Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi, huwa sihangaiki kusoma maswali na majibu kutoka upande wa mashtaka. Huwa nasubiri upande wa utetezi tu! Haya mambo ya KUKATA MAGOGO, KULIPUA VITUO VYA MAFUTA, nisha choka nayo!Hilo kabati la chuma nalo ni kielelezo?Maana Naona halikauki mdomoni mwa shahidi!
Asante,nimerudi rasmi sasatayari mambo yashaanza, nashon kaputa mchanga
Hahahah hapa hakuna kesii jamani ukweli mtupu yaaani daaaah sijui jajii na DPP wanasubiri nini aibu itawafika upande wa MashitakaHabari Wakuu,
Leo 07/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri kesi inayomkabili Mbowe na wenzake leo Februari 4, 2022. Kesi imeahirishwa. Shahidi wa 13 kuendelea kutoa ushahidi Februari 7, 2022
Updates:
Jaji ameingia
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala nipo Pamoja na
- Wakili Pius Hilla
- Abdallah Chavula
- Jenitreza Kitali
- Nassoro Katuga
- Esther Martin
- Tulimanywa Majige
- Ignasi Mwinuka
Jaji anaita Washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika
- Wakili Nashon Nkungu
- John Mallya
- Dickson Matata
- Seleman Matauka
- Fredrick Kihwelo
WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja ambaye alishaanza Kutoa Ushahidi Wake, Tupo tayari Kuendelea
Kibatala: Nasisi pia Mheshimiwa Jaji tupo tayari Kuendelea
Jaji: Shahidi nakukumbusha kuwa Ijumaa Ulikula Kiapo na, Leo Utaendelea Kuwa Chini ya Kiapo
Shahidi: Sawa Mheshimiwa
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Sasa Inspector Swila, Siku ile Tulikomea Tarehe 27 October 2020 wakati unampatia DC Goodluck Bastola Baada ya hapo Ulifanya Shughuli gani Nyingine
Shahidi: Niliweza Kupokea Taarifa ya Uchunguzi na SilahaTarehe 27 November 2020 Nilipokea kutoka kwa koplo Azizi wa Kitengo Cha Silaha na Milipuko Nilipokea Silaha, Bastola aina ya Luger A5340, Risasi Moja, Maganda Mawili ya Risasi pamoja na Vichwa Viwili Vya Risasi
Wakili wa Serikali: Wakati unapokea Taarifa ya Risasi Moja pamoja na Maganda Mawawili, Ni wapi ilipokea
Shahidi: Katika Kitengo Cha Uchunguzi Wa Silaha na Milipuko
Wakili wa Serikali: Uliwezaje Kujua kama Ndiyo Silaha uliyopeleka
Shahidi: Niliweza Kuangalia Serial Namba ya Silaha, Nikakuta ni A5340 na Silaha aina ya Luger
Wakili wa Serikali: VIpi Kuhusiana na Risasi Zenyenwe zilikuwa na hali gani
Shahidi: Risasi niliyo pokea ilikuwa ni Moja, Ilikuwa haujatumika, Ilikuwa na Alama A3 na Risasi ambazo zimetumika Nilikuta zimepewa alama ya T1 na T2
Wakili wa Serikali: Nani aliweka alama katika Vielelezo hivyo
Shahidi: Mchunguzi Wa Vielelezo hivyo
Wakili wa Serikali: Baada ya Kuwa umepokea Riport na Vielelezo Ulifanya nini.?
Shahidi: Vielelezo nilipeleka Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam na Kwenda Kuvikabidhi
Wakili wa Serikali: Kitu gani hicho ulienda Kukabidhi Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Shahidi: Nilienda Kukabidhi Silaha, Bastola aina ya Luger A5340 na Risasi Moja, Maganda Mawili pamoja na Vichwa Vyake
Wakili wa Serikali: Na Report Ulifanyia nini
Shahidi: Report nilihifadhi na Kufungia katika Kabati langu la Chuma
Wakili wa Serikali: Baada ya Tarehe 27 November 2020, Nataka Kukurudisha Kwanza hapo ambapo unasema Ulikabidhi Risasi Moja, Maganda Mawili na Silaha, Je Ulimkabidhi nani
Shahidi: Nilimkabidhi Sarjent Nuru, ambaye Yupo Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam, ni Mtunza Vielelezo Katika ghala la Kutunzia Silaha
Wakili wa Serikali: Kabla ya kwenda Katika Shughuli Nyingine za Upelelezi, Ni wakati gani tena Ukiweza Kushughulika na Vielelezo hivyo
Shahidi: Nili shughulika tena wakati Wa Kutoa Mahakamani Kwa ajili ya Ushahidi, Ambapo Nilimkabidhi koplo Hafidh Kwa ajili ya Kuja Kutoa Ushahidi Mahakamani
Wakili wa Serikali: Turudi tena Katika Upelelezi Baada ya Tarehe 27 November 2020, kitu gani kiliendelea Wakati wa Kesi hiyo
Shahidi: Niliweza Kupokea Taarifa Kutoka kwa Mrajisi wa Silaha Siku ya Tarehe 18 March 2021
Wakili wa Serikali: Hiyo Taarifa Ilikuwa inahusu nini
Shahidi: Ilikuwa inahusu Mmiliki Wa Silaha Yenye Sirial namba A5340 aina ya Luger
Wakili wa Serikali: Na Ripoti hiyo ilisemaje
Shahidi: Report hiyo ilionyesha Kuwa Silaha hiyo, haina Usajili wowote Katika Ofisi Ya Mrajisi Wa Silaha Hapa Nchini
Wakili wa Serikali: Kitu gani Kingine kiliendelea baada ya hiyo Tarehe 18 March 2021
Shahidi: Tarehe 30 March 2021 Niliweza Kupokea Taarifa Ya Maabara ya Sayansi, Kutoka Kitengo Cha Uchunguzi Wa Maandishi, Kutoka Kwa koplo Khamis, Wa Kutengo cha Uchunguzi Wa Maandishi. Niliweza Kusoma Ripoti hiyo, Ambapo Ripoti hiyo ilionyesha Kuwa Sampuli Za Maandishi yaliyo chukuliwa Kutoka Kwa Mtuhumiwa Khalfani Bwire Hassan, Ni sawa Sawa na Maandishi Yaliyokuwepo Katika Daftari nililoambatanisha katika Uchunguzi ule
Wakili Wa Serikali: Baada ya Kuwa Umesoma, Ukafanya nini
Shahidi: Niliweza Kuhifadhi katika Jalada langu la Kesi na Kufungia Katika Kabati langu la Chuma
Wakili wa Serikali: Baada ya Tarehe hiyo Kitu gani Kingine Ulifanya Kuhusu Kesi hiyo
Shahidi: Mnamo Tarehe 10 July 2021 Niliweza Kupokea Taarifa ya Simu zile Nane Kutoka Kwenye Maabara ya kisayansi Kitengo Cha Uchunguzi Wa Makosa ya Mtandao
Wakili wa Serikali: Ulipokea Kutoka Kwa nani
Shahidi: Nilipokea Kutoka Kwa Inspector Ndowo wa Kitengo Cha Uchunguzi Wa Makosa ya Ki Mtandao Wa Maabara Ya Kisayansi
Wakili wa Serikali: Baada ya Uchunguzi Wa Taarifa hiyo nini Kilitokea
Shahidi: Alijulishwa DC Goodluck ambaye haikuwepo Dar es Salaam, alinijulisha Kwa Uchunguzi umekamilika, Ndipo nilipoenda Kuchukua Taarifa hiyo
Wakili wa Serikali: Ulimkabidhiwa Kwa Utaratibu Upi
Shahidi: Kwa Kusaini Katika Kitabu cha Kitengo Cha Uchunguzi Wa Makosa ya Mtandao
Wakili wa Serikali: Mwanzono Ulisema Kwamba Ulipeleka simu, Sasa unakabidhiwa Riport, Vipi Kuhusu Zile simu
Shahidi: Pia Nilikabidhiwa Simu Nane ambazo niliziandikia Barua
Wakili wa Serikali: Ulijuaje Kama ndiyo Simu ulizopeleka
Shahidi: Niliweza Kuzikagua Wakati na kabidhiwa Wakili wa Serikali Ulifanyia nini hiyo Riport baada ya Kukabidhiwa
Shahidi: Simu Nane nilipeleka Katika Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam, Nilimkabidhi Coplo Charles ambaye ni Mtunza Vielelezo Katika Chumba Cha Kuhifadhia Vielelezo Katika Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Wakili wa Serikali: Na Ile Ripoti Ulifanyia nini
Shahidi: Ripoti Ya Uchunguzi Niliweza Kusoma. Na Kuhifadhi katika Jalada la Kesi Kisha Kuweka Katika Kabati langu la Chuma
Wakili wa Serikali: Ripoti hiyo Kwa sababu wewe Ndiye Uliyeomba Uchunguzi, Ni Vitu gani Ukiweza Kupata Kutoka Katika Ripoti hiyo
Shahidi: Katika Report hiyo Niliweza Kugundua Vitu vifuatavyo, Niliweza Kugundua Kuwa palikuwa na Mawasiliano kati ya Shahidi Luteni Denis Urio na Mtuhumiwa Freeman Mbowe ambayo Yalifanyika Katika Mtandao Wa Telegram Pia Kupitia Maelezo Ya Shahidi Luten Denis Urio, aliweza Kusema Kuwa alitumiwa pesa Kutoka Kwa Mtuhumiwa Freeman Mbowe
Ambapo Tarehe 20 July 2020 Namba 0719933386 ambayo ni Ya Mtuhumiwa Freeman Mbowe ilituma Kiasi cha TSh 500,000 Kwenda Kwa namba ya shahidi Luteni Denis Leo Urio ambayo ni 0787 555200.
Pia Tarehe 22 Mwezi huo huo wa July 2020 ilionyesha Kuwa Shahidi Luten Denis Urio Kupitia namba yake ya 0787 555200 ulipokea Kiasi cha TSh 199,000 kutoka Kwenye namba ya Wakala Kama alivyo eleza Luten Denis Urio.
