Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Upande wa Utetezi waanza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka 26 Novemba, 2021

Umezira? Kesi hii si mkezo ushahidi unaflow vizuri. Sikuile alikuja Obama bila mlinzi, akaja Clinton na walinzi 3, baadaye Netanyahu walinzi 4. Iweje mbowe ambaye hata ubunge kashindwa alindwe na ex-Commandos ishorini?
 
Sheikh wa mkoa gani?
Wana Jf kutoka huo mkoa wana ABC yoyote kumhusu huyo Sheikh?

Amemtaja Aliye kuwa Mwanajeshi wa Twahila, Sheikh Mkuu wa Mkoa Wa Manyara wote hap aliwakuta TAZARA wakituhumiwa kwa makosa ya Ugaidi. Na Waliambiwa wanaokwenda Tazara ni Wale wenye Makosa Ya Ugaidi Tu
 
Kesi imeisha
1. wamekiri kukusanywa na kumfahamu Mbowe
2. wamekiri kwenda Moshi
3. wamekiri kufanya mikutano na Mbowe kwenye maeneo yanayomilikiwa na Mbowe
Hizo ni ingridient za kesi ya Jamhuri
Mh Kuna Sheria inakataza kukutana na Mbowe?
Je Ni makosa kuajiriwa na Mbowe?
Mzigo walio nao ndugu zako Ni kuthibitisha pasina Shaka kuwa walikutana kupanga Ugaidi na sio kujadiriana kuhusu kazi ya ulinzi, na bahati mbaya hawana hata fyekeo la kusaidia kuthibitisha kwamba lingetumika kufyeka miti.
Mna kazi ndugu zangu kwa kuwa mmefikia kiwango Cha teknolojia ya juu ya kufoji nyaraka kwa kuchana register na kuunga unga ili ifiti uongo wenu Basi nawasalimia kwa Nina la JAMHURI ya watu wa tanzania.
 
Mkuu swali langu ni rahisi tu- Mbowe yuko mahakamni kwa kosa gani?
Mbowe Ni mtuhumiwa wa kosa la Ugaidi sio ukituhumiwa Ni mahakama inayothibitisha kosa sio washitaki.
 
Hii Series itakua na Season nyingi sana.

Nakaa natafakari hivi ni wananchi wangapi wameshapitia mateso na dhuluma kiasi hichi kutoka kwa askari police. [emoji848]
Ni swali la msingi sana hili. Naona mfumo mzima ulioandaliwa chini ya utawala huu ni kulitumia jeshi la polisi kufanya vitendo vya kihalifu kwa wananchi.
Kama hali itaendelea kuwa hivi hivi bila marekebisho, hatimaye taifa hili litaingia kwenye matatizo makubwa.
 
Jamani binafsi napata shida na kauli ya Mzee tiganga kwamba shahidi anapewa majibu.....kwanini awe na mashaka.
 
Kwa jinsi kesi inavyoendelea na mashahidi wote ni polisi na ushahidi ni WA kujirudiarudia, kwa Nini wanajamii tusiaminishwe kwamba yafuatayo:
a) Kesi hii ni ya kutunga;
b) Kesi hii ni ya kisiasa; kwamba mwaka 2020 ulikuwa ni mwaka wa uchaguzi mkuu hapa I'm jTanzania na Mwamba Freeman Aikel Mbowe alikuwa ni kutoka Kambi ya upinzani na dunia nzima ilishuhudia jinsi uchaguzi mkuu ulivyovurugwa na kwa mara ya kwanza tangu Tanzania iingie kwenye mfumo wa vyama vingi, chama tawala 'kilishinda'kwa kishindo;
c) Kwa vile mashahidi wa mashtaka wote ni polisi, kwa nini kesi hii isiaminike kwamba ilitengenezwa kwa lengo la kuwapandisha vyeo baadhi ya polisi waliohusika katika mchezo huu wa kuingiza?; Wengi wao qanepandiswa vyeo baada ya kuhusika katika kesi hii kama mashahidi wa mashtaka;
d). Na kwa nini jamii isiaminishwe kwamba Kwa vile Tanzania haijapata kushuhudia namna Kesi ya ugaidi ikiendeshwa, na hivyo hii kesi imefanywa iwe platform( uwanja wa kujifunza), in case siku taifa likingia kwenye matukio ya namna hii. Lakini imefanyika hivi kwa gharama ya watu mashuhuri, uchelewaji wa baadhi ya harakati (harakati za kudai Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi);
e). Kwa Nini jamii isiamini kwamba kesi hii imetengenezwa ili kuchelewesha harakati za kupata Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi?;
f). Iliwahi kusemwa huko nyuma kwamba kama kuna machafuka au kupotea kwa tunu ya amani nchi hii basi hayo yatatoka kwa chama tawala. Sasa kwa haya yanayotokea katika vyombo vyetu vya utendaji haki (ubambikiaji wa kesi),ni rahisi kutengeneza hofu, wananchi kutoipenda na kutokuwa na imani Serikali yao na amani, utulivu na mshikamano kutoweka.
 
