pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Unajua ulichoandika kweli?Si chadema walisema mahakama ya mafisadi na majizi haipo?
Inakuweja tena Mungu wao anahudhuria hapo.
Punguza mataputamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua ulichoandika kweli?Si chadema walisema mahakama ya mafisadi na majizi haipo?
Inakuweja tena Mungu wao anahudhuria hapo.
Mama afukuze hao watu walio muuzia hi kese, itadhalilosha sana jeshi la police na serikali yake, mahakama haiwezi kupata hataushahidi wakusingizia kuhumu hi kesi dhidi ya washitakiwa.Cross examination ya hawa jamaa itawaweka mawakili wa serikali kwenye wakati mgumu sana, hawa wanatoa yote kichwani bila kukaririshwa, sasa ni jukumu la mawakili wa serikali kuhakikisha wanawaondoa kwenye reli watu ambao wanatoa ukweli walioupitia.
Uko sahihi Sana, na wakijiroga kuchimba Sana watakutana na zigo la mavi chini.Cross examination ya hawa jamaa itawaweka mawakili wa serikali kwenye wakati mgumu sana, hawa wanatoa yote kichwani bila kukaririshwa, sasa ni jukumu la mawakili wa serikali kuhakikisha wanawaondoa kwenye reli watu ambao wanatoa ukweli walioupitia.
Ni rahisi tu ujue. Serikali ilitaka kufanya madhara Kwa Mbowe, ilivyosikia kaajiri makomandoo ikawageuzia kibao. Hakuna ugaidi wala Dada yake ugaidi.Tukiacha makandokando na songombingo za kesi hii. Hivi Hii kitu ya "VIP PROTECTION" kwa kutumia ex-comamandos zaidi ya wanne mwamba alikuwa anataka kulinda nini? Kuna mtu ametafakari kwa kina?
Maana inaonekana watuhumiwa wanakiri kutaka kupewa hii kazi!
Kesi imeishaUko sahihi Sana, na wakijiroga kuchimba Sana watakutana na zigo la mavi chini.
Sasa imeisha vipi, si inategemea walikuwa wanakutana nae kwa sababu gani?Kesi imeisha
1. wamekiri kukusanywa na kumfahamu Mbowe
2. wamekiri kwenda Moshi
3. wamekiri kufanya mikutano na Mbowe kwenye maeneo yanayomilikiwa na Mbowe
Hizo ni ingridient za kesi ya Jamhuri
Ukiwa na akili nyepesi kama ya Kuku wa kisasa utaona kuna la maana, kuna kosa kwenda Moshi? Kuna kosa kukutana na Mbowe? Kuna kosa wamefanya Kwa kutaka kuajiriwa na Mbowe kama walinzi?Kesi imeisha
1. wamekiri kukusanywa na kumfahamu Mbowe
2. wamekiri kwenda Moshi
3. wamekiri kufanya mikutano na Mbowe kwenye maeneo yanayomilikiwa na Mbowe
Hizo ni ingridient za kesi ya Jamhuri
Hujui hata kesi ilivyo,unalipuka tu utadhani umetoka chooni,kesi hii itamtia hatiani Mbowe kwa ushahidi uliojitosheleza na mahakama ithibitishe uhusikaji wake na ugaidi.toka mwanzo Ni stori za kutengeneza ndio maana mawakili wa serikali wameishiwa hoja na kufunga ushahidi.wamfunge chap huyu gaidi..haya makelele ya ubw## koko yaishie.ushahidi umeenyoka kabisa kesi inatakiwa iwe imeisha muda mrefu sana...hawa mawakili kazi yao imekuwa nikuweka mapingamizi tu ili kuisumbua mahakama ila hakimu kwa wanavyokuchosha..mfunge gaidi na viboko juu
Jamani , Nyieee ! yaani Aibu kichizi yaani !!Fedheha, aibu na uchuro kwa serikali!
Kati ya serikali na Mbowe nani ana makamandoo wengi?Ni rahisi tu ujue. Serikali ilitaka kufanya madhara Kwa Mbowe, ilivyosikia kaajiri makomandoo ikawageuzia kibao. Hakuna ugaidi wala Dada yake ugaidi.
Mbona wako Askari wengi tu toka kwenye Majeshi yetu walioajiriwa kwenye makampuni mbali mbali binafsi za Ulinzi??? Hawa Jamaa wanahangaika kuhamisha magoli.Ukiwa na akili nyepesi kama ya Kuku wa kisasa utaona kuna la maana, kuna kosa kwenda Moshi? Kuna kosa kukutana na Mbowe? Kuna kosa wamefanya Kwa kutaka kuajiriwa na Mbowe kama walinzi?
Kosa vyote siyo akili. Ingredients za ugaidi ni pamoja na kwenda Moshi, kukutana na Mbowe bila ushahidi wa ugaidi, kukutana Tu ni ingredient?
Kwamba kumfahamu Mbowe n kosa?Kesi imeisha
1. wamekiri kukusanywa na kumfahamu Mbowe
2. wamekiri kwenda Moshi
3. wamekiri kufanya mikutano na Mbowe kwenye maeneo yanayomilikiwa na Mbowe
Hizo ni ingridient za kesi ya Jamhuri
Kwani kesi ya Jamhuri ni ipi?Ukiwa na akili nyepesi kama ya Kuku wa kisasa utaona kuna la maana, kuna kosa kwenda Moshi? Kuna kosa kukutana na Mbowe? Kuna kosa wamefanya Kwa kutaka kuajiriwa na Mbowe kama walinzi?
Kosa vyote siyo akili. Ingredients za ugaidi ni pamoja na kwenda Moshi, kukutana na Mbowe bila ushahidi wa ugaidi, kukutana Tu ni ingredient?