Kuna hujuma Yanga wamekata matangazo...
tupieni update hapa wadau shukrani.
Leo tunatafuna miwa yote ya turiani km tulivyotafuna ndala za kijani na manjano za pale jangwani.
Mtibwa piga mbumbumbu hao
Kwasababu mleta uzi ameitakia ushindi Mtibwa!
Kila la heri Mtibwa.
Mtibwa timu piga hiyo mikia irudi kwao bunju ikalime shamba lao la viaz.
Hilo harina ubishi kama simba leo atafungwa huwa wanakamia timu ya yanga pekee!
Leo tena uwanja wa Taifa kutakuwa na mpambano wa kukatana shoka kati ya Simba SC vs Mtibwa suger.
Mpambano huo utakuwa muhimu sana kwa kila timu, kwani timu zote zitakuwa zinasaka point 3 ili kujiweka katika mazingira mazuri katika msimamo wa ligi.
Naitakia Mtibwa ushindi mnono katika mchezo wa leo.
Ukiona kimya jua mnyama kaliwa.
Jamani mpira ngapi ngapi ?, wazee wa midrooo wanaendeleaje taifa na midrooo yao