MAGUFULI AMEPAGAWA
Amefikia hatua ya kupiga push up na kujithalalisha mbele za watu kwasbb ya IKULU
Amekuwa mwongo ktk swala la milioni 50 kila kijiji na zhnt kwsbb ya IKULU
Amekuwa anaropoka kila wkt mbele za watu na kuongea kilugha akieneza ukabila,ukanda na Vitisho kwsbb ya IKULU
Amekuwa akiwatuma wafuasi wake wamtukane lowasa na kuchana mabango,Kuwaua raia wasio na atia na kutoa rushwa kwsbb ya IKULU
Ameamua hata kuiba M4C ya chadema kwsbb ya IKULU
Wanatumia magari ya serikali,wanawasomba watanzania km kokoto,wanatumia wasanii wengi na kuwahonga watu mbalimbali kwasababu ya IKULU.
Amekuwa akieneza sera za uwongo zilizomshinda kikwete,akitumia nguvu nyingi xn kwsbb ya IKULU
JE CCM WANATAKA IKULU KWA NGUVU KWA MASLAHI YA NANI..EWE MTANZANIA CCM NI SUMU YA MAENDELEO
Amefikia hatua ya kupiga push up na kujithalalisha mbele za watu kwasbb ya IKULU
Amekuwa mwongo ktk swala la milioni 50 kila kijiji na zhnt kwsbb ya IKULU
Amekuwa anaropoka kila wkt mbele za watu na kuongea kilugha akieneza ukabila,ukanda na Vitisho kwsbb ya IKULU
Amekuwa akiwatuma wafuasi wake wamtukane lowasa na kuchana mabango,Kuwaua raia wasio na atia na kutoa rushwa kwsbb ya IKULU
Ameamua hata kuiba M4C ya chadema kwsbb ya IKULU
Wanatumia magari ya serikali,wanawasomba watanzania km kokoto,wanatumia wasanii wengi na kuwahonga watu mbalimbali kwasababu ya IKULU.
Amekuwa akieneza sera za uwongo zilizomshinda kikwete,akitumia nguvu nyingi xn kwsbb ya IKULU
JE CCM WANATAKA IKULU KWA NGUVU KWA MASLAHI YA NANI..EWE MTANZANIA CCM NI SUMU YA MAENDELEO