Mkuu! Jukwaa la kampeni dhumuni lake kuu ni kuuza Sera ya chama chako,haswaaa kutoa ufafanuzi Juu ya maswala yaliyopo katika Irani...zilianza kashfa,zikaja comedy,zikaja matusi,maigizo...sasa imegeuzwa gym...doooh
Mnahitaji Magufuli ali awasweke MAFISADI yote na kufunga KUFULI.Magufuli ana waandaa wananchi kisaikolojia wajiandae kupokea kichapo cha dikteta Magufuli kama watamchagua kwenda Ikulu.
duh kazi ipo mwaka huu
Ukisoma psychomotor hutarudia kuuliza tena maswali ya chekechea
Jibu hili hapaHivi Magufuli kupiga push up nne jukwaani kuna tija kwa wapiga kura?
Kapige push ups ukweni kama hujanyimwa mke.. watajiuliza zimetimia kweli?
Jibu hili hapa
Ukifanya jambo fulani ambalo sio mahali husika, watu wanaweza fikria kama zimepungua kichwaniHivi Magufuli kupiga push up nne jukwaani kuna tija kwa wapiga kura?