata hayo makampuni ya simu, yanaweza kulazimishwa kutoa fake print, utetezi walete forensic expert afanye verifications zote kama zipo, serious kesi kama hizi ni long and very expensive lakini kwa wenzetu hawa ni michezo tuu ya mahakama za mbuziHairuhusiwi mahakama kuomba print out kutoka makampuni ya simu inayoonyesha calls za shahidi na Mbowe?..... naona wakili kauliza tiketi na shahidi hana, mahakama haiwezi kuthibitisha kwa kuangalia movement ya simu ya mhusika hiyo siku..vs mazungumzo yake anayotoa mahakamani... Kama ni uongo mahakama haiwezi kumpiga mvua shahidi kwa kuleta uongo mahakamani.?....
hakuna nilipoona makubaliano ya malipo kati ya huyo shahidi na Mbowe...unawezaje kuombwa tu important information za watu na kutoa kirahisi hivyoo bila makubaliano? ( anyway labda ndio watanzania tulivyo..)
Tunaambiwa 7Baya angeuwawa kwa kupuliziwa PODA kama UTITIRI!Pia tuhakikishie kupitia hata ikibidi vipimo vya DNA ama finger prints kwamba ile Bunduki alitumiwa na Adamoo na ni yake ambayo alipanga kumlipua Mr. Sabaya.