CCM wameishiwa watu wenye sifa kujaza nafasi hiyo! Angekuwepo Magufuli angeteua mtu kutoka Chadema kuwa Makamu Mwenyekiti!Najiuliza ale mtu anapostaafu kwenye taasisi na kuagwa na Kisha kurejeshwa yuleyule mstaafu kwenye taasisi Ile tena kwenye nafasi ya juu Ina maana gani kwa taasisi na wafanyakazi wa taasisi Ile?
Kinachosoma ni havard ama chuo hebu acheni kukariri bana. Harvad ni chuo tu kama udsmMaana yake CCM wanafuta vumbi silaha zao wakijiandaa kwa mpambano wa 2025, Majenerali wa Siasa wanarudi makambini kupanga strategy za vita tayari kumtwanga adui vilivyo.
Kinana ni msomi wa Harvard, moja ya vyuo Bora kabisa duniani, anakwenda kukipika chama hiki na kukisuka tayari kwa kuzikamata Siasa za nchi hii kwa miaka kumi ijayo. Stratejia za msomi wa havard haziwezi lingana na Mnyika au Mbowe ambao wamesoma open university tena huku wakifeli masomo na kurudia mara kwa mara
Ni tahadhali kwa wanaoimba katiba mpya wanasahau kujipanga kwa uchaguzi.
Kwa mfumo wa Magufuli wa alivyoendeasha siasa ndani ya chama na Serikali ni kwamba CCM ilikuwa inategemea Police na NEC kubaki madarakani.Najiuliza ale mtu anapostaafu kwenye taasisi na kuagwa na Kisha kurejeshwa yuleyule mstaafu kwenye taasisi Ile tena kwenye nafasi ya juu Ina maana gani kwa taasisi na wafanyakazi wa taasisi Ile?
Hakukufanyika succession plan kuandaa akina kinana wengine au zaidi Yao? Nae ni binadamu anayo damu.Maana yake CCM wanafuta vumbi silaha zao wakijiandaa kwa mpambano wa 2025, Majenerali wa Siasa wanarudi makambini kupanga strategy za vita tayari kumtwanga adui vilivyo.
Kinana ni msomi wa Harvard, moja ya vyuo Bora kabisa duniani, anakwenda kukipika chama hiki na kukisuka tayari kwa kuzikamata Siasa za nchi hii kwa miaka kumi ijayo. Stratejia za msomi wa havard haziwezi lingana na Mnyika au Mbowe ambao wamesoma open university tena huku wakifeli masomo na kurudia mara kwa mara
Ni tahadhali kwa wanaoimba katiba mpya wanasahau kujipanga kwa uchaguzi.
Una maana CCM yenye tabia ya CCM ilipotea awamu ya Tano, Sasa wanakiondoa kile kipande kibovu Cha awamu ya Tano? Wanakata na kuunga mkanda.Ni reform ya zama inayoashiria kutokuungwa mkono kwa zama iliyopita swali ni je wale waliokuwa wakikerwa na zama zilizopita walikuwa wakifanya nn wakati wanasubiri zama zilizopita zipite? Walingoja wakiumia kwa machungu au walifanya kitu kuziondoa zama zile
Nyuki kaingia kwenye mzinga wa bibi yao, lazima walinde mzinga dhidi ya nyegele na nguchiroWazee wanafurahia utam wa asali,hawana vision ya kuwakomboa wananchi,wao ni kulamba aali tu,
Hii sio shughuli maalumu bali ni nafasi kubwa ya kiuongozi. Kazi maalumu ni kama kuandika katiba, kuwa mshauri, nkKuna watumishi wanaweza kustaafu, ila muajir akamuhitaji kwa shughuli maalum na hakuna kinacho haribika.
Sentesi ya mwisho ndio jibuNi reform ya zama inayoashiria kutokuungwa mkono kwa zama iliyopita swali ni je wale waliokuwa wakikerwa na zama zilizopita walikuwa wakifanya nn wakati wanasubiri zama zilizopita zipite? Walingoja wakiumia kwa machungu au walifanya kitu kuziondoa zama zile
Weeeh !Kinachosoma ni havard ama chuo hebu acheni kukariri bana. Harvad ni chuo tu kama udsm
Ni heri nchi imilikiwe na familia chache kutoka makabila, dini, jinsia na Kanda mbalimbali nchini kuliko kumilikiwa na watu wa Kabila, dini, jinsia au Kanda moja. Hatari yake ni kubwa sana.Nchi inamilikiwa na familia chache.
Uko sahihi, elimu kubwa ya Harvard kama haitumiki kusambaza maji, umeme, shule na dhahanati kwa wananchi Haina maana yoyote. Miaka 60 ya Uhuru misitu IPO lakini madawati hakuna.Hio elim yake ya Havard kaipata juzi?anayo miaka kibao,haiwasidiii wananchi kwani umaskin unazidi kuongezeka,leo Indonesia waliochukua michikichi Kigoma ndio wasambazaji wakubwa wa mafuta duniani,Alizeti inalimwa sehemu kubwa hapa nchini,ila ndo hivyo tena,wasomi wa Havard wako bize kuramba asali
Nnachoona kwa sasa chama kinanuka kwa udini na ukanda
Vyama vya upinzani vina nafasi gani 2025?Huko mitaani kuna
1.CCM A.ya kabla ya 2015.wacheza dili,wenye nacho,hawa sio wengi.
2.CCM B. Watu wa hali ya chini ni wengi walioguswa sana kuonjeshwa na awamu ya 5.Na wapo nje ya miji
Ipo kazi kubalance 2025 katika makundi haya mawili
Iko siku watagundua ukiwa hai huendi mbinguni.Tz ni nchi ambayo wananch wake unaweza wafanya chochote na wakakuvumilia.. hata la kati
Akina Mahera na Polisi watakuwa wanfanya kazi gani?CCM ndio chama chenye nguvu apa nchini kinacho katisha tamaa majitu ambayo Kwa ushahidi wa wazi au usio wa wazi Kuna watu wamerudishwa kama wanachama au viongozi wanarekodi za wizi na dhulma. Ina maana nchi inarudi nyuma kwenye madawa ya kulevya, dhulma na wizi.
Hivi hakuna namna ya kupata watu safi katika vyama mbadala ili watengeneze umoja na kuishinda CCM? Kweli Kwa wingi wa watanzania inakosekana mbinu ya kuindoa CCM madarakani kupitia Sanduku la kura!!!