Wakili wa Serikali: Baada ya hapo Nini Kiliendelea
Shahidi: Tuliendelea Kuandika Taarifa Mbalimbali na Kupitia Ripoti hiyo Niliweza Kujiridhisha kuwa ni kweli Mtuhumiwa Freeman Mbowe aliweza Kutuma hizo Fedha Kwa Luten Denis Urio
Wakili wa Serikali: Nini kiliendelea baada ya hapo
Shahidi: Siku ya Tarehe 27 July 2021 Watuhumiwa Justin Kaaya, Khalid na Gabriel Muhina Walifutiwa Shitaka Lao baada ya Kugundulika hawahusiki na chochote
Wakili wa Serikali: Turudi Baada ya Kupokea Ripoti Ya Uchunguzi Wa Kisayansi Kuhusu Simu, Baada ya Hapo Ulifanya nini
Shahidi: Mnamo Tarehe 18 July 2021 Niliandika Taarifa Kwenda Kwa Afande Mkurugenzi Wa Upelelezi wa Makosa Ya Jinai Nchini, Kuwa Kuna Ushahidi Wa Uhusika wa Mtuhumiwa Freeman Aikael Mbowe, nakuwezesha Kumkamata
Wakili wa Serikali: Mwanzoni Wakati Unatoa Ushahidi Wako Ulizungumzia Kuhusu Kufungua Majalada Mawili, Je ni Jalada lipi ambalo wewe Uliandikia Taarifa
Shahidi: Ni lile Jalada la Kesi tulilo fungulia Polisi, ambalo ni CD/IR /2097 /2020 lenye Chama za Kutaka Kufanya Vitendo Vya Kigaidi
Wakili wa Serikali: Wakati Wa Kufungua Jalada la Kesi hili CD /IR /2097 /2020 Ulisema Kwamba Usiandike Jina la Freeman Mbowe Kwa sababu Kama Ungeandika Jina Taarifa zingeweza Kuvunja, na akasitisha Mpango Wake, Je Ulikuwa Unamaanisha Nini
Shahidi: Nilikuwa namaanisha kuwa angeweza Kusitisha Kumtumia Mtoa Taarifa, angeweza Kutumia Watu wengine ambapo Jeshi la Polisi lisingejua Mahali wala Muda, Kitu ambacho. Lingesababisha Jeshi la Polisi Kushindwa Kuzuia Uhalifu
Wakili wa Serikali: Baada ya Kuandika Taarifa Kwenda Kwa DCI Nini Kiliendelea
Shahidi: Nilipokea Taarifa Kutoka Kwa Afande Ramadhan Kingai Kamishina Msaidizi Wa Polisi alinitaka nitunze Jalada hilo na Kwamba Yeye anafanya Jitihada za Kumkamata Mshitakiwa Freeman Aikael Mbowe
Wakili wa Serikali: Baada ya DCI Kukwambia Hatua ambazo angechukua nini Kilitokea sasa
Shahidi: Mnamo Tarehe 22 July 2021 Nilipokea Karatasi Ya Mtuhumiwa Freeman Aikael Mbowe Kutoka Kwa Afande Jumanne Malangahe Mrakibu Wa Polisi, Kimsingi Nilipokea Maelezo hayo Ikionyesha Mtuhumiwa amekataa Kutoa Maelezo Yake Polisi
Wakili wa Serikali: Kwa Kipindi hicho Ulifahamu huyo Mtuhumiwa Freeman Mbowe amepatikanaje
Shahidi: Nilifahamu Kwamba amekamatwa Mwanza na Kusafirishwa Dar es Salaam
Wakili wa Serikali: Umekuwa Ukizungumza Majina Ya Watu Kadhaa Hapa Mahakamani akiwepo, Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe. Hebu ieleze Mahakama Kama Watu hao wapo hapa Mahakamani
Shahidi: Ndiyo Watu hawa wapo hapa Mahakamani
Wakili wa Serikali: Hebu onyesha sasa
Shahidi: Mtuhumiwa Wa Kwanza, Kutoka Upande Wa Kulia ni Khalfani Bwire Hassan, Wapili kutoka Kulia Kwangu ni Adam Hassan Kasekwa, Watatu Kutoka Kulia Kwangu ni Mohammed Abdilah Ling'wenya na Wanne Kutoka Kulia Kwangu ni Freeman Aikael Mbowe
Wakili wa Serikali: Sasa Mwanzoni Wakati Unatoa Ushahidi Wako Ulizungumzia Kuhusu Khalfani Bwire, Adam Kasekwa na Mohamed Ling'wenya Walifikishwa Mahakamani Tarehe 19 August 2020, Mtuhumiwa Freeman Mbowe alifikishwa Mahakamani Tarehe ipi
Shahidi: Mtuhumiwa Freeman Mbowe alifikishwa Mahakamani Tarehe 26 July 2021
Wakili wa Serikali: Ni tofauti gani ipo Kutokana na Kufikishwa Tarehe tofauti na Wale 3
Shahidi: Utofauti unakuja Kutokana na Kusubiri Kwa Taarifa Ya Uchunguzi Wa Makosa ya Mtandao, ambao Kimsingi Nilipokea Tarehe 10 July 2021
Wakili wa Serikali: Sasa na Upelelezi Wa Kesi inayo wakabili, Ni Ushahidi gani ulipata Kwamba Walikula Njama za Kutenda Matendo Ya Ugaidi
Shahidi: Ni Kupitia Maelezo Yao ya Onyo ya Mshtakiwa Wa Pili Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya pamoja na Mshitakiwa Wa kwanza Khalfani Bwire Hassan, Pia Ushahidi Mwingine ambao Unaonyesha walikuwa Njama ni Kupitia Maelezo Ya Shahidi Luten Denis Urio,
Shahidi: Maelezo Ya Askari Walio wa kamata, Askari Walio andika Maelezo Ya Watuhumiwa
Wakili wa Serikali: Kuhusiana na Pesa iloyotumwa, Uliiweza Kubaini nini?
Shahidi: Niliweza Kubaini Fedha hiyo ilitumwa kutoka Kwa Freeman Mbowe Kwenda Kwa Luten Denis Urio, Ambapo Fedha hiyo iliweza Kuwawezesha Watuhumiwa Mshitakiwa Wa Pili na watatu pamoja na Mwingine ambaye hajakamatwa Kuweza Kufika Eneo la Uhalifu ambalo lilikuwa Eneo la Moshi Niliweza Kubaini Kuwa Fedha hiyo ilitumwa iliwezesha Watuhumiwa Kufika Eneo la Utekelezaji Wa Uhalifu
Wakili wa Serikali: Unaposema Kwamba Mshitakiwa Wa Pili, Watatu na Mwingine hajakamatwa, Vipi Mtuhumiwa Wa Kwanza Kuhusiana na Fedha hii
Shahidi: Kuhusu Mshtakiwa Wa kwanza Inaonyesha Pia aliweza Kupokea Pesa kutoka kwa Luten Denis Urio Kwa ajili ya Utekelezaji Wa Vitendo Vya Kigaidi
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Naomba Kukomea hapo Kwenye Examination inchief
Upande wa Utetezi
Wakili Nashon Nkungu: Shahidi Habari za Leo
Shahidi: Njema
Nashon: Shahidi umepona?
Shahidi: Bado
Nashon: Umemeza Dawa zako
Shahidi: Ndiyo
Nashon: nadhani Shahidi unatambua Ukubwa wa hii Kesi
Shahidi: Sahihi
Nashon: Kwamba Ugaidi ni Jambo Serious kwa Nchi na Dunia
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Kutokana na Userious wa Mashitaka, Hata Uchunguzi Wako Ulitakiwa Uwe serious Ku Match na Makosa haya
Shahidi: Sahihi
Nashon: Kupitia Ushahidi Wako uliotoa, Unaweza Kusimama Kifua mbele Kwamba ulitendea Haki Uchunguzi Wa Kesi hii
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Makosa ni Vitu Vinavyotengenezwa na Sheria
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Kuna Sheria ambazo zilikuwa zinawaongoza
Shahidi: Ni sahihi
Shahidi: Tutajie Sheria zipi Mlikuwa Mnazitumia Kuwa Guide
Shahidi: Sheria Mbalimbali
Nashon: Nitajie Sheria Mbili Mlikuwa Mnazitumia
Shahidi: Sheria ya Kuzuia Ugaidi na Sheria ya Mwenendo Wa Makosa ya Jinai
Nashon: Ni nani aliye angalia Sheria akatoa conclusion Kwamba alisema Kwa Story hii, haya ni Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Ni Ramadhan Kingai Kamishina Msaidizi Wa Polisi
Nashon: Wewe huku take part katika Kujua haya ni Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Hata Mimi Mwenyewe pia nilikuwa najua haya Makosa ni ya Ugaidi
Nashon: Una utaalam wa Kung'amua Kuwa haya ni Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Ulisomea wapi
Shahidi: INTERNATIONAL LAW ENFORCEMENT ACADEMY Botswana
Nashon: Kozi gani
Shahidi: FIRST BURST SCENE
Nashon: Kwa hiyo Walimu Wako wakakwambia Kwamba Kozi hiyo ina husika na Ugaidi
Shahidi: Inahusika na Milipuko
Nashon: Shahidi Ulisema Kwamba Mmoja ya Watuhumiwa Katika kesi hii ni Justin Kaaya
Shahidi: Sahihi
Nashon: Uliwahi Kumuandika Kaaya Maelezo Ya Onyo
Shahidi: Hapana
Nashon: Je Unafahamu Kwamba Kaaya alitumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Ni Kweli
Nashon: Uliwahi Kumuandika Kaaya Maelezo Ya Ushahidi
Shahidi: Sahihi
Nashon: Alikwambia Kwamba aliwahi kutumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba alitumiwa pesa kama Watuhumiwa Wengine hapa Mbele
Shahidi: Hapana
Nashon: Justine Kaaya, Khalfani Bwire wote Walitumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Sahihi
Nashon: Wote hawa Wametumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Sahihi, lakini Malengo ni tofauti
Nashon: Malengo ya pesa ya Khalfani Bwire unayatoa Wapi
Shahidi: Maelezo ya Mtuhumiwa
Nashon: Maelezo ambayo Washtakiwa Wanataka kwamba hawakuyatoa Kwa hiari yao, Bali kwa Mateso ndiyo Ushahidi Wako wa Pekee?
Shahidi: Maelezo ya Washtakiwa Wengine
Nashon: Je Unafahamu Kwamba Kaaya alisema alikuwa anapewa pesa na Freeman Mbowe Kwa ajili ya Kutoa Taarifa Za Sabaya
Shahidi: Lakini alikuwa hafahamu Malengo
Nashon: Je tangu ugundue hakuwa na Nia Mbaya ilikuwa ni Muda gani baada ya Kumkamata
Shahidi: Zaidi ya Miezi 10
Nashon: Ulimkamata lini
Shahidi: Mwezi September 2020
Nashon: Ukaja Kumuachia lini
Shahidi: Mwezi July 2021
Nashon: Baada ya Mwaka mmoja ndiyo Ukajua hakuwa na Melengo Mabaya
Shahidi: Sahihi
Nashon: Ni sahihi Taarifa za Sabaya Freeman Mbowe alizitoa Kwa Kaaya
Shahidi: sahihi
Nashon: Kwamba alilipwa kwa kazi hiyo
Shahidi: sahihi
Nashon: wewe Hukuona Kosa
Shahidi: sahihi
Nashon: Na Kwamba alikuwa anakaa Kikao na Mbowe Kutoa Taarifa hiyo
Shahidi: Sahihi
Nashon: Kwa Kushiriki Kikao hicho Kaaya alikuwa anashiriki Kikao cha Kigaidi
Shahidi: Alikuwa ajui Dhumuni La Kikao, Kwa hiyo ajashiriki Kikao cha Kigaidi
Nashon: Lakini katika Kikao hicho hicho Mbowe alishiriki Kikao cha Ugaidi
Shahidi: Ndiyo
Mahakama: KICHEKO
Nashon: wakati gani ulipokea Bastola
Shahidi: Baada ya Kutoka Maabara
Nashon: Uli label?
Shahidi: Siku Label
Nashon: Lakini Simu za Mshtakiwa Wa kwanza ndiyo Uli Label
Shahidi: Hapana Siku Label
Nashon: Wewe Uli Label Simu za nani
Shahidi: Luten Denis Urio
Nashon: Na uli Label lini
Shahidi: Tarehe 11 na 13 August 2020
Nashon: Je ni sahihi Kwamba Ulichukua Bastola ya A5340 pamoja na Risasi kutoka Kwa Coplo Hafidh
Shahidi: Nilipokea Silaha A5340 aina ya Luger kutoka Kwa Hafidh Ikiwa na Risasi Moja, Maganda Mawili
Nashon: Ulipokea Vielelezo Kutoka kwa koplo Hafidh
Shahidi: Sahihi
Nashon: Naomba Upokeee Simu, Mheshimiwa Jaji ni Kutoka Katika Kielelezo P28
Nashon: hii aina au dizaini la Ku Label unaitolea wapi
Shahidi: Kipo Kwenye Sheria
Nashon: Sheria ambayo unaitumia ni Sheria gani
Shahidi: Ni PGO
Nashon: Mwambie Mheshimiwa Jaji Kama ulijaza Makabidhiano wakati wa Makabidhiano
Shahidi: Humu sijaandika
Nashon: Unafahamu Kwamba Katika Kielelezo, Lebel ya Kielelezo pale Unapo ambatanisha namba ambayo unaambatanisha inatakiwa uwe namba ya Jalada la Kesi
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Unafahamu Kwamba Unatakiwa pia uwe na Exhibit Serial number
Shahidi: Siyo lazima, Kwa sababu hivi Vielelezo Vilikuwa kwenye Mfuko kwa hiyo Exhibit Serial number inakuwa kwenye Mfuko
Nashon: Hiyo PGO Unayosema Ulitumia inataka uwe na Mahala, namba na Tarehe mnayokabidhiana
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Lakini hapa Hakuna hata Moja
Shahidi: Ndiyo hapo Hakuna
Shahidi: SAMAHANI MHESHIMIWA JAJI NAOMBA NIENDE WASHROOM (CHOONI)....
Shahidi karejea
Nashon: Nipo interested na Shahidi ambaye alikuwa Mtuhumiwa akaachiwa
Nashon: Je ni sahihi Katika Maelezo Uliyo Mwandika Wewe, aliandika Kuwa aliwahi Kuwa Msaidizi Wa Katibu wa CCM Wilaya ya Meru
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Pamoja na Kwamba kapokea Fedha, na Kashiriki Vikao ila akaachiwa
Shahidi: Sahihi
Nashon: nani ni Mwamuzi ambaye aliamua kuwa Pesa hizo siyo za Ugaidi
Shahidi: ni Upelelezi
Nashon: Ni nani hasa
Shahidi: Mchakato Wa Upelelezi
Nashon: Ni sahihi Kwamba Uliwahi kuandila Maelezo Yako Mwezi 6 August 2020
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kuwa katika Maelezo yako Uliwahi Kusema Kuwa Mbowe ameshiriki Vikao Vya Kigaidi
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Na Katika Maelezo yako Ulisema Kwa, Kuthibitisha hilo ni Kupitia Maelezo ya Onyo ya Washtakiwa Wenzie
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba wewe na Wapelelezi Wenzio hamkuwahi Kushuhudia Mbowe akiwa katika Kikao cha Ugaidi
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba Wewe na Wapelelezi Wenzio hamkuwahi Kushuhudia Mbowe akiwa katika Kikao Mbeya au Arusha?
