Wafanye mambo adimu huku wakifunga na magoli, Taifa majamaa yanaongoza mbili bila, matokeo yakiwa hivi tutakuwa hatuna raha.Messi anafanya mambo adimu hapa Mkwakwani
Refarii wa mchezo wa leo anaanza kuwabeba Mgambo
Refarii wa mchezo wa leo anaanza kuwabeba Mgambo
Hivi ni kweli?
Kagera suger wanapata goli, yanga 2-1 kagera.
Balaa tena hili.Mgambo wanapata goli hapa dk ya 45