Elections 2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

Elections 2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

12032954_493529767488716_446508398174792867_n.jpg

Stiki kwenye hoja,sawa...vp is he circumcised? Mwambie approve.
 
ila yuko fiti,push-ups za ngumi kwa umri wake lazima uwe mkakamavu.
 
Kumbe wanamagovi wagombea

Mkuu! Jukwaa la kampeni dhumuni lake kuu ni kuuza Sera ya chama chako,haswaaa kutoa ufafanuzi Juu ya maswala yaliyopo katika Irani...zilianza kashfa,zikaja comedy,zikaja matusi,maigizo...sasa imegeuzwa gym...doooh
 
hahaha..tatizo watu wameachwa bukoba baada ya kusombwa kutoka karagwe kwenda bukoba mjini sasa yeye leo kaenda huko huko wengine kawaacha bukoba wengine wana uchovu kusafiri na fuso sio mchezo jama

Hahahaha! Mkuu hawa jamaa wamepoteza uhalali wa kusimamia rasirimali zetu!
 
ila yuko fiti,push-ups za ngumi kwa umri wake lazima uwe mkakamavu.

Jukwaa la siasa ni kuuza sera na mikakati yake sio gym jamani,just trying to use ur akili japo for kipindi hiki kifupi cha kampeni
 
Kapitia jkt - mh .

Push up
1
2
3
4
5
6
7
8
9
acha utauaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mbona mnaniondolea udhu,uzi wangu kuunganisha huku bora mfute
 
Mbona mnaniondolea udhu,uzi wangu kuunganisha huku bora mfute

Futeeeeeeeeeeeeni,jinga kabisa! Mnaunganisha huku hl iweje,JF pesa imekuwa tamu....hiii uzi wangu sio wa karangwe...mnaleta uku
 
MH JONH POMBE MAGUFURI APIGA PUSH UP 235 KWA DK 19 BILA KUPUMZIKA.
Leo Mh Jonh P.Magufuri Avunja RECORD YA WAGOMBEA URAIS DUNIAN kwa kupiga Push Up 235 kwa Dk 19.Mgombea URAIS WA Kwanza alikuwa Mh Baraka OBAMA alipiga PUSH UP 219 Kwa Dk 22 Mwako 2012 akiwa MJIN WA BOISE STATE IDAHO MJIN MAREKANI Alipokuwa Akishindana na MCHEZA BASKET BALL MR JORDAN.HUYU MH KWELI AMEJIPANGA.
 
MH JONH POMBE MAGUFURI APIGA PUSH UP 235 KWA DK 19 BILA KUPUMZIKA.
Leo Mh Jonh P.Magufuri Avunja RECORD YA WAGOMBEA URAIS DUNIAN kwa kupiga Push Up 235 kwa Dk 19.Mgombea URAIS WA Kwanza alikuwa Mh Baraka OBAMA alipiga PUSH UP 219 Kwa Dk 22 Mwako 2012 akiwa MJIN WA BOISE STATE IDAHO MJIN MAREKANI Alipokuwa Akishindana na MCHEZA BASKET BALL MR JORDAN.HUYU MH KWELI AMEJIPANGA.
Jizi pushap ndio zitatoa watanzania kwenye umasikini?mwambie hajenge hoja.


Swissme
 
Back
Top Bottom