Shahidi: Sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba pia nyie Kama Wapelelezi wa Kesi hii hamna CCTV Camera
Shahidi: Ni sahihi hatuna
Nashon: Ni sahihi Kwamba wewe na Wapelelezi Wenzio hamna hata Sauti ya Mbowe akipanga Ugaidi
Shahidi: Ni sahihi hatuna
Nashon: Ni sahihi Kwamba Jeshi la Polisi lina Vifaa Vya Kurekodi Sauti
Shahidi: Siwezi Kuzungumzia hilo
Nashon: Lakini Unafahamu Kwamba Simu inaweza Kurekodi Sauti
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Na Jeshi la Polisi hamkazwi kutumia Simu Kurekodi Sauti
Shahidi: Ndiyo
Nashon: unajua Kuwa Mahakama Inaruhusu Kutumia Video na Sauti katika Ushahidi
Shahidi: Sifahamu
Nashon: Nikumbushe Cheo Chako huko Polisi
Shahidi: Inspector Wa Polisi
Nashon: Na Inspector Wa Polisi Ujui Kuwa Mahakama Inatumika Video na Sauti Katika Ushahidi
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Ndiyo Maana hamkuleta Video wala Sauti Mahakamani Kwa sababu ufahamu Ka Inatumika Mahakamani Kama Ushahidi
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Nionyeshe Sasa sehemu ambayo Mahakama itaona Mbowe alikaa Vikao Vya kigaidi
Shahidi: Ilikuwa Kwenye Gari, Ukisoma Maelezo Utaona
Nashon: Naomba Sasa Mahakama Ikupatie hizo Meseji Shahidi: Nimeona Meseji ya Tarehe 22 July 2020 Muda wa Saa 7 na Dakika 49 "Kutakuwa na Safari ya kwenda Hai, Leo Usiku au Asubuhi" Mahakama
Nashon: Naomba Sasa Mahakama Ikupatie hizo Meseji
Shahidi: Nimeona Meseji ya Tarehe 22 July 2020 Muda wa Saa 7 na Dakika 49 "Kutakuwa na Safari ya kwenda Hai, Leo Usiku au Asubuhi"
Mahakama: Kicheko
Shahidi: hii Inaelezea Sasa Kwamba Kutakuwa Kuna Kikao
Nashon: Katika hiyo Meseji wataje Wanaokutana
Shahidi: Mtuhumiwa Wa Kwanza, Wa pili, Watatu na Wanne
Nashon: Kwa hiyo akisoma hiyo Meseji ataona Kwamba Kuna Kikao cha Ugaidi
Shahidi: Ushahidi ni Kuunganisha Dot
Nashon: Kwa hiyo Nikisoma Meseji ipi nitaona nani na nani wametajwa, Saa ngapi na Wapi
Shahidi: Kwenye Meseji Hauwezi Kuona, ila Kwa Kuunganisha Dot
Mahakama: Kicheko
Nashon: Tutoke hapo umesha Sema hatutoona. Meseji Twende Kwingine
Nashon: Ni kweli Kwamba Mlikuwa na Msiri wenu Denis Urio
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Baada ya Kuona hiyo Meseji Kwamba wanaenda Hai, nyie Hamku fuatilia
Shahidi: Hatukufutilia
Nashon: Mnafahamu Kuwa Aishi Hotel Ina CCTV Camera
Shahidi: Sifahamu
Nashon: Na hufahamu kwa sababu hujawahi Kufika Aishi Hotel
Shahidi: Kimya
Nashon: Sasa Ulifanya Juhudi zozote za Kwenda Pale Aishi Hotel kama Mpelelezi ambaye Yupo serious, labda Kuandaa Warranty, CCTV CAMERA Kuangalia List ya Wageni
Shahidi: Sikuwahi Kufanya hivyo
Nashon: Kwa ujasiri kabisa Mwambie Mheshimiwa Jaji Kuwa Uliwezaje Kuwaleta Watuhumiwa Mahakamani Kwamba Wamekutana sehemu fulani ambayo wewe na Polisi Wengine hamjawahi Kufika
Shahidi: Mimi nilikuwa sehemu ya Upelelezi tu, Kuna wengine ambao walikuwa Arusha na Kilimanjaro
Nashon: Kwa hiyo Wewe Kwa sababu upo Dar es Salaam hukuona Sababu
Shahidi: Hapakuwa na Ulazima
Nashon: Sasa Pale Aishi Walifanya Nje au Ndani
Shahidi: Nje Kwenye Garden
Nashon: Garden ya upande upi
Shahidi: Sifahamu Sijawahi Kufika
Nashon: Katika Ushahidi Wako Nimekusikia Mahala Kwamba Unasema Ulikuwa unapokea Vielelezo na Kuvitunza, Je Hapa Mahakamani umewahi Kusema Kuwa Uliwahi Kuwa Forensic Beaural
Shahidi: Sijawahi Kusema
Nashon: Wewe Ulikaa na Vielelezo Vipi ambavyo Uliviandaa Kwa ajili ya Ushahidi
Shahidi: Simu za Urio Nashon Simu za Urio tu?
Shahidi: Simu zote Nane
Nashon: za Kwanza
Shahidi: Nilipokea Tarehe 07 August 2020 Mpaka Tarehe 13 August 2020
Nashon: tukumbushe nani alivileta Mahakamani
Shahidi: Hivyo Vielelezo Nilimpa Inspector Ndowo
Nashon: Lini
Shahidi: Sikumbuki
Nashon: Kwa sababu hamkuandikishana
Shahidi: Tuliandikishana
Nashon: Lakini Tukiangalia katika PF 145 Hatuoni sehemu Mliyo kabidhiana
Shahidi: Ni sahihi Hakuna
Nashon: Ulikuwa unafahamu kuwa Sheria inataka uonyeshe Katika PF 145
Shahidi: Nilikuwa nafahamu
Nashon: ila Ukaamua Kupuuza Sheria
Shahidi: Hapana
Shahidi: Tarehe 30 March 2021 Niliweza Kupokea Taarifa Ya Maabara ya Sayansi, Kutoka Kitengo Cha Uchunguzi Wa Maandishi, Kutoka Kwa koplo Khamis, Wa Kutengo cha Uchunguzi Wa Maandishi. Niliweza Kusoma Ripoti hiyo, Ambapo Ripoti hiyo ilionyesha Kuwa Sampuli Za Maandishi yaliyo chukuliwa Kutoka Kwa Mtuhumiwa Khalfani Bwire Hassan, Ni sawa Sawa na Maandishi Yaliyokuwepo Katika Daftari nililoambatanisha katika Uchunguzi uleHabari Wakuu,
Leo 07/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri kesi inayomkabili Mbowe na wenzake leo Februari 4, 2022. Kesi imeahirishwa. Shahidi wa 13 kuendelea kutoa ushahidi Februari 7, 2022
Updates:
Jaji ameingia
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala nipo Pamoja na
- Wakili Pius Hilla
- Abdallah Chavula
- Jenitreza Kitali
- Nassoro Katuga
- Esther Martin
- Tulimanywa Majige
- Ignasi Mwinuka
Jaji anaita Washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika
- Wakili Nashon Nkungu
- John Mallya
- Dickson Matata
- Seleman Matauka
- Fredrick Kihwelo
WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja ambaye alishaanza Kutoa Ushahidi Wake, Tupo tayari Kuendelea
Kibatala: Nasisi pia Mheshimiwa Jaji tupo tayari Kuendelea
Jaji: Shahidi nakukumbusha kuwa Ijumaa Ulikula Kiapo na, Leo Utaendelea Kuwa Chini ya Kiapo
Shahidi: Sawa Mheshimiwa
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Sasa Inspector Swila, Siku ile Tulikomea Tarehe 27 October 2020 wakati unampatia DC Goodluck Bastola Baada ya hapo Ulifanya Shughuli gani Nyingine
Shahidi: Niliweza Kupokea Taarifa ya Uchunguzi na SilahaTarehe 27 November 2020 Nilipokea kutoka kwa koplo Azizi wa Kitengo Cha Silaha na Milipuko Nilipokea Silaha, Bastola aina ya Luger A5340, Risasi Moja, Maganda Mawili ya Risasi pamoja na Vichwa Viwili Vya Risasi
Wakili wa Serikali: Wakati unapokea Taarifa ya Risasi Moja pamoja na Maganda Mawawili, Ni wapi ilipokea
Shahidi: Katika Kitengo Cha Uchunguzi Wa Silaha na Milipuko
Wakili wa Serikali: Uliwezaje Kujua kama Ndiyo Silaha uliyopeleka
Shahidi: Niliweza Kuangalia Serial Namba ya Silaha, Nikakuta ni A5340 na Silaha aina ya Luger
Wakili wa Serikali: VIpi Kuhusiana na Risasi Zenyenwe zilikuwa na hali gani
Shahidi: Risasi niliyo pokea ilikuwa ni Moja, Ilikuwa haujatumika, Ilikuwa na Alama A3 na Risasi ambazo zimetumika Nilikuta zimepewa alama ya T1 na T2
Wakili wa Serikali: Nani aliweka alama katika Vielelezo hivyo
Shahidi: Mchunguzi Wa Vielelezo hivyo
Wakili wa Serikali: Baada ya Kuwa umepokea Riport na Vielelezo Ulifanya nini.?
