Elections 2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

Elections 2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

Jamaa kapiga pushup 20. Tunamwomba nanihii nae atupe 3 tu!
Hivi kati ya mwanasoka bora wa dunia wa mwaka 1995, George Weah na mama Ellen-Johnson Sirleaf, ni yupi anaweza kupiga push-up nyingi kuliko mwenzake? Wananchi wa Liberia hawakuangalia ukakamavu wa Weah, bali uwezo wa kuongoza nchi na mwanamama Ellen-Johnson Sirleaf alishinda uchaguzi
 
Sasa haya mambo ya kutahiriwa au kutotahiriwa yanatoka wapi?!? kwani uume ndo unaongoza nchi. UKAWA mmeishiwa.
 
Naomba kuuliza humu, nimemuona mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi ccm akiwa kwenye mkutano huku akiwa anapiga pushapu najiuliza je! Kule ikulu kuna gym? Mana picha yake imesambaa humu jamii forum, instagram,facebook mgombea huyu kaonekana akipga pushapu. Je ni kweli tumchague mpga pushapu au tuchague sera?
 
If he is physical fit then let him go and box John cena, the undertaker, Batista, the rock etc. What they fail to understand is that we're looking for a leader who is capable to lead and has the potential to succeed as the head of state. We are looking for wrestlers. If we were to vote for strong man, then i wouldn't vote for him i would either vote for Mark Henry the world strongest man or maybe Batista.
 
duhhh hiyo picha mm cjaiona
Nadhani picha yake ni hii ''hapa''

obama-pushup.jpg
 
Kupiga Push Up aliko kufanya Magufuli ktk mazingira yale ni Sign za Stress za kampeni. Ni mpumbavu pekee mwenye kuamini kwamba Ikulu wanaingia Marais wenye kuweza kupiga pushapu.
 
Kupiga Push Up aliko kufanya Magufuli ktk mazingira yale ni Sign za Stress za kampeni. Ni mpumbavu pekee mwenye kuamini kwamba Ikulu wanaingia Marais wenye kuweza kupiga pushapu.

sasa kama magufuli anastress kisa kapga push up sasa sijui yule mwinginea alikuwa ana nini!
 
Back
Top Bottom