Elections 2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

Elections 2015 Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Karagwe - Septemba 22, 2015

Ikulu si mahali pa hivyo! Unahitaji kuwafikiria watanzania wote unapokuwa ikulu. Hiyo mieleka jukwaani ya nini? Si angeniita nikajipanga naye maana nilikuwepo uwanjani, Usalama wa taifa wangekuja kumuokoa
 
Katia aibu dunia nzima. Haijawahi tokea!! hapo ni sawa na kuhani kuanza kupiga push up madhabahuni!! kajidhililisha sana!!
Ikulu watu hawaendi kubeba zege!!
 
Hatutafuti mpiga push up, tunatafuta Rais wa nchi.

Raisi anatakiwa awe fit mlinzi wake akimwambia timka kuna hatari awe na uwezo wa kutimua mbio kuokoa maisha yake.Raisi hatakiwi kuwa mbende mbende hawezi hata kukimbia.Kutembea tu shida.Atakuwa zigo kwa mabodi guard.
 
Mr Misifa kazini.......kwa hy tunasaka rais wa kupiga push up tz.
Mungu epushia mbali huyu mropokaji asiwe rais.
 
Hivi watu mnakosa hata ya kulinganisha maana nadhani ni hoja za kukurupuka kama yule jamaa wa futuhi hivi ulipo hapo wewe unaweza kukimbia marathon na babu yako au baba yako
Moja ya sifa ya kwenda Ikulu ni kuwa "FIT". Tatizo lenu nyie UKAWA hamsomi hata sifa za kuwa mgombea wa Urais ni zipi. Mmebakia kuwa wafuata Mkumbo tu. Mlete Lowassa aje afanye push ups tuone kama yupo fit.
 
magufuli amepagawa
…amefikia hatua ya kupiga push up na kujithalalisha mbele za watu kwasbb ya ikulu
…amekuwa mwongo ktk swala la milioni 50 kila kijiji na zhnt kwsbb ya ikulu
…amekuwa anaropoka kila wkt mbele za watu na kuongea kilugha akieneza ukabila,ukanda na vitisho kwsbb ya ikulu
…amekuwa akiwatuma wafuasi wake wamtukane lowasa na kuchana mabango,kuwaua raia wasio na atia na kutoa rushwa kwsbb ya ikulu
…ameamua hata kuiba m4c ya chadema kwsbb ya ikulu
…wanatumia magari ya serikali,wanawasomba watanzania km kokoto,wanatumia wasanii wengi na kuwahonga watu mbalimbali kwasababu ya ikulu.
…amekuwa akieneza sera za uwongo zilizomshinda kikwete,akitumia nguvu nyingi xn kwsbb ya ikulu
…je ccm wanataka ikulu kwa nguvu kwa maslahi ya nani..ewe mtanzania ccm ni sumu ya maendeleo

afya kwa vitendo demo kidogo
 
Ama kweli rais wa kujipima kwa push up kwani anjiandaa na usaili wa kujiunga na jeshi nadhani wakati anamaliza form six JKT ilikuwa imesitishwa anayofanya mwenzie kayafanya zaidi ya hayo kwa vile yupo Bukoba aende kambini Kaboya akaruke vikwazo asiishie hiyo push up jeshini huwa ni sehemu ya adhabu nahisi ana makosa aliyowahi kuyatenda hapo nyuma
 
Nyie mnaona push up za kawaida, lakini hiyo ni salamu tosha kwa mafisadi na wazembe wajiandae kwa masumbwi. Hapo anapasha misuli kwa ajiri ya wazembe na mafisadi na wasio fuata sheria.
 
Mheshimiwa Magufuli anaendelea kumtesa Lowassa kila nyanja, leo anapiga "push-ups" mbele ya halaiki ya watu. Huu ni ujumbe tosha kwa Lowassa kuwa Ikulu sio sehemu ya kuchezea.

Haya sasa washabiki wa Ukawa, mleteni Lowassa na yeye atuonyeshe ujasiri huu.