Shahidi: Vielelezo nilipeleka Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam na Kwenda Kuvikabidhi
Wakili wa Serikali: Kitu gani hicho ulienda Kukabidhi Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Shahidi: Nilienda Kukabidhi Silaha, Bastola aina ya Luger A5340 na Risasi Moja, Maganda Mawili pamoja na Vichwa Vyake
Wakili wa Serikali: Na Report Ulifanyia nini
Shahidi: Report nilihifadhi na Kufungia katika Kabati langu la Chuma
Wakili wa Serikali: Baada ya Tarehe 27 November 2020, Nataka Kukurudisha Kwanza hapo ambapo unasema Ulikabidhi Risasi Moja, Maganda Mawili na Silaha, Je Ulimkabidhi nani
Shahidi: Nilimkabidhi Sarjent Nuru, ambaye Yupo Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam, ni Mtunza Vielelezo Katika ghala la Kutunzia Silaha
Wakili wa Serikali: Kabla ya kwenda Katika Shughuli Nyingine za Upelelezi, Ni wakati gani tena Ukiweza Kushughulika na Vielelezo hivyo
Shahidi: Nili shughulika tena wakati Wa Kutoa Mahakamani Kwa ajili ya Ushahidi, Ambapo Nilimkabidhi koplo Hafidh Kwa ajili ya Kuja Kutoa Ushahidi Mahakamani
Wakili wa Serikali: Turudi tena Katika Upelelezi Baada ya Tarehe 27 November 2020, kitu gani kiliendelea Wakati wa Kesi hiyo
Shahidi: Niliweza Kupokea Taarifa Kutoka kwa Mrajisi wa Silaha Siku ya Tarehe 18 March 2021
Wakili wa Serikali: Hiyo Taarifa Ilikuwa inahusu nini
Shahidi: Ilikuwa inahusu Mmiliki Wa Silaha Yenye Sirial namba A5340 aina ya Luger
Wakili wa Serikali: Na Ripoti hiyo ilisemaje
Shahidi: Report hiyo ilionyesha Kuwa Silaha hiyo, haina Usajili wowote Katika Ofisi Ya Mrajisi Wa Silaha Hapa Nchini
Wakili wa Serikali: Kitu gani Kingine kiliendelea baada ya hiyo Tarehe 18 March 2021
Shahidi: Tarehe 30 March 2021 Niliweza Kupokea Taarifa Ya Maabara ya Sayansi, Kutoka Kitengo Cha Uchunguzi Wa Maandishi, Kutoka Kwa koplo Khamis, Wa Kutengo cha Uchunguzi Wa Maandishi. Niliweza Kusoma Ripoti hiyo, Ambapo Ripoti hiyo ilionyesha Kuwa Sampuli Za Maandishi yaliyo chukuliwa Kutoka Kwa Mtuhumiwa Khalfani Bwire Hassan, Ni sawa Sawa na Maandishi Yaliyokuwepo Katika Daftari nililoambatanisha katika Uchunguzi ule
Wakili Wa Serikali: Baada ya Kuwa Umesoma, Ukafanya nini
Shahidi: Niliweza Kuhifadhi katika Jalada langu la Kesi na Kufungia Katika Kabati langu la Chuma
Wakili wa Serikali: Baada ya Tarehe hiyo Kitu gani Kingine Ulifanya Kuhusu Kesi hiyo
Shahidi: Mnamo Tarehe 10 July 2021 Niliweza Kupokea Taarifa ya Simu zile Nane Kutoka Kwenye Maabara ya kisayansi Kitengo Cha Uchunguzi Wa Makosa ya Mtandao
Wakili wa Serikali: Ulipokea Kutoka Kwa nani
Shahidi: Nilipokea Kutoka Kwa Inspector Ndowo wa Kitengo Cha Uchunguzi Wa Makosa ya Ki Mtandao Wa Maabara Ya Kisayansi
Wakili wa Serikali: Baada ya Uchunguzi Wa Taarifa hiyo nini Kilitokea
Shahidi: Alijulishwa DC Goodluck ambaye haikuwepo Dar es Salaam, alinijulisha Kwa Uchunguzi umekamilika, Ndipo nilipoenda Kuchukua Taarifa hiyo
Wakili wa Serikali: Ulimkabidhiwa Kwa Utaratibu Upi
Shahidi: Kwa Kusaini Katika Kitabu cha Kitengo Cha Uchunguzi Wa Makosa ya Mtandao
Wakili wa Serikali: Mwanzono Ulisema Kwamba Ulipeleka simu, Sasa unakabidhiwa Riport, Vipi Kuhusu Zile simu
Shahidi: Pia Nilikabidhiwa Simu Nane ambazo niliziandikia Barua
Wakili wa Serikali: Ulijuaje Kama ndiyo Simu ulizopeleka
Shahidi: Niliweza Kuzikagua Wakati na kabidhiwa Wakili wa Serikali Ulifanyia nini hiyo Riport baada ya Kukabidhiwa
Shahidi: Simu Nane nilipeleka Katika Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam, Nilimkabidhi Coplo Charles ambaye ni Mtunza Vielelezo Katika Chumba Cha Kuhifadhia Vielelezo Katika Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Wakili wa Serikali: Na Ile Ripoti Ulifanyia nini
Shahidi: Ripoti Ya Uchunguzi Niliweza Kusoma. Na Kuhifadhi katika Jalada la Kesi Kisha Kuweka Katika Kabati langu la Chuma
Wakili wa Serikali: Ripoti hiyo Kwa sababu wewe Ndiye Uliyeomba Uchunguzi, Ni Vitu gani Ukiweza Kupata Kutoka Katika Ripoti hiyo
Shahidi: Katika Report hiyo Niliweza Kugundua Vitu vifuatavyo, Niliweza Kugundua Kuwa palikuwa na Mawasiliano kati ya Shahidi Luteni Denis Urio na Mtuhumiwa Freeman Mbowe ambayo Yalifanyika Katika Mtandao Wa Telegram Pia Kupitia Maelezo Ya Shahidi Luten Denis Urio, aliweza Kusema Kuwa alitumiwa pesa Kutoka Kwa Mtuhumiwa Freeman Mbowe
Ambapo Tarehe 20 July 2020 Namba 0719933386 ambayo ni Ya Mtuhumiwa Freeman Mbowe ilituma Kiasi cha TSh 500,000 Kwenda Kwa namba ya shahidi Luteni Denis Leo Urio ambayo ni 0787 555200.
Pia Tarehe 22 Mwezi huo huo wa July 2020 ilionyesha Kuwa Shahidi Luten Denis Urio Kupitia namba yake ya 0787 555200 ulipokea Kiasi cha TSh 199,000 kutoka Kwenye namba ya Wakala Kama alivyo eleza Luten Denis Urio.
Wakili wa Serikali: Baada ya hapo Nini Kiliendelea
Shahidi: Tuliendelea Kuandika Taarifa Mbalimbali na Kupitia Ripoti hiyo Niliweza Kujiridhisha kuwa ni kweli Mtuhumiwa Freeman Mbowe aliweza Kutuma hizo Fedha Kwa Luten Denis Urio
Wakili wa Serikali: Nini kiliendelea baada ya hapo
Shahidi: Siku ya Tarehe 27 July 2021 Watuhumiwa Justin Kaaya, Khalid na Gabriel Muhina Walifutiwa Shitaka Lao baada ya Kugundulika hawahusiki na chochote
Wakili wa Serikali: Turudi Baada ya Kupokea Ripoti Ya Uchunguzi Wa Kisayansi Kuhusu Simu, Baada ya Hapo Ulifanya nini
Shahidi: Mnamo Tarehe 18 July 2021 Niliandika Taarifa Kwenda Kwa Afande Mkurugenzi Wa Upelelezi wa Makosa Ya Jinai Nchini, Kuwa Kuna Ushahidi Wa Uhusika wa Mtuhumiwa Freeman Aikael Mbowe, nakuwezesha Kumkamata
Wakili wa Serikali: Mwanzoni Wakati Unatoa Ushahidi Wako Ulizungumzia Kuhusu Kufungua Majalada Mawili, Je ni Jalada lipi ambalo wewe Uliandikia Taarifa
Shahidi: Ni lile Jalada la Kesi tulilo fungulia Polisi, ambalo ni CD/IR /2097 /2020 lenye Chama za Kutaka Kufanya Vitendo Vya Kigaidi
Wakili wa Serikali: Wakati Wa Kufungua Jalada la Kesi hili CD /IR /2097 /2020 Ulisema Kwamba Usiandike Jina la Freeman Mbowe Kwa sababu Kama Ungeandika Jina Taarifa zingeweza Kuvunja, na akasitisha Mpango Wake, Je Ulikuwa Unamaanisha Nini
Shahidi: Nilikuwa namaanisha kuwa angeweza Kusitisha Kumtumia Mtoa Taarifa, angeweza Kutumia Watu wengine ambapo Jeshi la Polisi lisingejua Mahali wala Muda, Kitu ambacho. Lingesababisha Jeshi la Polisi Kushindwa Kuzuia Uhalifu
Wakili wa Serikali: Baada ya Kuandika Taarifa Kwenda Kwa DCI Nini Kiliendelea
Shahidi: Nilipokea Taarifa Kutoka Kwa Afande Ramadhan Kingai Kamishina Msaidizi Wa Polisi alinitaka nitunze Jalada hilo na Kwamba Yeye anafanya Jitihada za Kumkamata Mshitakiwa Freeman Aikael Mbowe
Wakili wa Serikali: Baada ya DCI Kukwambia Hatua ambazo angechukua nini Kilitokea sasa
Shahidi: Mnamo Tarehe 22 July 2021 Nilipokea Karatasi Ya Mtuhumiwa Freeman Aikael Mbowe Kutoka Kwa Afande Jumanne Malangahe Mrakibu Wa Polisi, Kimsingi Nilipokea Maelezo hayo Ikionyesha Mtuhumiwa amekataa Kutoa Maelezo Yake Polisi
Wakili wa Serikali: Kwa Kipindi hicho Ulifahamu huyo Mtuhumiwa Freeman Mbowe amepatikanaje
Shahidi: Nilifahamu Kwamba amekamatwa Mwanza na Kusafirishwa Dar es Salaam
Wakili wa Serikali: Umekuwa Ukizungumza Majina Ya Watu Kadhaa Hapa Mahakamani akiwepo, Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe. Hebu ieleze Mahakama Kama Watu hao wapo hapa Mahakamani
Shahidi: Ndiyo Watu hawa wapo hapa Mahakamani
Wakili wa Serikali: Hebu onyesha sasa
Shahidi: Mtuhumiwa Wa Kwanza, Kutoka Upande Wa Kulia ni Khalfani Bwire Hassan, Wapili kutoka Kulia Kwangu ni Adam Hassan Kasekwa, Watatu Kutoka Kulia Kwangu ni Mohammed Abdilah Ling'wenya na Wanne Kutoka Kulia Kwangu ni Freeman Aikael Mbowe
Wakili wa Serikali: Sasa Mwanzoni Wakati Unatoa Ushahidi Wako Ulizungumzia Kuhusu Khalfani Bwire, Adam Kasekwa na Mohamed Ling'wenya Walifikishwa Mahakamani Tarehe 19 August 2020, Mtuhumiwa Freeman Mbowe alifikishwa Mahakamani Tarehe ipi
Shahidi: Mtuhumiwa Freeman Mbowe alifikishwa Mahakamani Tarehe 26 July 2021
Wakili wa Serikali: Ni tofauti gani ipo Kutokana na Kufikishwa Tarehe tofauti na Wale 3
Shahidi: Utofauti unakuja Kutokana na Kusubiri Kwa Taarifa Ya Uchunguzi Wa Makosa ya Mtandao, ambao Kimsingi Nilipokea Tarehe 10 July 2021
Wakili wa Serikali: Sasa na Upelelezi Wa Kesi inayo wakabili, Ni Ushahidi gani ulipata Kwamba Walikula Njama za Kutenda Matendo Ya Ugaidi
Shahidi: Ni Kupitia Maelezo Yao ya Onyo ya Mshtakiwa Wa Pili Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya pamoja na Mshitakiwa Wa kwanza Khalfani Bwire Hassan, Pia Ushahidi Mwingine ambao Unaonyesha walikuwa Njama ni Kupitia Maelezo Ya Shahidi Luten Denis Urio,
Shahidi: Maelezo Ya Askari Walio wa kamata, Askari Walio andika Maelezo Ya Watuhumiwa
Wakili wa Serikali: Kuhusiana na Pesa iloyotumwa, Uliiweza Kubaini nini?
Shahidi: Niliweza Kubaini Fedha hiyo ilitumwa kutoka Kwa Freeman Mbowe Kwenda Kwa Luten Denis Urio, Ambapo Fedha hiyo iliweza Kuwawezesha Watuhumiwa Mshitakiwa Wa Pili na watatu pamoja na Mwingine ambaye hajakamatwa Kuweza Kufika Eneo la Uhalifu ambalo lilikuwa Eneo la Moshi Niliweza Kubaini Kuwa Fedha hiyo ilitumwa iliwezesha Watuhumiwa Kufika Eneo la Utekelezaji Wa Uhalifu
Wakili wa Serikali: Unaposema Kwamba Mshitakiwa Wa Pili, Watatu na Mwingine hajakamatwa, Vipi Mtuhumiwa Wa Kwanza Kuhusiana na Fedha hii
Shahidi: Kuhusu Mshtakiwa Wa kwanza Inaonyesha Pia aliweza Kupokea Pesa kutoka kwa Luten Denis Urio Kwa ajili ya Utekelezaji Wa Vitendo Vya Kigaidi
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Naomba Kukomea hapo Kwenye Examination inchief
Upande wa Utetezi
Wakili Nashon Nkungu: Shahidi Habari za Leo
Shahidi: Njema
Nashon: Shahidi umepona?
Shahidi: Bado
Nashon: Umemeza Dawa zako
Shahidi: Ndiyo
Nashon: nadhani Shahidi unatambua Ukubwa wa hii Kesi
Shahidi: Sahihi
Nashon: Kwamba Ugaidi ni Jambo Serious kwa Nchi na Dunia
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Kutokana na Userious wa Mashitaka, Hata Uchunguzi Wako Ulitakiwa Uwe serious Ku Match na Makosa haya
Shahidi: Sahihi
Nashon: Kupitia Ushahidi Wako uliotoa, Unaweza Kusimama Kifua mbele Kwamba ulitendea Haki Uchunguzi Wa Kesi hii
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Makosa ni Vitu Vinavyotengenezwa na Sheria
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Kuna Sheria ambazo zilikuwa zinawaongoza
Shahidi: Ni sahihi
Shahidi: Tutajie Sheria zipi Mlikuwa Mnazitumia Kuwa Guide
Shahidi: Sheria Mbalimbali
Nashon: Nitajie Sheria Mbili Mlikuwa Mnazitumia
Shahidi: Sheria ya Kuzuia Ugaidi na Sheria ya Mwenendo Wa Makosa ya Jinai
Nashon: Ni nani aliye angalia Sheria akatoa conclusion Kwamba alisema Kwa Story hii, haya ni Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Ni Ramadhan Kingai Kamishina Msaidizi Wa Polisi
Nashon: Wewe huku take part katika Kujua haya ni Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Hata Mimi Mwenyewe pia nilikuwa najua haya Makosa ni ya Ugaidi
Nashon: Una utaalam wa Kung'amua Kuwa haya ni Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Ulisomea wapi
Shahidi: INTERNATIONAL LAW ENFORCEMENT ACADEMY Botswana
Nashon: Kozi gani
Shahidi: FIRST BURST SCENE
Nashon: Kwa hiyo Walimu Wako wakakwambia Kwamba Kozi hiyo ina husika na Ugaidi
Shahidi: Inahusika na Milipuko
Nashon: Shahidi Ulisema Kwamba Mmoja ya Watuhumiwa Katika kesi hii ni Justin Kaaya
Shahidi: Sahihi
Nashon: Uliwahi Kumuandika Kaaya Maelezo Ya Onyo
Shahidi: Hapana
Nashon: Je Unafahamu Kwamba Kaaya alitumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Ni Kweli
Nashon: Uliwahi Kumuandika Kaaya Maelezo Ya Ushahidi
Shahidi: Sahihi
Nashon: Alikwambia Kwamba aliwahi kutumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba alitumiwa pesa kama Watuhumiwa Wengine hapa Mbele
Shahidi: Hapana
Nashon: Justine Kaaya, Khalfani Bwire wote Walitumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Sahihi
Nashon: Wote hawa Wametumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Sahihi, lakini Malengo ni tofauti
Nashon: Malengo ya pesa ya Khalfani Bwire unayatoa Wapi
Shahidi: Maelezo ya Mtuhumiwa
Nashon: Maelezo ambayo Washtakiwa Wanataka kwamba hawakuyatoa Kwa hiari yao, Bali kwa Mateso ndiyo Ushahidi Wako wa Pekee?
