Yaliyojiri mechi ya Mgambo JKT Vs Simba at Mkwakwani

Yaliyojiri mechi ya Mgambo JKT Vs Simba at Mkwakwani

VPL is a wholly not a hole, means ili ubebe ndoo inabidi uzifunge timu nyingi ili upate point nyingi wala siyo kuifunga yanga tu, tunaandika project proposal ili tupate fund kwa ajili ya kuwafanyia training viongozi wa samba na wanachama wachache kuwaeleza juu ya hili, we are under way.
 
Simba kumfunga yanga na mtibwa wakajiona wako vizuri kumbe bado sana hata nne bora bahati sana.
 
Ukiona manyoyaaaa..........jua mnyama kaliwa
teheee teheeeeeee
 
Ni watani wangu lakini naona wanapoelekea si kuzuri ..ukiwa kama mtanzania unatoa ushauri gani kuisaidia simba kujinusuru kushuka daraja

mawazoyenu kuzingatiwa

ikumbukwe simba ni moja ya timu kubwa kwenye ligi kama itaondoka basi ata u/taifa utakuwa mgumu kufikika na sisi yanga tumejipanga kuwafanyia dua ijumaa ijayo kuwaombea wakae sawa kama kuna dudumizi humo ndani
 
Mkuu, Simba wakishuka daraja wakulaumiwa ni TFF. Majuzi walipanga matokeo Yanga afungwe ili apate point za kujitetea walau.
Simba na Yanga zinaingiza mapato makubwa sana, sasa hapa kuacha Simba ashuke Daraja ni ngumu mno, TFF hawatakubali hili.
 
Hili kundi la simba ukawa ni baya sana linaroga simba hatariiii.Aveva piga nyama chini..yaani sisi wa kufungwa na mgambo!
 
ndio mpira, hongereni wacheza kwa kujitahidi kadri mlviyiweza, goli la kwanza lilimaliza mchezo, makosa aliyofanya Ivo kwa goli la kwanza angefanya Manyika ningeelewa, kipa mkongwe akiwa na hesabu za kudhani ni makosa makubwa sana, penati na kadi nyekundu halali kabisa ....hongereni Mgambo...........
 
Welaaaaaa
welaaaaaaaaa
welaaaaaaaaaaaa
welaaaaaaaaaaaaa,
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha.
 
ImageUploadedByJamiiForums1426707560.952098.jpg
 
Ni watani wangu lakini naona wanapoelekea si kuzuri ..ukiwa kama mtanzania unatoa ushauri gani kuisaidia simba kujinusuru kushuka daraja

mawazoyenu kuzingatiwa

ikumbukwe simba ni moja ya timu kubwa kwenye ligi kama itaondoka basi ata u/taifa utakuwa mgumu kufikika na sisi yanga tumejipanga kuwafanyia dua ijumaa ijayo kuwaombea wakae sawa kama kuna dudumizi humo ndani
Pdidy kweli upo sirias, hadi umeandika kwa mwandiko mzuri na unaosomeka namna hii!!!!hongera
 
Back
Top Bottom