Sasa ni wazi hii nchi haitakaa ipate maendeleo. Kila cku vikao - ni vikao vya kuzindua mara michezo mara makongamano, mara usalama barabarani, mara cjui nini - ili mradi rais yuko busy ktk misafara ya uzinduzi, kila siku.

Imekuwa mahali muafaka pa kujipatia mi-posho kwa wajanja (washauri). Wakati haya yakiendelea, viongozi kila mahali wanahama ofisi, wamehudhùria misafara - na sio kwenye wilaya husika tu, hata za jirani na mikoa jirani, hata madaktari hawako salama. Piga hesabu za gharama uone kodi zetu zinapoishia!

Njoo kwenye teuzi! Kila kiongozi kuteuliwa na rais, kuanzia wilayani hadi taifa, wako wabunge wa rais, mahakimu wa rais, Mkuu wa Majeshi, wa Mapolisi, Jaji Mkuu, wa Usalama, Takukuru na viongozi mbalimbali na mateuzi haya huambatana na posho zao. Sasa, ikiwa wote wanateuliwa na rais, nani wa kumkemea nani! Yaani tukubali tu kuwa sasa, umebaki mhimili mmoja wenye nguvu na hauko kikatiba - chama dola.

Hebu fikiria, ili uwe rais, lazima upitishwe na chama chako. Kwa CCM, ukishapitishwa mgombea na ukishinda, unakuwa Mkt wa chama na kwa wadhifa huo una uwezo wa kutumia chama kumtimua yeyote uanachama - iwe Spika au Jaji Mkuu au yeyote yule. Ikishafika hapo, kama ilivo sasa, the president is Supreme. Viongozi wote wanatakiwa kuufyata mbele ya rais.

Kwa mfumo huo, kipi kitafanyika kwa ufanisi, labda kuimba mapambio hasa ule wa "Rais Wetu ni Mteule wa Mungu" na ule wa "Mamlaka zote zimetoka kwa Mungu" ambazo kwa sasa zinaimbwa kotekote hata kwenye vilio, ili tu kumfurahisha mkulu.

Kila baada ya uchaguzi, mchakato wa kushinda uchaguzi unaofuata huanza na fedha toshelezi kwa ajili hiyo husakanywa kila mahali, hata zile zinazoitwa za maendeleo zinakuwa halali yao - sasa kwa staili hiyo, lini tutapata maendeleo?!

Piga ua, tatizo kuu ni katiba. Kwa hii isiosomeka kutokana na viraka, rais atafanya lolote kama apendavyo na tukiendelea hivyo tutaendelea na utamaduni wa kuimba mapambio kama majuha fulani ambao kwao ni Tz na maendeleo tutayasoma kwenye magazeti - hususan "Uhuru" au kuyasikia toka midomo ile ambayo tumekuwa tukiisikia ya wanasiasa wetu kila wakati - na tutegemee tena hayo ktk shereha ijayo, kuyasikia na sio kuyaona...nk
MIAKA 60 YA UHURU NA ITUFUNGUE TUONE MAENDELEO MUAFAKA - UMUHIMU WA KATIBA MPYA, period.
 
NCHI imeoza KWASABABU ya muongozo mmbovu. KATIBA mpia si Tu NI suluhisho,na wakuilinda hiyo KATIBA ,ndio wamuhini zaidi. Kwakweli nilikuwa sahihi kumkataza mwanangu kujiunga na jeshi la Polisi.
 
Wewe uliyetumamu nenda kashindane nae.

Hawo wasiodhaifu kila mda wanaomba break kwenda kuapat maelezo kutoka juu.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Si chadema walisema mahakama ya mafisadi na majizi haipo?

Inakuweja tena Mungu wao anahudhuria hapo.
Wewe una akili timamu?? mafisadi wote wapo ccm.

Nimejalibu kumsoma jaji vizuri na nimegundua ana dhamila mbaya sana juu ya watuhumiwa. Washitakiwa wamkatae mapema sana huyu jaji
 
LEO MAWAKILI WA SERIKALI WAMEPEWA ANGALIZO ZURI YA KUACHA KUAMINI KUWA WAO WANAJUA , WAAMINIWE NA WAKUBALIWE KILA KITU MBELE YA JAJI KISA WAO NI UPANDE WA SERIKALI
 
Unawakosea sana Kuku wa kisasa kwa kuwalinganisha na hizi takataka inzi za kijani!
 
Jaji anasikiliza na kuandika, lakini ana uwezo wa kiona shahidi anaelekezwa majibu, kuliko liwezavyo kiona jopo la mawakili wa serikali. Huyu apewe hadhi ya super judge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…