Shahidi: Maelezo ya Washtakiwa Wengine
Nashon: Je Unafahamu Kwamba Kaaya alisema alikuwa anapewa pesa na Freeman Mbowe Kwa ajili ya Kutoa Taarifa Za Sabaya
Shahidi: Lakini alikuwa hafahamu Malengo
Nashon: Je tangu ugundue hakuwa na Nia Mbaya ilikuwa ni Muda gani baada ya Kumkamata
Shahidi: Zaidi ya Miezi 10
Nashon: Ulimkamata lini
Shahidi: Mwezi September 2020
Nashon: Ukaja Kumuachia lini
Shahidi: Mwezi July 2021
Nashon: Baada ya Mwaka mmoja ndiyo Ukajua hakuwa na Melengo Mabaya
Shahidi: Sahihi
Nashon: Ni sahihi Taarifa za Sabaya Freeman Mbowe alizitoa Kwa Kaaya
Shahidi: sahihi
Nashon: Kwamba alilipwa kwa kazi hiyo
Shahidi: sahihi
Nashon: wewe Hukuona Kosa
Shahidi: sahihi
Nashon: Na Kwamba alikuwa anakaa Kikao na Mbowe Kutoa Taarifa hiyo
Shahidi: Sahihi
Nashon: Kwa Kushiriki Kikao hicho Kaaya alikuwa anashiriki Kikao cha Kigaidi
Shahidi: Alikuwa ajui Dhumuni La Kikao, Kwa hiyo ajashiriki Kikao cha Kigaidi
Nashon: Lakini katika Kikao hicho hicho Mbowe alishiriki Kikao cha Ugaidi
Shahidi: Ndiyo
Mahakama: KICHEKO
Nashon: wakati gani ulipokea Bastola
Shahidi: Baada ya Kutoka Maabara
Nashon: Uli label?
Shahidi: Siku Label
Nashon: Lakini Simu za Mshtakiwa Wa kwanza ndiyo Uli Label
Shahidi: Hapana Siku Label
Nashon: Wewe Uli Label Simu za nani
Shahidi: Luten Denis Urio
Nashon: Na uli Label lini
Shahidi: Tarehe 11 na 13 August 2020
Nashon: Je ni sahihi Kwamba Ulichukua Bastola ya A5340 pamoja na Risasi kutoka Kwa Coplo Hafidh
Shahidi: Nilipokea Silaha A5340 aina ya Luger kutoka Kwa Hafidh Ikiwa na Risasi Moja, Maganda Mawili
Nashon: Ulipokea Vielelezo Kutoka kwa koplo Hafidh
Shahidi: Sahihi
Nashon: Naomba Upokeee Simu, Mheshimiwa Jaji ni Kutoka Katika Kielelezo P28
Nashon: hii aina au dizaini la Ku Label unaitolea wapi
Shahidi: Kipo Kwenye Sheria
Nashon: Sheria ambayo unaitumia ni Sheria gani
Shahidi: Ni PGO
Nashon: Mwambie Mheshimiwa Jaji Kama ulijaza Makabidhiano wakati wa Makabidhiano
Shahidi: Humu sijaandika
Nashon: Unafahamu Kwamba Katika Kielelezo, Lebel ya Kielelezo pale Unapo ambatanisha namba ambayo unaambatanisha inatakiwa uwe namba ya Jalada la Kesi
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Unafahamu Kwamba Unatakiwa pia uwe na Exhibit Serial number
Shahidi: Siyo lazima, Kwa sababu hivi Vielelezo Vilikuwa kwenye Mfuko kwa hiyo Exhibit Serial number inakuwa kwenye Mfuko
Nashon: Hiyo PGO Unayosema Ulitumia inataka uwe na Mahala, namba na Tarehe mnayokabidhiana
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Lakini hapa Hakuna hata Moja
Shahidi: Ndiyo hapo Hakuna
Shahidi: SAMAHANI MHESHIMIWA JAJI NAOMBA NIENDE WASHROOM (CHOONI)....
Shahidi karejea
Nashon: Nipo interested na Shahidi ambaye alikuwa Mtuhumiwa akaachiwa
Nashon: Je ni sahihi Katika Maelezo Uliyo Mwandika Wewe, aliandika Kuwa aliwahi Kuwa Msaidizi Wa Katibu wa CCM Wilaya ya Meru
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Pamoja na Kwamba kapokea Fedha, na Kashiriki Vikao ila akaachiwa
Shahidi: Sahihi
Nashon: nani ni Mwamuzi ambaye aliamua kuwa Pesa hizo siyo za Ugaidi
Shahidi: ni Upelelezi
Nashon: Ni nani hasa
Shahidi: Mchakato Wa Upelelezi
Nashon: Ni sahihi Kwamba Uliwahi kuandila Maelezo Yako Mwezi 6 August 2020
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kuwa katika Maelezo yako Uliwahi Kusema Kuwa Mbowe ameshiriki Vikao Vya Kigaidi
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Na Katika Maelezo yako Ulisema Kwa, Kuthibitisha hilo ni Kupitia Maelezo ya Onyo ya Washtakiwa Wenzie
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba wewe na Wapelelezi Wenzio hamkuwahi Kushuhudia Mbowe akiwa katika Kikao cha Ugaidi
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba Wewe na Wapelelezi Wenzio hamkuwahi Kushuhudia Mbowe akiwa katika Kikao Mbeya au Arusha?
Shahidi: Sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba pia nyie Kama Wapelelezi wa Kesi hii hamna CCTV Camera
Shahidi: Ni sahihi hatuna
Nashon: Ni sahihi Kwamba wewe na Wapelelezi Wenzio hamna hata Sauti ya Mbowe akipanga Ugaidi
Shahidi: Ni sahihi hatuna
Nashon: Ni sahihi Kwamba Jeshi la Polisi lina Vifaa Vya Kurekodi Sauti
Shahidi: Siwezi Kuzungumzia hilo
Nashon: Lakini Unafahamu Kwamba Simu inaweza Kurekodi Sauti
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Na Jeshi la Polisi hamkazwi kutumia Simu Kurekodi Sauti
Shahidi: Ndiyo
Nashon: unajua Kuwa Mahakama Inaruhusu Kutumia Video na Sauti katika Ushahidi
Shahidi: Sifahamu
Nashon: Nikumbushe Cheo Chako huko Polisi
Shahidi: Inspector Wa Polisi
Nashon: Na Inspector Wa Polisi Ujui Kuwa Mahakama Inatumika Video na Sauti Katika Ushahidi
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Ndiyo Maana hamkuleta Video wala Sauti Mahakamani Kwa sababu ufahamu Ka Inatumika Mahakamani Kama Ushahidi
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Nionyeshe Sasa sehemu ambayo Mahakama itaona Mbowe alikaa Vikao Vya kigaidi
Shahidi: Ilikuwa Kwenye Gari, Ukisoma Maelezo Utaona
Nashon: Naomba Sasa Mahakama Ikupatie hizo Meseji Shahidi: Nimeona Meseji ya Tarehe 22 July 2020 Muda wa Saa 7 na Dakika 49 "Kutakuwa na Safari ya kwenda Hai, Leo Usiku au Asubuhi" Mahakama
Nashon: Naomba Sasa Mahakama Ikupatie hizo Meseji
Shahidi: Nimeona Meseji ya Tarehe 22 July 2020 Muda wa Saa 7 na Dakika 49 "Kutakuwa na Safari ya kwenda Hai, Leo Usiku au Asubuhi"
Mahakama: Kicheko
Shahidi: hii Inaelezea Sasa Kwamba Kutakuwa Kuna Kikao
Nashon: Katika hiyo Meseji wataje Wanaokutana
Shahidi: Mtuhumiwa Wa Kwanza, Wa pili, Watatu na Wanne
Nashon: Kwa hiyo akisoma hiyo Meseji ataona Kwamba Kuna Kikao cha Ugaidi
Shahidi: Ushahidi ni Kuunganisha Dot
Nashon: Kwa hiyo Nikisoma Meseji ipi nitaona nani na nani wametajwa, Saa ngapi na Wapi
Shahidi: Kwenye Meseji Hauwezi Kuona, ila Kwa Kuunganisha Dot
Mahakama: Kicheko
Nashon: Tutoke hapo umesha Sema hatutoona. Meseji Twende Kwingine
Nashon: Ni kweli Kwamba Mlikuwa na Msiri wenu Denis Urio
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Baada ya Kuona hiyo Meseji Kwamba wanaenda Hai, nyie Hamku fuatilia
Shahidi: Hatukufutilia
Nashon: Mnafahamu Kuwa Aishi Hotel Ina CCTV Camera
Shahidi: Sifahamu
Nashon: Na hufahamu kwa sababu hujawahi Kufika Aishi Hotel
Shahidi: Kimya
Nashon: Sasa Ulifanya Juhudi zozote za Kwenda Pale Aishi Hotel kama Mpelelezi ambaye Yupo serious, labda Kuandaa Warranty, CCTV CAMERA Kuangalia List ya Wageni
Shahidi: Sikuwahi Kufanya hivyo
Nashon: Kwa ujasiri kabisa Mwambie Mheshimiwa Jaji Kuwa Uliwezaje Kuwaleta Watuhumiwa Mahakamani Kwamba Wamekutana sehemu fulani ambayo wewe na Polisi Wengine hamjawahi Kufika
Shahidi: Mimi nilikuwa sehemu ya Upelelezi tu, Kuna wengine ambao walikuwa Arusha na Kilimanjaro
Nashon: Kwa hiyo Wewe Kwa sababu upo Dar es Salaam hukuona Sababu
Shahidi: Hapakuwa na Ulazima
Nashon: Sasa Pale Aishi Walifanya Nje au Ndani
Shahidi: Nje Kwenye Garden
Nashon: Garden ya upande upi
Shahidi: Sifahamu Sijawahi Kufika
Nashon: Katika Ushahidi Wako Nimekusikia Mahala Kwamba Unasema Ulikuwa unapokea Vielelezo na Kuvitunza, Je Hapa Mahakamani umewahi Kusema Kuwa Uliwahi Kuwa Forensic Beaural
Shahidi: Sijawahi Kusema
Nashon: Wewe Ulikaa na Vielelezo Vipi ambavyo Uliviandaa Kwa ajili ya Ushahidi
Shahidi: Simu za Urio Nashon Simu za Urio tu?
Shahidi: Simu zote Nane
Nashon: za Kwanza
Shahidi: Nilipokea Tarehe 07 August 2020 Mpaka Tarehe 13 August 2020
Nashon: tukumbushe nani alivileta Mahakamani
Shahidi: Hivyo Vielelezo Nilimpa Inspector Ndowo
Nashon: Lini
Shahidi: Sikumbuki
Nashon: Kwa sababu hamkuandikishana
Shahidi: Tuliandikishana
Nashon: Lakini Tukiangalia katika PF 145 Hatuoni sehemu Mliyo kabidhiana
Shahidi: Ni sahihi Hakuna
Nashon: Ulikuwa unafahamu kuwa Sheria inataka uonyeshe Katika PF 145
Shahidi: Nilikuwa nafahamu
Nashon: ila Ukaamua Kupuuza Sheria
Shahidi: Hapana
Nashon: Ni sahihi Uliondoka HQ August 2021
Shahidi: sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba hujaeleza Mahakama Baada ya Kuondoka Ofisini Kwako Vielelezo ulimuachia nani
Shahidi: Usipotoshe Mahakama, Nilisema Kwamba Vielelezo Vyote nilikuwa nimepeleka Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Nashon: Unakumbuka Muda ambao Ulikaa na Vielelezo, Ambapo Vilienda Polisi Kati Dar es Salaam na kukaa navyo katika Kabati la Chuma
Shahidi: Kwa nani? Kwa Tarehe ipi?
