Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Sostenes Swila kuendelea kutoa ushahidi wake Februari 9, 2022

Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Sostenes Swila kuendelea kutoa ushahidi wake Februari 9, 2022

lengo la mboe lilikuwa ni kununua mtu yeyote yule ambaye alikuwa tayari kufuata maelekezo yake ambayo ni, kuvuruga amani na utulivu wa nchi.


alikuwa anakusanya vijana wa kihuni na wasaliti na kuwajasirisha kutenda vitendo vya kigaidi/kihalifu dhidi ya nchi yao.

mboe alikuwa na aliunda genge la kigaidi kwa kuwatumia hao makomandoo na wahalifu wengine mbalimbali kama vile, majambazi, wauza madawa ya kulevya, wavuta bangi n.k.

huyo jamaa hakuwa mwanasiasa bali muhalifu mbobezi aliye jificha kwenye uongozi wa chama cha siasa.
ni mtu ambaye hakujali amani na utulivu wa nchi....ni msaliti aliye isaliti nchi yake kwa tamaa na uchu wake wa kijinga.
Hadi sasa unayoyasema hatuyaoni hapa mahakamani, mmeshindwa kuithibitishia mahakama hii hadithia yako.

Hata kama ni ushetani huu wako umezidi maana kama kungelikuwa na hata chembe ya ukweli Hadi sasa tungelikuwa tumeshauona hapa mahakamani
 
lengo la mboe lilikuwa ni kununua mtu yeyote yule ambaye alikuwa tayari kufuata maelekezo yake ambayo ni, kuvuruga amani na utulivu wa nchi.


alikuwa anakusanya vijana wa kihuni na wasaliti na kuwajasirisha kutenda vitendo vya kigaidi/kihalifu dhidi ya nchi yao.

mboe alikuwa na aliunda genge la kigaidi kwa kuwatumia hao makomandoo na wahalifu wengine mbalimbali kama vile, majambazi, wauza madawa ya kulevya, wavuta bangi n.k.

huyo jamaa hakuwa mwanasiasa bali muhalifu mbobezi aliye jificha kwenye uongozi wa chama cha siasa.
ni mtu ambaye hakujali amani na utulivu wa nchi....ni msaliti aliye isaliti nchi yake kwa tamaa na uchu wake wa kijinga.
Kamalize dozi uliyoianza Mirembe kabla hujaja huku kwa watu wanaotumia akili walizojaliwa na Mwenyezi Mungu
 
-
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Tulikuwa tunajadiliana na Wenzangu hapa, lakini Kuanzia pale alipoenda Kwa Boaz, URIO na Sasa Kwa Shahidi Mwenyewe Sisi Kwa Shahidi Mwenyewe hatuna Tatizo,Mahakama Inakuwa sehemu Ngumu sababu Wale wengine Wameshatoa Ushahidi Wao, Kama wanataka Kuingiza Maelezo Yale, Ilitakiwa Iwe Kwa Wale Mashahidi Kwa Mujibu wa Kifungu 164 cha Sheria ya Ushahidi limeweka Masharti
Hapa ndipo nguvu ya ushahidi wa serikali ulipovunjwa maana wao walikuwa wanategemea Sana hatia za onyo (hati za kukiri makosa) kwa akina Adamoo na wenzake Ndiyo maana walipambana kufa na kupona katika kesi ndogo ili mahakama ipokee hati zile za onyo,

ila ukifuatilia kwa undani huu ushahidi walioutegemea leo umetikiswa sana kutokana na maelezo ya shahidi wa leo. Kwisha habari.
 
Adv Kibatala, umefanya kazi nzuri Sana leo. Umempa point blank kuwa hii kesi wamebumba ndiyo maana watu wanawaandikisha maelezo baada ya wiki tatu, mwezi etc

Umeraise doubts that go to the root of the case and therefore not minor.
The only problem I can figure out is the JUDGE if he will see the same because of Executive influence on judiciary.

Hopefully you and your colleagues, will put them clearly during your final submissions . Wajibu mmeutimiza by 100%.
Najua kazi bado Ni kubwa as still the prosecution has a number of witnesses to screw, lakini by a great part you have done it.
Asante sana.
 
Mzee Mbatia mbona sikuhizi haonekani mahakamani kumtia nguvu swahiba wake?!
 
Ok,shahidi mwingine wa upande wa mashtaka ni Kaaya,huyu amekaa mwaka mzima kama mshtakiwa na baadaye akaachiwa na Sasa ni shahidi ajaye!
Je,alipewa immunity deal Ili awe shahidi?
 
lengo la mboe lilikuwa ni kununua mtu yeyote yule ambaye alikuwa tayari kufuata maelekezo yake ambayo ni, kuvuruga amani na utulivu wa nchi.


alikuwa anakusanya vijana wa kihuni na wasaliti na kuwajasirisha kutenda vitendo vya kigaidi/kihalifu dhidi ya nchi yao.

mboe alikuwa na aliunda genge la kigaidi kwa kuwatumia hao makomandoo na wahalifu wengine mbalimbali kama vile, majambazi, wauza madawa ya kulevya, wavuta bangi n.k.

huyo jamaa hakuwa mwanasiasa bali muhalifu mbobezi aliye jificha kwenye uongozi wa chama cha siasa.
ni mtu ambaye hakujali amani na utulivu wa nchi....ni msaliti aliye isaliti nchi yake kwa tamaa na uchu wake wa kijinga.
Kwa akili hizi ndogo naihurumia sana familia yako,na wewe una watu wanakutegemea kweli?

Ovyo kweli
 
Kibatala: Je, Faili la P.E ulilipa Kosa gani

Shahidi: Lile Jalada ni Jalada la Uchunguzi

(Shahidi anaongea)

Kibatala: Ukimaliza Kuongea Mambo yako Jibu swali Langu Jalada la P.E Uliandika Kosa au halikuwa na Kosa

Shahidi: Jalada la P. E halikuwa limeandikwa Kosa
Naona choo cha mahakama leo maji yaliisha😂😂😂
 
Adv Kibatala, umefanya kazi nzuri Sana leo. Umempa point blank kuwa hii kesi wamebumba ndiyo maana watu wanawaandikisha maelezo baada ya wiki tatu, mwezi etc

Umeraise doubts that go to the root of the case and therefore not minor.
The only problem I can figure out is the JUDGE if he will see the same because of Executive influence on judiciary.

Hopefully you and your colleagues, will put them clearly during you and your final submissins . Wajibu mmeutimiza by 100%.
Najua kazi bado Ni kubwa as still the prosecution has a number of witnesses to screw, lakini by a great part you have done it.
Asante sana.
Ukitaka kujua mwanaume msomi ni hapa
 
Ok,shahidi mwingine wa upande wa mashtaka ni Kaaya,huyu amekaa mwaka mzima kama mshtakiwa na baadaye akaachiwa na Sasa ni shahidi ajaye!
Je,alipewa immunity deal Ili awe shahidi?
Kumbukumbu zangu zinaniambia Kaaya alishawahi kusimama kizimbani
 
Back
Top Bottom