Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,389
- 2,025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Gaza mlisema hivyo hivyo. Sasa hivi imebaki vifusi tuThey won't dare to invade Lebanon,just to guard the border so cilivilians can return home
Kwahyo malengo ya israel ilikua kudondosha maghorofa ya gaza au kuifuta hamas na kurudisha mateka wote nyumbani?maana malengo waliyoweka hayajafikiwa hata moja mmebaki kujisifia kugeuza kifusi maghorofa na huko north wanapoenda ndio wanaenda kuangamia km wameshindwa kuifuta hamas ambao wanarusha makombora yasiyokuwa na muongozo wataiweza hezbollah wenye guided missiles.Hata Gaza mlisema hivyo hivyo. Sasa hivi imebaki vifusi tu
Vita dhidi ya ugaidi ni ngumu sana kuliko vita dhidi ya jeshi kamili. Kumbuka gaza ina watu zaidi ya mil 2 halafu Hamas wamejichanganya na raia wa kawaida so Israel inabidi ajitahidi kupunguza madhara kwa raia ndio maana vita inachukua muda mrefu.Kwahyo malengo ya israel ilikua kudondosha maghorofa ya gaza au kuifuta hamas na kurudisha mateka wote nyumbani?maana malengo waliyoweka hayajafikiwa hata moja mmebaki kujisifia kugeuza kifusi maghorofa na huko north wanapoenda ndio wanaenda kuangamia km wameshindwa kuifuta hamas ambao wanarusha makombora yasiyokuwa na muongozo wataiweza hezbollah wenye guided missiles.
Kwahyo malengo ya israel ilikua kudondosha maghorofa ya gaza au kuifuta hamas na kurudisha mateka wote nyumbani?maana malengo waliyoweka hayajafikiwa hata moja mmebaki kujisifia kugeuza kifusi maghorofa na huko north wanapoenda ndio wanaenda kuangamia km wameshindwa kuifuta hamas ambao wanarusha makombora yasiyokuwa na muongozo wataiweza hezbollah wenye guided missiles.
Kama nyie kwa waarabuHawa unaobishana nao huwaambii kitu kwa myahudi, hata uwaambie ukweli gani hawakuelewi, wakiona maghorofa yanaangushwa na watoto kufa wanafurahi, yani mkuu hawa watu sio wa kufanyanao urafiki hata kidogo, hawa sio wenzetu.
Hamas wako wapi kwasasa unaweza nionyesha ofisi zao au sare zao au kambi yao walipoKama watoto wa Hamas wamewashinda, je hao Hezbollah si ndio watawashika makalio kabisa!!
Hatuwezi kufanya urafiki na magaidiHawa unaobishana nao huwaambii kitu kwa myahudi, hata uwaambie ukweli gani hawakuelewi, wakiona maghorofa yanaangushwa na watoto kufa wanafurahi, yani mkuu hawa watu sio wa kufanyanao urafiki hata kidogo, hawa sio wenzetu.
na mateka chini ya vifusi...UME FORGET!Hata Gaza mlisema hivyo hivyo. Sasa hivi imebaki vifusi tu