Nashon: Je ni sahihi Kwamba Ulichukua Vielelezo Kutoka Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam Yes or No Shahidi Yes
Nashon: Kwanini Sasa unapoteza Muda Wa Mahakama
Nashon: Baada ya Uchunguzi Ulikaa navyo au ulipitiliza Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Shahidi: Nilipeleka Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Nashon: Kwa hiyo ni sahihi Kwamba Ulikuwa Umekaa na Vielelezo Katika Kabati lako wakati wewe siyo Mtunza Vielelezo
Shahidi: Nilikaa navyo Kwa ajili ya Kuviandikia Barua, Sababu ya Upelelezi
Nashon: Ilikuwa inashindikana Kwa wewe Kuandika Barua Vielelezo Vikiwa Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Shahidi: Ilikuwa Haiwezekani
Nashon: Unafahamu Kwamba OC Forensic Beaural ndiye anaye husika Katika Kuandaa na Kutunza Vielelezo Kabla ya Kwenda Kufanyiwa Uchunguzi
Shahidi: OC wa Forensic Beaural anapelekewa na Mpelelezi
Nashon: Je Unafahamu Kwamba OC Forensic Beaural ndiye anaye husika Katika Kutunza, Kuandaa na Kupeleka kwa Expert Examination
Jaji: sijui Mimi Ndiyo sielewi, Naomba Wakili unisaidie
Wakili Kihwelo: Swali lake linahusu Custodian wa Kutunza kabla ya kwenda Kwa Expert Examination
Shahidi: Sifahamu
Nashon: Katika Ushahidi Wako Kuna sehemu Kwamba Ulisema DCI alikwambia pamoja na OC Forensic Beaural ndiyo Mtunza Kielelezo, lakini wewe Kaa navyo
Shahidi: Sikueleza hayo
Shahidi: Tarehe 30 March 2021 Niliweza Kupokea Taarifa Ya Maabara ya Sayansi, Kutoka Kitengo Cha Uchunguzi Wa Maandishi, Kutoka Kwa koplo Khamis, Wa Kutengo cha Uchunguzi Wa Maandishi. Niliweza Kusoma Ripoti hiyo, Ambapo Ripoti hiyo ilionyesha Kuwa Sampuli Za Maandishi yaliyo chukuliwa Kutoka Kwa Mtuhumiwa Khalfani Bwire Hassan, Ni sawa Sawa na Maandishi Yaliyokuwepo Katika Daftari nililoambatanisha katika Uchunguzi uleHahahah hapa hakuna kesii jamani ukweli mtupu yaaani daaaah sijui jajii na DPP wanasubiri nini aibu itawafika upande wa Mashitaka
Mawakili wa utetezi tukiwambia wanamihemko na uelewa mdogo mnabisha hebu tazamaHabari Wakuu,
Leo 07/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri kesi inayomkabili Mbowe na wenzake leo Februari 4, 2022. Kesi imeahirishwa. Shahidi wa 13 kuendelea kutoa ushahidi Februari 7, 2022
Updates:
Jaji ameingia
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala nipo Pamoja na
- Wakili Pius Hilla
- Abdallah Chavula
- Jenitreza Kitali
- Nassoro Katuga
- Esther Martin
- Tulimanywa Majige
- Ignasi Mwinuka
Jaji anaita Washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika
- Wakili Nashon Nkungu
- John Mallya
- Dickson Matata
- Seleman Matauka
- Fredrick Kihwelo
WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja ambaye alishaanza Kutoa Ushahidi Wake, Tupo tayari Kuendelea
Kibatala: Nasisi pia Mheshimiwa Jaji tupo tayari Kuendelea
Jaji: Shahidi nakukumbusha kuwa Ijumaa Ulikula Kiapo na, Leo Utaendelea Kuwa Chini ya Kiapo
Shahidi: Sawa Mheshimiwa
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Sasa Inspector Swila, Siku ile Tulikomea Tarehe 27 October 2020 wakati unampatia DC Goodluck Bastola Baada ya hapo Ulifanya Shughuli gani Nyingine
Shahidi: Niliweza Kupokea Taarifa ya Uchunguzi na SilahaTarehe 27 November 2020 Nilipokea kutoka kwa koplo Azizi wa Kitengo Cha Silaha na Milipuko Nilipokea Silaha, Bastola aina ya Luger A5340, Risasi Moja, Maganda Mawili ya Risasi pamoja na Vichwa Viwili Vya Risasi
Wakili wa Serikali: Wakati unapokea Taarifa ya Risasi Moja pamoja na Maganda Mawawili, Ni wapi ilipokea
Shahidi: Katika Kitengo Cha Uchunguzi Wa Silaha na Milipuko
Wakili wa Serikali: Uliwezaje Kujua kama Ndiyo Silaha uliyopeleka
Shahidi: Niliweza Kuangalia Serial Namba ya Silaha, Nikakuta ni A5340 na Silaha aina ya Luger
Wakili wa Serikali: VIpi Kuhusiana na Risasi Zenyenwe zilikuwa na hali gani
Shahidi: Risasi niliyo pokea ilikuwa ni Moja, Ilikuwa haujatumika, Ilikuwa na Alama A3 na Risasi ambazo zimetumika Nilikuta zimepewa alama ya T1 na T2
Wakili wa Serikali: Nani aliweka alama katika Vielelezo hivyo
Shahidi: Mchunguzi Wa Vielelezo hivyo
Wakili wa Serikali: Baada ya Kuwa umepokea Riport na Vielelezo Ulifanya nini.?
Shahidi: Vielelezo nilipeleka Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam na Kwenda Kuvikabidhi
Wakili wa Serikali: Kitu gani hicho ulienda Kukabidhi Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Shahidi: Nilienda Kukabidhi Silaha, Bastola aina ya Luger A5340 na Risasi Moja, Maganda Mawili pamoja na Vichwa Vyake
Wakili wa Serikali: Na Report Ulifanyia nini
Shahidi: Report nilihifadhi na Kufungia katika Kabati langu la Chuma
Wakili wa Serikali: Baada ya Tarehe 27 November 2020, Nataka Kukurudisha Kwanza hapo ambapo unasema Ulikabidhi Risasi Moja, Maganda Mawili na Silaha, Je Ulimkabidhi nani
Shahidi: Nilimkabidhi Sarjent Nuru, ambaye Yupo Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam, ni Mtunza Vielelezo Katika ghala la Kutunzia Silaha
Wakili wa Serikali: Kabla ya kwenda Katika Shughuli Nyingine za Upelelezi, Ni wakati gani tena Ukiweza Kushughulika na Vielelezo hivyo
Shahidi: Nili shughulika tena wakati Wa Kutoa Mahakamani Kwa ajili ya Ushahidi, Ambapo Nilimkabidhi koplo Hafidh Kwa ajili ya Kuja Kutoa Ushahidi Mahakamani
Wakili wa Serikali: Turudi tena Katika Upelelezi Baada ya Tarehe 27 November 2020, kitu gani kiliendelea Wakati wa Kesi hiyo
Shahidi: Niliweza Kupokea Taarifa Kutoka kwa Mrajisi wa Silaha Siku ya Tarehe 18 March 2021
Wakili wa Serikali: Hiyo Taarifa Ilikuwa inahusu nini
Shahidi: Ilikuwa inahusu Mmiliki Wa Silaha Yenye Sirial namba A5340 aina ya Luger
Wakili wa Serikali: Na Ripoti hiyo ilisemaje
Shahidi: Report hiyo ilionyesha Kuwa Silaha hiyo, haina Usajili wowote Katika Ofisi Ya Mrajisi Wa Silaha Hapa Nchini
Wakili wa Serikali: Kitu gani Kingine kiliendelea baada ya hiyo Tarehe 18 March 2021
Shahidi: Tarehe 30 March 2021 Niliweza Kupokea Taarifa Ya Maabara ya Sayansi, Kutoka Kitengo Cha Uchunguzi Wa Maandishi, Kutoka Kwa koplo Khamis, Wa Kutengo cha Uchunguzi Wa Maandishi. Niliweza Kusoma Ripoti hiyo, Ambapo Ripoti hiyo ilionyesha Kuwa Sampuli Za Maandishi yaliyo chukuliwa Kutoka Kwa Mtuhumiwa Khalfani Bwire Hassan, Ni sawa Sawa na Maandishi Yaliyokuwepo Katika Daftari nililoambatanisha katika Uchunguzi ule
Wakili Wa Serikali: Baada ya Kuwa Umesoma, Ukafanya nini
Shahidi: Niliweza Kuhifadhi katika Jalada langu la Kesi na Kufungia Katika Kabati langu la Chuma
Wakili wa Serikali: Baada ya Tarehe hiyo Kitu gani Kingine Ulifanya Kuhusu Kesi hiyo
Shahidi: Mnamo Tarehe 10 July 2021 Niliweza Kupokea Taarifa ya Simu zile Nane Kutoka Kwenye Maabara ya kisayansi Kitengo Cha Uchunguzi Wa Makosa ya Mtandao
Wakili wa Serikali: Ulipokea Kutoka Kwa nani
Shahidi: Nilipokea Kutoka Kwa Inspector Ndowo wa Kitengo Cha Uchunguzi Wa Makosa ya Ki Mtandao Wa Maabara Ya Kisayansi
Wakili wa Serikali: Baada ya Uchunguzi Wa Taarifa hiyo nini Kilitokea
Shahidi: Alijulishwa DC Goodluck ambaye haikuwepo Dar es Salaam, alinijulisha Kwa Uchunguzi umekamilika, Ndipo nilipoenda Kuchukua Taarifa hiyo
Wakili wa Serikali: Ulimkabidhiwa Kwa Utaratibu Upi
Shahidi: Kwa Kusaini Katika Kitabu cha Kitengo Cha Uchunguzi Wa Makosa ya Mtandao
Wakili wa Serikali: Mwanzono Ulisema Kwamba Ulipeleka simu, Sasa unakabidhiwa Riport, Vipi Kuhusu Zile simu
Shahidi: Pia Nilikabidhiwa Simu Nane ambazo niliziandikia Barua
Wakili wa Serikali: Ulijuaje Kama ndiyo Simu ulizopeleka
Shahidi: Niliweza Kuzikagua Wakati na kabidhiwa Wakili wa Serikali Ulifanyia nini hiyo Riport baada ya Kukabidhiwa
Shahidi: Simu Nane nilipeleka Katika Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam, Nilimkabidhi Coplo Charles ambaye ni Mtunza Vielelezo Katika Chumba Cha Kuhifadhia Vielelezo Katika Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Wakili wa Serikali: Na Ile Ripoti Ulifanyia nini
Shahidi: Ripoti Ya Uchunguzi Niliweza Kusoma. Na Kuhifadhi katika Jalada la Kesi Kisha Kuweka Katika Kabati langu la Chuma
Wakili wa Serikali: Ripoti hiyo Kwa sababu wewe Ndiye Uliyeomba Uchunguzi, Ni Vitu gani Ukiweza Kupata Kutoka Katika Ripoti hiyo
Shahidi: Katika Report hiyo Niliweza Kugundua Vitu vifuatavyo, Niliweza Kugundua Kuwa palikuwa na Mawasiliano kati ya Shahidi Luteni Denis Urio na Mtuhumiwa Freeman Mbowe ambayo Yalifanyika Katika Mtandao Wa Telegram Pia Kupitia Maelezo Ya Shahidi Luten Denis Urio, aliweza Kusema Kuwa alitumiwa pesa Kutoka Kwa Mtuhumiwa Freeman Mbowe
Ambapo Tarehe 20 July 2020 Namba 0719933386 ambayo ni Ya Mtuhumiwa Freeman Mbowe ilituma Kiasi cha TSh 500,000 Kwenda Kwa namba ya shahidi Luteni Denis Leo Urio ambayo ni 0787 555200.
Pia Tarehe 22 Mwezi huo huo wa July 2020 ilionyesha Kuwa Shahidi Luten Denis Urio Kupitia namba yake ya 0787 555200 ulipokea Kiasi cha TSh 199,000 kutoka Kwenye namba ya Wakala Kama alivyo eleza Luten Denis Urio.
