Kisuke Kaya
Member
- Aug 9, 2015
- 38
- 3
Tatizo nimeligundua tabia ya kuiga kulikoenea kila kona ya nchi yetu ina maana huyo anayemuiga angevua suruali naye angeiga any tusishangae ndipo tulipofika sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Logic ya jambo hili nini,,,au ni sehemu ya sera / ilani ya chama au sehemu ya matatizo ya tanzania na watanzania?
Tatizo nimeligundua tabia ya kuiga kulikoenea kila kona ya nchi yetu ina maana huyo anayemuiga angevua suruali naye angeiga any tusishangae ndipo tulipofika sasa
Logic ya jambo hili nini,,,au ni sehemu ya sera / ilani ya chama au sehemu ya matatizo ya tanzania na watanzania?
Mgonjwa mgonjwa lkn adi leo anapiga compain zake vzr na hajaahirisha ata siku moja ....siku akiamua kuonesha picha zake akiwa gym ndipo mtafunga midomo na kuacha kumchawia baba wa watu....na nyie pia mnawazazi wenu waambien wafanye anayofanya magu....
Logic ya jambo hili nini,,,au ni sehemu ya sera / ilani ya chama au sehemu ya matatizo ya tanzania na watanzania?
Anawaonyesha wapiga kura kuwa ana afya njema na anaweza kuwa amiri jeshi mzuri kwa kuwa hata push up wanazofanya jeshini naye aweza.Au hujui kuwa Raisi ni kamanda wa Jeshi? Anatakiwa kuwa mkakamavu hasa. Hatakiwi kuwa legelege anayeweza hata kujisaidia haja kubwa hapo hapo alipokaa.
Safi sana kiongozi.Anawaonyesha wapiga kura kuwa ana afya njema na anaweza kuwa amiri jeshi mzuri kwa kuwa hata push up wanazofanya jeshini naye aweza.Au hujui kuwa Raisi ni kamanda wa Jeshi? Anatakiwa kuwa mkakamavu hasa. Hatakiwi kuwa legelege anayeweza hata kujisaidia haja kubwa hapo hapo alipokaa.
Mkuu mbona JK alichaguliwa pamoja na kuondoka jukwaaniAnawaonyesha wapiga kura kuwa ana afya njema na anaweza kuwa amiri jeshi mzuri kwa kuwa hata push up wanazofanya jeshini naye aweza.Au hujui kuwa Raisi ni kamanda wa Jeshi? Anatakiwa kuwa mkakamavu hasa. Hatakiwi kuwa legelege anayeweza hata kujisaidia haja kubwa hapo hapo alipokaa.
Kwani push up ndiyo kipimo cha hafya...hizo ni comedy..
Ni lazima tujiridhishe namna ya kuchanganua mambo juu ya hawa wagombea wetu,hususani presidential candidates...!
Kuhusu afya kutuondoa hofu ujajibu lkn umeamua kupiga push up,ni vema tena sana.
Lkn,vp ukiulizwa kwamba umeenda jando?utaprove vp?pls give us a break...
Uza sera