Yaliyojiri Mikutano ya CCM: Maridhiano ya kitaifa, Mchakato wa Katiba Mpya, Uteuzi, Pongezi kwa Rais Samia na Mwinyi

Makamanda wanashangilia COVID kutemwa Badala ya kushangilia kwamba hatimaye tunaanza mchakato kupata KATIBA mpya.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Acha kuwaza kipumbavu. Kwani ukishangilia wewe haitoshi?
 
Hongera sana Mr. Wassira kwa kuchaguliwa kuwa mjumbe wa cc wa chama cha mapinduzi....ILA DUUUU BADO UPO TU....LOO CCM INA WENYEWE
Huyu mzee ni wa kitambo sana asee, yaani nakumbuka nilimsikia kwenye siasa tangu 198 na kenda hadi leo na bado anabonga issue nzito na ninadhani ndiyo sababu ya kumrudisha cc.
 
Huyu mzee ni wa kitambo sana asee, yaani nakumbuka nilimsikia kwenye siasa tangu 198 na kenda hadi leo na bado anabonga issue nzito na ninadhani ndiyo sababu ya kumrudisha cc.
Yes ni mwanasiasa mkongwe sana,nakumbuka alishawahi kujiunga na NCCR M,good memory imenijia jinsi upepo wa kisurisuri wa Mh.Mrema uliponipitia na kuwa jasiri, na kwa hili lilibadili sana uelekeo wangu wa kimaisha, but I don't blame any one,ulikua ni uchaguzi wangu and still proud na uamuzi ule, Mr. WASSIRA UPO TU...
 
CCM hawaaminiki hasa unafiki wa kikwete na wahafidhina wenzake. Watakubali leo kesho wanageuka
Jambo hili litazamwe kwa mtazamo chanya. Walioharibu mchakato ni wapinzani, walitoka kwenye Bunge Maalum la Katiba na kuwa na madai yasiyo na mashiko. CCM wakati wote ipo kusimamia masilahi ya taifa.
 
Maridhiano ya KIFAIFA??????
 
Mlipoambiwa Rais Samia ana dhamira ya kweli ya kuliweka taifa pamoja mlishupaza Shingo.

Wenzenu walipoitika wito wa kwenda kwenye maridhiano mlitukana mitandaoni.

Mlipoona mwelekeo umepatikana mkabadili gia angani mkaanza kushinda Ikulu.

Leo Mama anathibitisha kwa vitendo kwamba anaamini katika haki na maridhiano.

Mama alihitaji zaidi wa tu wa kuzungumza nae na watu wa kumjenga.
Ninyi mkataka kumbomoa.

Nawapongeza CCM kwa kutoa tamko limalohitimisha siasa za visasi.

Taifa letu limakwenda kuwa imara zaidi
 
Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye nia njema na taifa letu; ameonesha mara nyingi kwa vitendo bila kusita. Tumuunge mkono.
 
Jambo hili litazamwe kwa mtazamo chanya. Walioharibu mchakato ni wapinzani, walitoka kwenye Bunge Maalum la Katiba na kuwa na madai yasiyo na mashiko. CCM wakati wote ipo husimamia masilahi ya taifa.
Rubbish
 
Safi sana
Usiwaamini sawa hao. Maana wamesema 'kuanza kwa mchakato..' Wakati kwenye bajeti ya serikali hakuna fungu lililotengwa... Kwa maoni yao wanataka mchakato wa katiba mpya uanze baada ya uchaguzi mkuu 2025
 
Makamanda wanashangilia COVID kutemwa Badala ya kushangilia kwamba hatimaye tunaanza mchakato kupata KATIBA mpya.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Wanashangiloa vyote mbona.
 

Acha maneno bila kujitoa kwa wapinzani Leo CCM ingekubali mchakato wa katiba.
 
Jambo hili litazamwe kwa mtazamo chanya. Walioharibu mchakato ni wapinzani, walitoka kwenye Bunge Maalum la Katiba na kuwa na madai yasiyo na mashiko. CCM wakati wote ipo husimamia masilahi ya taifa.

Nini kiliwashinda CCM kuumaliza.
 
Inapatikana mwaka gani na wahusika utekelezaji ni nani. Vinginevyo ni yaleyale one step forward 2 backward

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…