Elections 2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

Elections 2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

Aisee kama timu ya ushindi ya ccm mmempa hii mbinu mzee ikiwa ndio ushawishi kwa wananchi, sio siri mnatakiwa mbadili jina na muiite TIMU YA KUSHINDWA
 

Attachments

  • 1442944725491.jpg
    1442944725491.jpg
    28.4 KB · Views: 155
Tulieni hii ni kete imewaangukia.
Huyo mgombea wenu mwambieni apige moja tu muone kama atainuka.

Magufuli:
He is physically and mentally fit.

Mentally i dont think so..physically only janeth can tel
 
Hahaha! naona leo JP kupiga push ups kwa knuckles imekuwa issue.
Wakati kuna mtu yeye hufanya jogging kama ananyatia mwizi na hakuna anayejali.
 
Mnashangaa push up wakati kuna aliyepanda daladala na kula kwa mama ntilie?? Siasa nimchezo Magufuli anachezea akili za wapinzani leo hamsemi Lowasa kafanya nini cha maana mmekalia Push up????

Hivi kupiga push ups na kupanda daladala ni vitu vinavyoshabihiana ??
 
Mwambieni Mamvi wenu apige hata Pushapu mbili kama hamjarudisha Monduli akiwa kafa...

Push up za nini sasa...mtu wa phd hajui saddam alikuwa wa wapi..atafanya nchi za wenzetu waamini bado tunaishi juu ya mti..Magufuli anamhitaji sana Lowassa awe rais wake maana ni Elimu ..Elimu Elimu..Phd holder ndo yuko hivyo...
 
unapokuwa jukwaani then watu hawana habari na ww inakubidi ufanye kituko japo upate attention yao unadhani wafadhili utaenda kuongea nao kwa kupga push up au maendeleo yanaletwa kwa push ups basi wanajeshi ndo wangekuwa na wafadhili na maendeleo mengi kila m2 anapga push ups kwa mkewe bhana asituletee style za michezo ya chumbani hadharani


Hilo la chumbani hilo! Au ndiyo linamfanya mama asusie kampeni??
 
Ha ha haaaaa haya tazama picha....
 

Attachments

  • 1442945643061.jpg
    1442945643061.jpg
    33.2 KB · Views: 102
Yaani huyu Magufuli anashindwa kucheza na saikolojia rahisi tu ,hivi kama MTU uko physical fit au upo right kwenye jambo lolote kuna haja gani ya Kutumia nguvu nyingi kuprove wakati uhakika unao ??
 
Yaan kwa Miaka kumi ya uongozi wa kikwete nimemsoma kitu fulani inapotokea kitu ambacho anauhakika kuwa wananchi hawakubaliani nacho huwa anakimbiliaga ulaya kusubiri hali itulie..na hii ya sasa inamaana keshamuona magufuli ni mzigo..duh tutapiga push up kinoma mwaka huu
 
Mkuu una umri gani??
Au kichwani hakujakomaa???
Kweli umeshindwa kuelewa alichozungumza wakati anapiga hizo pushapu??
 
Magufuli ana waandaa wananchi kisaikolojia wajiandae kupokea kichapo cha dikteta Magufuli kama watamchagua kwenda Ikulu.
 
Aisee kama timu ya ushindi ya ccm mmempa hii mbinu mzee ikiwa ndio ushawishi kwa wananchi, sio siri mnatakiwa mbadili jina na muiite TIMU YA KUSHINDWA

Mzee kakaza ko<>ta kinoma!!!!
 
MAGUFULI AMEPAGAWA
…Amefikia hatua ya kupiga push up na kujithalalisha mbele za watu kwasbb ya IKULU
…Amekuwa mwongo ktk swala la milioni 50 kila kijiji na zhnt kwsbb ya IKULU
…Amekuwa anaropoka kila wkt mbele za watu na kuongea kilugha akieneza ukabila,ukanda na Vitisho kwsbb ya IKULU
…Amekuwa akiwatuma wafuasi wake wamtukane lowasa na kuchana mabango,Kuwaua raia wasio na atia na kutoa rushwa kwsbb ya IKULU
…Ameamua hata kuiba M4C ya chadema kwsbb ya IKULU
…Wanatumia magari ya serikali,wanawasomba watanzania km kokoto,wanatumia wasanii wengi na kuwahonga watu mbalimbali kwasababu ya IKULU.
…Amekuwa akieneza sera za uwongo zilizomshinda kikwete,akitumia nguvu nyingi xn kwsbb ya IKULU
…JE CCM WANATAKA IKULU KWA NGUVU KWA MASLAHI YA NANI..EWE MTANZANIA CCM NI SUMU YA MAENDELEO

Obama alifanya akiwa uwanjani na si kwenye jukwaa.
 
UKAWA tunawaambia kila siku, Ikulu sio Hospital ya Wagonjwa. Sasa mleteni Lowassa na yeye apige push ups tuone mwisho wako. Hii ndio habari ya Mjini.
12032954_493529767488716_446508398174792867_n.jpg
 
Back
Top Bottom