Yaliyojiri Mkutano Mkuu Maalum wa CCM. Kinana apita kwa kura zote 1,875 zilizopigwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona sasa hata uchaguzi wa 2025 utakuwa chadema vs magu

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Tutegemee tembo kuuwawa sn na twiga kupanda ndege kwa wingi
Mtasema ni chuki lakini sio ni ukweli, Kikwete anarudisha mtandao wake kwa kutumia udhaifu wa Bibi mwenye Shamba!! Kikwete ndiye aliyeomba Kinana apewe kitu, hakupewa daraja a kapewa kuwa makamu Mwenyekiti!!

Sasa tunarudi kule kule kwa nchi kuwa tegemezi na kila leo kiguu na njia kwenda kukopa bila kujali kuwa nchi karibu ifilisike(debt stressed)! Nguvu kazi inaharibika kwa madawa ya kulevya kwasababu ya huruma ya kuwatoa jela kimaslahi wauza hayo madawa!!

Wahuni wamekamata nchi!
 
Mtasema ni chuki lakini sio ni ukweli, Kikwete anarudisha mtandao wake kwa kutumia udhaifu wa Bibi mwenye Shamba!! Kikwete ndiye aliyeomba Kinana apewe kitu, hakupewa daraja a kapewa kuwa makamu Mwenyekiti!...
Chadema should bank on this!
 
Chadema wanahusikaje na kukomeshwa kwa wasukuma!

Unajua kabisa neno sukuma gang limetokea humo humo CCM. Waliowanyanyasa kina Kinana na Makamba walikuwa ni Chadema??
Wao ndio waliwapeleka kamati ya maadili?

Nyie watu mnatafuta wa kufa naye!!!
 
Mwisho Makamba anaisifu halmashauri kuu kwa kutambua uhodari wa Kinana na kutimiza ombi la Jakaya kwa kuomba wamtafutie kitu Kinana wampe, wenyewe wakaamua kumpa umakamu badala ya jengo na daraja.

Ndo Mana Wanasema remote
 
Mtasema ni chuki lakini sio ni ukweli, Kikwete anarudisha mtandao wake kwa kutumia udhaifu wa Bibi mwenye Shamba!! Kikwete ndiye aliyeomba Kinana apewe kitu, hakupewa daraja a kapewa kuwa makamu Mwenyekiti...
Hatari sn na aibu
 
Nchi italiwa haswa
 
Leo ni mkutano mkuu maalum wa chama cha mapinduzi ambao pia utaenda kupitisha mabadiliko ya katiba ya CCM. Kwasasa anaongea katibu mstaafu wa CCM, Yusuph Makamba ambae anasema mchungaji Gwajima alimuuliza yeye kama mtabiri...
Yaani hata Ally Hapi kapiga kura ya ndio??? Siamini mimi.
 
CCM ina kila sababu na sifa za kutawala kwa muda mrefu hii nchi, mapungufu yao tutayavumilia...
Ukiongelea udini bakiza maneno ya akiba. Nafikiri hili CCM linaweza kuwepo pia hata kama halisemwi. Angalia kipindi cha jiwe ukimulika vizuri utaona udini (M/kiti, makamu M/kiti, makatibu, mawasiliano Ikulu) na baada ya jiwe angalia ukimulika vizuri kwa mama unaweza kukutana nalo kwa M/kiti, Makamu M/kiti, M/kiti mstaafu, M/kiti Zanzibar, katibu mwenezi.

Tofauti ni kwamba kipindi cha jiwe kazi ilipigwa ki-bara sasa kazi inapigwa ki-zenji.
 

Wewe unawaza chadema pekee. Kuna chauma pia.
 
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa,wacha waendelee kulamba asali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…