Hii inawezekana ikawa sababu kweli mkuu..... Huyu Akilimali huyuHaya sasa mkodisheni hiyo timu huyo ponjoro wenu muone kazi,chezea akilimali
Kandambili mzimu wa manji ushaanza kusumbua..!??
Poor MindsHii inawezekana ikawa sababu kweli mkuu..... Huyu Akilimali huyu
wamemfukuza yule mzee....alikuwa mtaalamu wa sayansi asili...sasa watapigwa tu....ndala hovyooovyura mkobize kufatilia wanaume wanachofanya
Aisee acha tu. Yanga naipenda lakini tukifika hapa huwa nachoka kabisa, najiuzulu ushabiki wa vilabu vya ndaniNa hapo hajavua kofia si unakumbuka walivyovua kofia zao yeye na wazee wenzake kilchotokea πππππ
Mashabiki wa Yanga muda huu
Hahaha wanaume gani mnaolambishwa Icecream...vyura mkobize kufatilia wanaume wanachofanya
Walipingwa 5 na mnyama alipovua kofiaNa hapo hajavua kofia si unakumbuka walivyovua kofia zao yeye na wazee wenzake kilchotokea πππππ
Niliwaambia...Watamuangukia Mzee Akilimali
penaty has no KINGDah .. Kessy kakosa penalty. Kumbe hatukukosea kumtema alipotufungisha kizembe siku ile.