Yaliyojiri mechi ya Simba na Mtibwa sugar tar. 14/03/2015

okwiiiiiiiiii mammmaeeeeeee goliiii ganiiiiiiu
 
haya NdaLa nendeni FIFAAA nauli mmepataaaaaaa Mumewenu Okwiiii katupiaaaa tenaaaaaaaaa
 
Ha ha ha Kandambili poleni sana, mbaya wenu Okwiiiiiiiiiiiiiiii
 
Tumeshinda wakuu ili sisi huku mikoani tuanze kujitapa na maneno ya vijiweni isije ikawa tunaongoza tu alafu mwisho wasiku droo au kufungwa ikawa aibu
 
Kidude kimoja tu hahahahahaha!!! Asante Okwi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…