Wakili wa Serikali: Baada ya hapo Nini Kiliendelea
Shahidi: Tuliendelea Kuandika Taarifa Mbalimbali na Kupitia Ripoti hiyo Niliweza Kujiridhisha kuwa ni kweli Mtuhumiwa Freeman Mbowe aliweza Kutuma hizo Fedha Kwa Luten Denis Urio
Wakili wa Serikali: Nini kiliendelea baada ya hapo
Shahidi: Siku ya Tarehe 27 July 2021 Watuhumiwa Justin Kaaya, Khalid na Gabriel Muhina Walifutiwa Shitaka Lao baada ya Kugundulika hawahusiki na chochote
Wakili wa Serikali: Turudi Baada ya Kupokea Ripoti Ya Uchunguzi Wa Kisayansi Kuhusu Simu, Baada ya Hapo Ulifanya nini
Shahidi: Mnamo Tarehe 18 July 2021 Niliandika Taarifa Kwenda Kwa Afande Mkurugenzi Wa Upelelezi wa Makosa Ya Jinai Nchini, Kuwa Kuna Ushahidi Wa Uhusika wa Mtuhumiwa Freeman Aikael Mbowe, nakuwezesha Kumkamata
Wakili wa Serikali: Mwanzoni Wakati Unatoa Ushahidi Wako Ulizungumzia Kuhusu Kufungua Majalada Mawili, Je ni Jalada lipi ambalo wewe Uliandikia Taarifa
Shahidi: Ni lile Jalada la Kesi tulilo fungulia Polisi, ambalo ni CD/IR /2097 /2020 lenye Chama za Kutaka Kufanya Vitendo Vya Kigaidi
Wakili wa Serikali: Wakati Wa Kufungua Jalada la Kesi hili CD /IR /2097 /2020 Ulisema Kwamba Usiandike Jina la Freeman Mbowe Kwa sababu Kama Ungeandika Jina Taarifa zingeweza Kuvunja, na akasitisha Mpango Wake, Je Ulikuwa Unamaanisha Nini
Shahidi: Nilikuwa namaanisha kuwa angeweza Kusitisha Kumtumia Mtoa Taarifa, angeweza Kutumia Watu wengine ambapo Jeshi la Polisi lisingejua Mahali wala Muda, Kitu ambacho. Lingesababisha Jeshi la Polisi Kushindwa Kuzuia Uhalifu
Wakili wa Serikali: Baada ya Kuandika Taarifa Kwenda Kwa DCI Nini Kiliendelea
Shahidi: Nilipokea Taarifa Kutoka Kwa Afande Ramadhan Kingai Kamishina Msaidizi Wa Polisi alinitaka nitunze Jalada hilo na Kwamba Yeye anafanya Jitihada za Kumkamata Mshitakiwa Freeman Aikael Mbowe
Wakili wa Serikali: Baada ya DCI Kukwambia Hatua ambazo angechukua nini Kilitokea sasa
Shahidi: Mnamo Tarehe 22 July 2021 Nilipokea Karatasi Ya Mtuhumiwa Freeman Aikael Mbowe Kutoka Kwa Afande Jumanne Malangahe Mrakibu Wa Polisi, Kimsingi Nilipokea Maelezo hayo Ikionyesha Mtuhumiwa amekataa Kutoa Maelezo Yake Polisi
Wakili wa Serikali: Kwa Kipindi hicho Ulifahamu huyo Mtuhumiwa Freeman Mbowe amepatikanaje
Shahidi: Nilifahamu Kwamba amekamatwa Mwanza na Kusafirishwa Dar es Salaam
Wakili wa Serikali: Umekuwa Ukizungumza Majina Ya Watu Kadhaa Hapa Mahakamani akiwepo, Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe. Hebu ieleze Mahakama Kama Watu hao wapo hapa Mahakamani
Shahidi: Ndiyo Watu hawa wapo hapa Mahakamani
Wakili wa Serikali: Hebu onyesha sasa
Shahidi: Mtuhumiwa Wa Kwanza, Kutoka Upande Wa Kulia ni Khalfani Bwire Hassan, Wapili kutoka Kulia Kwangu ni Adam Hassan Kasekwa, Watatu Kutoka Kulia Kwangu ni Mohammed Abdilah Ling'wenya na Wanne Kutoka Kulia Kwangu ni Freeman Aikael Mbowe
Wakili wa Serikali: Sasa Mwanzoni Wakati Unatoa Ushahidi Wako Ulizungumzia Kuhusu Khalfani Bwire, Adam Kasekwa na Mohamed Ling'wenya Walifikishwa Mahakamani Tarehe 19 August 2020, Mtuhumiwa Freeman Mbowe alifikishwa Mahakamani Tarehe ipi
Shahidi: Mtuhumiwa Freeman Mbowe alifikishwa Mahakamani Tarehe 26 July 2021
Wakili wa Serikali: Ni tofauti gani ipo Kutokana na Kufikishwa Tarehe tofauti na Wale 3
Shahidi: Utofauti unakuja Kutokana na Kusubiri Kwa Taarifa Ya Uchunguzi Wa Makosa ya Mtandao, ambao Kimsingi Nilipokea Tarehe 10 July 2021
Wakili wa Serikali: Sasa na Upelelezi Wa Kesi inayo wakabili, Ni Ushahidi gani ulipata Kwamba Walikula Njama za Kutenda Matendo Ya Ugaidi
Shahidi: Ni Kupitia Maelezo Yao ya Onyo ya Mshtakiwa Wa Pili Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya pamoja na Mshitakiwa Wa kwanza Khalfani Bwire Hassan, Pia Ushahidi Mwingine ambao Unaonyesha walikuwa Njama ni Kupitia Maelezo Ya Shahidi Luten Denis Urio,
Shahidi: Maelezo Ya Askari Walio wa kamata, Askari Walio andika Maelezo Ya Watuhumiwa
Wakili wa Serikali: Kuhusiana na Pesa iloyotumwa, Uliiweza Kubaini nini?
Shahidi: Niliweza Kubaini Fedha hiyo ilitumwa kutoka Kwa Freeman Mbowe Kwenda Kwa Luten Denis Urio, Ambapo Fedha hiyo iliweza Kuwawezesha Watuhumiwa Mshitakiwa Wa Pili na watatu pamoja na Mwingine ambaye hajakamatwa Kuweza Kufika Eneo la Uhalifu ambalo lilikuwa Eneo la Moshi Niliweza Kubaini Kuwa Fedha hiyo ilitumwa iliwezesha Watuhumiwa Kufika Eneo la Utekelezaji Wa Uhalifu
Wakili wa Serikali: Unaposema Kwamba Mshitakiwa Wa Pili, Watatu na Mwingine hajakamatwa, Vipi Mtuhumiwa Wa Kwanza Kuhusiana na Fedha hii
Shahidi: Kuhusu Mshtakiwa Wa kwanza Inaonyesha Pia aliweza Kupokea Pesa kutoka kwa Luten Denis Urio Kwa ajili ya Utekelezaji Wa Vitendo Vya Kigaidi
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Naomba Kukomea hapo Kwenye Examination inchief
Upande wa Utetezi
Wakili Nashon Nkungu: Shahidi Habari za Leo
Shahidi: Njema
Nashon: Shahidi umepona?
Shahidi: Bado
Nashon: Umemeza Dawa zako
Shahidi: Ndiyo
Nashon: nadhani Shahidi unatambua Ukubwa wa hii Kesi
Shahidi: Sahihi
Nashon: Kwamba Ugaidi ni Jambo Serious kwa Nchi na Dunia
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Kutokana na Userious wa Mashitaka, Hata Uchunguzi Wako Ulitakiwa Uwe serious Ku Match na Makosa haya
Shahidi: Sahihi
Nashon: Kupitia Ushahidi Wako uliotoa, Unaweza Kusimama Kifua mbele Kwamba ulitendea Haki Uchunguzi Wa Kesi hii
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Makosa ni Vitu Vinavyotengenezwa na Sheria
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Kuna Sheria ambazo zilikuwa zinawaongoza
Shahidi: Ni sahihi
Shahidi: Tutajie Sheria zipi Mlikuwa Mnazitumia Kuwa Guide
Shahidi: Sheria Mbalimbali
Nashon: Nitajie Sheria Mbili Mlikuwa Mnazitumia
Shahidi: Sheria ya Kuzuia Ugaidi na Sheria ya Mwenendo Wa Makosa ya Jinai
Nashon: Ni nani aliye angalia Sheria akatoa conclusion Kwamba alisema Kwa Story hii, haya ni Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Ni Ramadhan Kingai Kamishina Msaidizi Wa Polisi
Nashon: Wewe huku take part katika Kujua haya ni Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Hata Mimi Mwenyewe pia nilikuwa najua haya Makosa ni ya Ugaidi
Nashon: Una utaalam wa Kung'amua Kuwa haya ni Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Ulisomea wapi
Shahidi: INTERNATIONAL LAW ENFORCEMENT ACADEMY Botswana
Nashon: Kozi gani
Shahidi: FIRST BURST SCENE
Nashon: Kwa hiyo Walimu Wako wakakwambia Kwamba Kozi hiyo ina husika na Ugaidi
Shahidi: Inahusika na Milipuko
Nashon: Shahidi Ulisema Kwamba Mmoja ya Watuhumiwa Katika kesi hii ni Justin Kaaya
Shahidi: Sahihi
Nashon: Uliwahi Kumuandika Kaaya Maelezo Ya Onyo
Shahidi: Hapana
Nashon: Je Unafahamu Kwamba Kaaya alitumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Ni Kweli
Nashon: Uliwahi Kumuandika Kaaya Maelezo Ya Ushahidi
Shahidi: Sahihi
Nashon: Alikwambia Kwamba aliwahi kutumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba alitumiwa pesa kama Watuhumiwa Wengine hapa Mbele
Shahidi: Hapana
Nashon: Justine Kaaya, Khalfani Bwire wote Walitumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Sahihi
Nashon: Wote hawa Wametumiwa pesa na Freeman Mbowe
Shahidi: Sahihi, lakini Malengo ni tofauti
Nashon: Malengo ya pesa ya Khalfani Bwire unayatoa Wapi
Shahidi: Maelezo ya Mtuhumiwa
Nashon: Maelezo ambayo Washtakiwa Wanataka kwamba hawakuyatoa Kwa hiari yao, Bali kwa Mateso ndiyo Ushahidi Wako wa Pekee?
Shahidi: Maelezo ya Washtakiwa Wengine
Nashon: Je Unafahamu Kwamba Kaaya alisema alikuwa anapewa pesa na Freeman Mbowe Kwa ajili ya Kutoa Taarifa Za Sabaya
Shahidi: Lakini alikuwa hafahamu Malengo
Nashon: Je tangu ugundue hakuwa na Nia Mbaya ilikuwa ni Muda gani baada ya Kumkamata
Shahidi: Zaidi ya Miezi 10
Nashon: Ulimkamata lini
Shahidi: Mwezi September 2020
Nashon: Ukaja Kumuachia lini
Shahidi: Mwezi July 2021
Nashon: Baada ya Mwaka mmoja ndiyo Ukajua hakuwa na Melengo Mabaya
Shahidi: Sahihi
Nashon: Ni sahihi Taarifa za Sabaya Freeman Mbowe alizitoa Kwa Kaaya
Shahidi: sahihi
Nashon: Kwamba alilipwa kwa kazi hiyo
Shahidi: sahihi
Nashon: wewe Hukuona Kosa
Shahidi: sahihi
Nashon: Na Kwamba alikuwa anakaa Kikao na Mbowe Kutoa Taarifa hiyo
Shahidi: Sahihi
Nashon: Kwa Kushiriki Kikao hicho Kaaya alikuwa anashiriki Kikao cha Kigaidi
Shahidi: Alikuwa ajui Dhumuni La Kikao, Kwa hiyo ajashiriki Kikao cha Kigaidi
Nashon: Lakini katika Kikao hicho hicho Mbowe alishiriki Kikao cha Ugaidi
Shahidi: Ndiyo
Mahakama: KICHEKO
Nashon: wakati gani ulipokea Bastola
Shahidi: Baada ya Kutoka Maabara
Nashon: Uli label?