12004817_10153453536079504_5883582982642000140_n.jpg










Hamumtesi Lowassa tu , munatutesa hata sisi , kwa maana hivi majuzi, CCM wamepeleka askari wa KMKM , KVZ, na janjaweed , wakiwa na bunduki, sokoni Tomondo zanzibar, na kuvunja soko, kuiba gunia za viazi vya chips, wameiba baiskeli kwa fundi wa baisikeli, wakaiba mashine ya kukamulia miwa na kutia moto .

Wakavunja vunja kila kitu hapo sokoni

Hongera Magufuli unatuonyesha misuli yako. CCM OYEE
 
MAGUFULI AMEPAGAWA
…Amefikia hatua ya kupiga push up na kujithalalisha mbele za watu kwasbb ya IKULU
…Amekuwa mwongo ktk swala la milioni 50 kila kijiji na zhnt kwsbb ya IKULU
…Amekuwa anaropoka kila wkt mbele za watu na kuongea kilugha akieneza ukabila,ukanda na Vitisho kwsbb ya IKULU
…Amekuwa akiwatuma wafuasi wake wamtukane lowasa na kuchana mabango,Kuwaua raia wasio na atia na kutoa rushwa kwsbb ya IKULU
…Ameamua hata kuiba M4C ya chadema kwsbb ya IKULU
…Wanatumia magari ya serikali,wanawasomba watanzania km kokoto,wanatumia wasanii wengi na kuwahonga watu mbalimbali kwasababu ya IKULU.
…Amekuwa akieneza sera za uwongo zilizomshinda kikwete,akitumia nguvu nyingi xn kwsbb ya IKULU
…JE CCM WANATAKA IKULU KWA NGUVU KWA MASLAHI YA NANI..EWE MTANZANIA CCM NI SUMU YA MAENDELEO

obama.jpg
 
Moja ya sifa ya kwenda Ikulu ni kuwa "FIT". Tatizo lenu nyie UKAWA hamsomi hata sifa za kuwa mgombea wa Urais ni zipi. Mmebakia kuwa wafuata Mkumbo tu. Mlete Lowassa aje afanye push ups tuone kama yupo fit.

Mgonjwa mgonjwa lkn adi leo anapiga compain zake vzr na hajaahirisha ata siku moja ....siku akiamua kuonesha picha zake akiwa gym ndipo mtafunga midomo na kuacha kumchawia baba wa watu....na nyie pia mnawazazi wenu waambien wafanye anayofanya magu....
 
Ama kweli rais wa kujipima kwa push up kwani anjiandaa na usaili wa kujiunga na jeshi nadhani wakati anamaliza form six JKT ilikuwa imesitishwa anayofanya mwenzie kayafanya zaidi ya hayo kwa vile yupo Bukoba aende kambini Kaboya akaruke vikwazo asiishie hiyo push up jeshini huwa ni sehemu ya adhabu nahisi ana makosa aliyowahi kuyatenda hapo nyuma

View attachment 289859
 
Mr Misifa kazini.......kwa hy tunasaka rais wa kupiga push up tz.
Mungu epushia mbali huyu mropokaji asiwe rais.

Ila tunamtaka Raisi anayeumwa ugonjwa huu

Parkinson's disease affects the nerve cells in the brain that produce dopamine. Parkinson's disease symptoms include muscle rigidity, tremors, and changes in speech and gait. After diagnosis, treatments can help relieve symptoms, but there is no cure.
 
Moja ya sifa ya kwenda Ikulu ni kuwa "FIT". Tatizo lenu nyie UKAWA hamsomi hata sifa za kuwa mgombea wa Urais ni zipi. Mmebakia kuwa wafuata Mkumbo tu. Mlete Lowassa aje afanye push ups tuone kama yupo fit.


Logic ya jambo hili nini,,,au ni sehemu ya sera / ilani ya chama au sehemu ya matatizo ya tanzania na watanzania?
 
Back
Top Bottom