Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Sostenes Swila kuendelea kutoa ushahidi wake Februari 9, 2022

Lakini inakuwaje mtu na akili zako unaandika hivi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Umemwaga mashuzi tu hapa, Wewe mjane!
 
Ka uliwahi kusikia huwa kuna dakili za wazi mtu kuwa mwendawazimu, hizi za kwako, hazina shaka.

Wasiliana na ndugu zako wakupeleke hospitali inayohusika na matibabu ya uwendawazimu.
 
SASA hapo Ugai WA MBOWE NI UPI.
 
Kibitala kasha hamisha jama ile mbaya, jambo la kuchukua note book ya mutuhumiwa naona ni jambo ambalo lilifichwa mahakamani jama kakiri kwamba alilichukua ila ajalilitea mahakamani......huyu Peter ni mzuri sanaa
 
Urio alisema simu hazikua na line, swila anasisitiza simu zote zilikua na line zake, tuchukue ya nani tuaache la nani? Hapa jaji anakazi kubwa kumbuka ushahidi wao mkubwa ni sms kwenye simu hizo......ebu tusubiri kama haki itatendeka kweli
Kwenye final submission watakazia point nzito Kama hizo, relax!
 
Si wampige tu mvua za kutosha ili mchezo uishee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…