Shahidi: Siku Label
Nashon: Lakini Simu za Mshtakiwa Wa kwanza ndiyo Uli Label
Shahidi: Hapana Siku Label
Nashon: Wewe Uli Label Simu za nani
Shahidi: Luten Denis Urio
Nashon: Na uli Label lini
Shahidi: Tarehe 11 na 13 August 2020
Nashon: Je ni sahihi Kwamba Ulichukua Bastola ya A5340 pamoja na Risasi kutoka Kwa Coplo Hafidh
Shahidi: Nilipokea Silaha A5340 aina ya Luger kutoka Kwa Hafidh Ikiwa na Risasi Moja, Maganda Mawili
Nashon: Ulipokea Vielelezo Kutoka kwa koplo Hafidh
Shahidi: Sahihi
Nashon: Naomba Upokeee Simu, Mheshimiwa Jaji ni Kutoka Katika Kielelezo P28
Nashon: hii aina au dizaini la Ku Label unaitolea wapi
Shahidi: Kipo Kwenye Sheria
Nashon: Sheria ambayo unaitumia ni Sheria gani
Shahidi: Ni PGO
Nashon: Mwambie Mheshimiwa Jaji Kama ulijaza Makabidhiano wakati wa Makabidhiano
Shahidi: Humu sijaandika
Nashon: Unafahamu Kwamba Katika Kielelezo, Lebel ya Kielelezo pale Unapo ambatanisha namba ambayo unaambatanisha inatakiwa uwe namba ya Jalada la Kesi
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Unafahamu Kwamba Unatakiwa pia uwe na Exhibit Serial number
Shahidi: Siyo lazima, Kwa sababu hivi Vielelezo Vilikuwa kwenye Mfuko kwa hiyo Exhibit Serial number inakuwa kwenye Mfuko
Nashon: Hiyo PGO Unayosema Ulitumia inataka uwe na Mahala, namba na Tarehe mnayokabidhiana
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Lakini hapa Hakuna hata Moja
Shahidi: Ndiyo hapo Hakuna
Shahidi: SAMAHANI MHESHIMIWA JAJI NAOMBA NIENDE WASHROOM (CHOONI)....
Shahidi karejea
Nashon: Nipo interested na Shahidi ambaye alikuwa Mtuhumiwa akaachiwa
Nashon: Je ni sahihi Katika Maelezo Uliyo Mwandika Wewe, aliandika Kuwa aliwahi Kuwa Msaidizi Wa Katibu wa CCM Wilaya ya Meru
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Pamoja na Kwamba kapokea Fedha, na Kashiriki Vikao ila akaachiwa
Shahidi: Sahihi
Nashon: nani ni Mwamuzi ambaye aliamua kuwa Pesa hizo siyo za Ugaidi
Shahidi: ni Upelelezi
Nashon: Ni nani hasa
Shahidi: Mchakato Wa Upelelezi
Nashon: Ni sahihi Kwamba Uliwahi kuandila Maelezo Yako Mwezi 6 August 2020
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kuwa katika Maelezo yako Uliwahi Kusema Kuwa Mbowe ameshiriki Vikao Vya Kigaidi
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Na Katika Maelezo yako Ulisema Kwa, Kuthibitisha hilo ni Kupitia Maelezo ya Onyo ya Washtakiwa Wenzie
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba wewe na Wapelelezi Wenzio hamkuwahi Kushuhudia Mbowe akiwa katika Kikao cha Ugaidi
Shahidi: Ni sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba Wewe na Wapelelezi Wenzio hamkuwahi Kushuhudia Mbowe akiwa katika Kikao Mbeya au Arusha?
Shahidi: Sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba pia nyie Kama Wapelelezi wa Kesi hii hamna CCTV Camera
Shahidi: Ni sahihi hatuna
Nashon: Ni sahihi Kwamba wewe na Wapelelezi Wenzio hamna hata Sauti ya Mbowe akipanga Ugaidi
Shahidi: Ni sahihi hatuna
Nashon: Ni sahihi Kwamba Jeshi la Polisi lina Vifaa Vya Kurekodi Sauti
Shahidi: Siwezi Kuzungumzia hilo
Nashon: Lakini Unafahamu Kwamba Simu inaweza Kurekodi Sauti
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Na Jeshi la Polisi hamkazwi kutumia Simu Kurekodi Sauti
Shahidi: Ndiyo
Nashon: unajua Kuwa Mahakama Inaruhusu Kutumia Video na Sauti katika Ushahidi
Shahidi: Sifahamu
Nashon: Nikumbushe Cheo Chako huko Polisi
Shahidi: Inspector Wa Polisi
Nashon: Na Inspector Wa Polisi Ujui Kuwa Mahakama Inatumika Video na Sauti Katika Ushahidi
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Ndiyo Maana hamkuleta Video wala Sauti Mahakamani Kwa sababu ufahamu Ka Inatumika Mahakamani Kama Ushahidi
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Nionyeshe Sasa sehemu ambayo Mahakama itaona Mbowe alikaa Vikao Vya kigaidi
Shahidi: Ilikuwa Kwenye Gari, Ukisoma Maelezo Utaona
Nashon: Naomba Sasa Mahakama Ikupatie hizo Meseji Shahidi: Nimeona Meseji ya Tarehe 22 July 2020 Muda wa Saa 7 na Dakika 49 "Kutakuwa na Safari ya kwenda Hai, Leo Usiku au Asubuhi" Mahakama
Nashon: Naomba Sasa Mahakama Ikupatie hizo Meseji
Shahidi: Nimeona Meseji ya Tarehe 22 July 2020 Muda wa Saa 7 na Dakika 49 "Kutakuwa na Safari ya kwenda Hai, Leo Usiku au Asubuhi"
Mahakama: Kicheko
Shahidi: hii Inaelezea Sasa Kwamba Kutakuwa Kuna Kikao
Nashon: Katika hiyo Meseji wataje Wanaokutana
Shahidi: Mtuhumiwa Wa Kwanza, Wa pili, Watatu na Wanne
Nashon: Kwa hiyo akisoma hiyo Meseji ataona Kwamba Kuna Kikao cha Ugaidi
Shahidi: Ushahidi ni Kuunganisha Dot
Nashon: Kwa hiyo Nikisoma Meseji ipi nitaona nani na nani wametajwa, Saa ngapi na Wapi
Shahidi: Kwenye Meseji Hauwezi Kuona, ila Kwa Kuunganisha Dot
Mahakama: Kicheko
Nashon: Tutoke hapo umesha Sema hatutoona. Meseji Twende Kwingine
Nashon: Ni kweli Kwamba Mlikuwa na Msiri wenu Denis Urio
Shahidi: Ndiyo
Nashon: Baada ya Kuona hiyo Meseji Kwamba wanaenda Hai, nyie Hamku fuatilia
Shahidi: Hatukufutilia
Nashon: Mnafahamu Kuwa Aishi Hotel Ina CCTV Camera
Shahidi: Sifahamu
Nashon: Na hufahamu kwa sababu hujawahi Kufika Aishi Hotel
Shahidi: Kimya
Nashon: Sasa Ulifanya Juhudi zozote za Kwenda Pale Aishi Hotel kama Mpelelezi ambaye Yupo serious, labda Kuandaa Warranty, CCTV CAMERA Kuangalia List ya Wageni
Shahidi: Sikuwahi Kufanya hivyo
Nashon: Kwa ujasiri kabisa Mwambie Mheshimiwa Jaji Kuwa Uliwezaje Kuwaleta Watuhumiwa Mahakamani Kwamba Wamekutana sehemu fulani ambayo wewe na Polisi Wengine hamjawahi Kufika
Shahidi: Mimi nilikuwa sehemu ya Upelelezi tu, Kuna wengine ambao walikuwa Arusha na Kilimanjaro
Nashon: Kwa hiyo Wewe Kwa sababu upo Dar es Salaam hukuona Sababu
Shahidi: Hapakuwa na Ulazima
Nashon: Sasa Pale Aishi Walifanya Nje au Ndani
Shahidi: Nje Kwenye Garden
Nashon: Garden ya upande upi
Shahidi: Sifahamu Sijawahi Kufika
Nashon: Katika Ushahidi Wako Nimekusikia Mahala Kwamba Unasema Ulikuwa unapokea Vielelezo na Kuvitunza, Je Hapa Mahakamani umewahi Kusema Kuwa Uliwahi Kuwa Forensic Beaural
Shahidi: Sijawahi Kusema
Nashon: Wewe Ulikaa na Vielelezo Vipi ambavyo Uliviandaa Kwa ajili ya Ushahidi
Shahidi: Simu za Urio Nashon Simu za Urio tu?
Shahidi: Simu zote Nane
Nashon: za Kwanza
Shahidi: Nilipokea Tarehe 07 August 2020 Mpaka Tarehe 13 August 2020
Nashon: tukumbushe nani alivileta Mahakamani
Shahidi: Hivyo Vielelezo Nilimpa Inspector Ndowo
Nashon: Lini
Shahidi: Sikumbuki
Nashon: Kwa sababu hamkuandikishana
Shahidi: Tuliandikishana
Nashon: Lakini Tukiangalia katika PF 145 Hatuoni sehemu Mliyo kabidhiana
Shahidi: Ni sahihi Hakuna
Nashon: Ulikuwa unafahamu kuwa Sheria inataka uonyeshe Katika PF 145
Shahidi: Nilikuwa nafahamu
Nashon: ila Ukaamua Kupuuza Sheria
Shahidi: Hapana
Nashon: Ni sahihi Uliondoka HQ August 2021
Shahidi: sahihi
Nashon: Ni sahihi Kwamba hujaeleza Mahakama Baada ya Kuondoka Ofisini Kwako Vielelezo ulimuachia nani
Shahidi: Usipotoshe Mahakama, Nilisema Kwamba Vielelezo Vyote nilikuwa nimepeleka Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Nashon: Unakumbuka Muda ambao Ulikaa na Vielelezo, Ambapo Vilienda Polisi Kati Dar es Salaam na kukaa navyo katika Kabati la Chuma
Shahidi: Kwa nani? Kwa Tarehe ipi?
Nashon: Je ni sahihi Kwamba Ulichukua Vielelezo Kutoka Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam Yes or No Shahidi Yes
Nashon: Kwanini Sasa unapoteza Muda Wa Mahakama
Nashon: Baada ya Uchunguzi Ulikaa navyo au ulipitiliza Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Shahidi: Nilipeleka Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Nashon: Kwa hiyo ni sahihi Kwamba Ulikuwa Umekaa na Vielelezo Katika Kabati lako wakati wewe siyo Mtunza Vielelezo
Shahidi: Nilikaa navyo Kwa ajili ya Kuviandikia Barua, Sababu ya Upelelezi
Nashon: Ilikuwa inashindikana Kwa wewe Kuandika Barua Vielelezo Vikiwa Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam
Shahidi: Ilikuwa Haiwezekani
Nashon: Unafahamu Kwamba OC Forensic Beaural ndiye anaye husika Katika Kuandaa na Kutunza Vielelezo Kabla ya Kwenda Kufanyiwa Uchunguzi
Shahidi: OC wa Forensic Beaural anapelekewa na Mpelelezi
Nashon: Je Unafahamu Kwamba OC Forensic Beaural ndiye anaye husika Katika Kutunza, Kuandaa na Kupeleka kwa Expert Examination
Jaji: sijui Mimi Ndiyo sielewi, Naomba Wakili unisaidie
Wakili Kihwelo: Swali lake linahusu Custodian wa Kutunza kabla ya kwenda Kwa Expert Examination
Shahidi: Sifahamu
Nashon: Katika Ushahidi Wako Kuna sehemu Kwamba Ulisema DCI alikwambia pamoja na OC Forensic Beaural ndiyo Mtunza Kielelezo, lakini wewe Kaa navyo
Shahidi: Sikueleza hayo
Nashon: Kwakuwa Umeibuka Mjadala hapo, Na Kwakuwa Mheshimiwa Jaji Shahidi alisema anaifahamu PGO naomba ni Muonyeshe Shahidi PGO hii ambayo alikuwa anaitumia Wakati wa Kufanya Kazi, PGO ya 8 Paragraph ya 9
Jaji: Rudia na uongeze Sauti
Nashon: Soma Kipengele (e)
Jaji: Samahani, Hapa OC anahusika baada ya OC kuwa ameletewa Vielelezo Hapa Sheria inasema Kwamba OC Forensic Beaural, Ndani ya Forensic baada ya Kuvipokea Nataka sasa Kufahamu Premise ya swali lako naandikaje, Inawezekana Unahoja ila namna ya ulivyoliweka ndiyo Unanichanganya
Nashon: labda Kwako Mheshimiwa Jaji, lakini najua siyo sawasawa.
Wakili John Malya: Mheshimiwa Jaji Kwa Kuokoa Muda, wakili aende Kwenye eneo lingine baadae ndiyo arudi kuunganisha hapo
Jaji: Sawa
Hatowahi nyakati zote.Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Mbowe hawezi kukubakiana na hiliHatowahi nyakati zote.
TwendeWhere is Mtobesya? Hii kesi inaisha na mawakili wa utetezi watakuwa na profile nzuri. Hamna kesi hapa.