Yaliyojiri Mikutano ya CCM: Maridhiano ya kitaifa, Mchakato wa Katiba Mpya, Uteuzi, Pongezi kwa Rais Samia na Mwinyi

Kwangu ili maridhiano yatimie lazima wale vibaka wote waliokuwa wakitumia madaraka yao vibaya watakapoburuzwa kortini ili iwe fundisho na wanajulikana haina haja ya double standard.

Familia ya Azori Gwanda , Ben Saanane na wengineo lazima wapate haki yao zaidi ya hapo ishukuriwe covid 19 kwa kunyoosha MATAGA.
 
Usiwaamini sawa hao. Maana wamesema 'kuanza kwa mchakato..' Wakati kwenye bajeti ya serikali hakuna fungu lililotengwa... Kwa maoni yao wanataka mchakato wa katiba mpya uanze baada ya uchaguzi mkuu 2025
Uko sawa Kwa upande mmoja ndugu.Tahadhari ni muhimu.

Upande mwingine tuangalie muda uliobaki kufika 2025, Bado miaka 3 na nusu.

Bado muda upo, pressing ikizidi pesa itapatikana, ikiwezekana wananchi TUTACHANGIA Hilo jambo letu, waeke tu maelekezo vzr.

Katiba mpya ni sasa. Amen
 
Huyu mzee ni wa kitambo sana asee, yaani nakumbuka nilimsikia kwenye siasa tangu 198 na kenda hadi leo na bado anabonga issue nzito na ninadhani ndiyo sababu ya kumrudisha cc.
Tujipange Kwa HOJA pia, huyo Mzee upstairs Bado yupo vzr.
 
PCCB na CAG vijana wengi waliofungiliwa kesi za ubadhirifu wa Mali za umma angalieni kesi hizo Zina sura ya siasa chafu za ndani ya CCM,hivi unamkamata Sabaya Halafu Sabaya ana mtaja Jiiwe na Mpango Halafu hao hamuwahoji je hii ni kesi ya kisiasa au ya kiuhujumu uchumi
 
PCCB na CAG vijana wengi waliofungiliwa kesi za ubadhirifu wa Mali za umma angalieni kesi hizo Zina sura ya siasa chafu za ndani ya CCM,hivi unamkamata Sabaya Halafu Sabaya ana mtaja Jiiwe na Mpango Halafu hao hamuwahoji je hii ni kesi ya kisiasa au ya kiuhujumu uchumi
 
Wakati wa Nyerere, alikuwepo, wakati wa Mwinyi, alikuwepo, wakati wa Kikwete, alikuwepo, Wakati wa Magufuli hakuwepo, wakati wa mama yupo, du huyu mzee wa Bunda.... sijui ana jipya lipya.
 
Hongera sana Mr. Wassira kwa kuchaguliwa kuwa mjumbe wa cc wa chama cha mapinduzi....ILA DUUUU BADO UPO TU....LOO CCM INA WENYEWE
Chawa mzee nae analamba asali bada ya kutoshwa na jiwe, wanrudi mmoja mmoja timu Born town.
 
Samia hoyeeee
 
Makamanda wanashangilia COVID kutemwa Badala ya kushangilia kwamba hatimaye tunaanza mchakato kupata KATIBA mpya.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Naona umenuna. Mlipinga sisi tukakomaa. Hatimaye mambo yatatiki. Msiotaka katiba Mpya hamieni burundi in Mwogulu's voice
 
Naona Tumia akili anazidi kula katika mkeka wake. Mikeka ya Tumia akili haichanikagi.
Unakumbuka mikeka ya Lissu akiwa Ubeligiji??
1. Mbowe kuachiwa bila masharti
2. Kufuta kesi zoote za kisiasa ba kuwaachia huru wafungwa
3. Lissu kulipwa stahiki zake pamoja na gharama za matibabu
4. Covid 19
5. Kauli ya serikali juu ya wakimbizi wa kisiasa
6. Ombi lake binafsi kupotea passport.
7. Kurejesha mchakato wa Katiba Mpya
 
Sasa najiuliza huyu Zitto na kile kikosi kazi chao waliosema eti mchakato uanze 2026 wanajisikiaje?
Kikao cha jana na Mabalozi yaweza kuwa kulikuwa na shinikizo la aina fulani
Wewe unadhani Lissu kule ulaya anashangaa maghorofa tu? Mungu alimponya ili aje kusaidia Tanzania.

Naishia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…