Yaliyojiri Ngao ya Jamii; Simba yaigonga Namungo 2-0 uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha

Halafu hawa walikuwa wakipewa nafasi kuliko kina Deo Kanda na Shibob ila Fraga ashukuru kuumia kwa mkude vinginevyo na yeye angeachwa kwa ujinga wa kutopangwa ukweli pale simba kuna tatizo waliomfanyia figisu uchebe bado wana nguvu pale Simba
 
Kwa maelezo uliyotoa Onyango ni mzuri kuliko Wawa
 
Hongera Simba, title moja tushaweka kabatini! Focus yaliyobaki kutatetea na Mungu aliwezesha tuongeze mengine msimu huu!
 
Hii Simba Sasa Ndo Timu Ya Taifa Ya Tanzania!
Inawezekanaje Mkuu Wa Nchi Na Makamo Wake Wote Mashabiki Kindakindaki Wamnyama?
Waziri Mkuu Mnyama

Spika Wa Bunge Mnyama.

Wazari Wa Habar/utamadun&michezo Ni Mnyama! Tff Wote Wanamsimbazi! Watanzania Wote Wenye Akili Timamu Ambao Cyo Mambwambwa Na Manyani Fc Ni Zemba! Hata Kocha Wa Timu Ya Taifa Stars Na Makocha Wengine East Africa Ni Simba Na Ndomaana Ndairagije Akagoma Kwenda Utopolofour!

Hata Kocha Waliotuambia Anatoka Barcelona Kaze Cedrick Ameingia Mitini Baada Yakuambiwa Asithubutu Kujipeleka Utopolofour Maana Ni Baridi Sana As Kikwete Voice, Jamaa Amekula Zote, Sasa Huyu Kocha Wameleta Anaonekana Anamsongo Wa Mawazo Cjui Itakuaje Masikini.

Ila Sisi Simba Burudaaan

Na Raha Inatunyemelea Na Mwisho

Ipo Siku Kila Mtu Ataishabikiat

Timu Ya Taifa Simba Sports Club.

Wanalunyas, Taifa Kubwa, Mwana Kulitaka Mwana Kulipita Kama Morison Na Bwalya.

Hamia Simba Timu Inayosakata Kabunbu La Viwango Vilivyothibitisa Na Shirikisho La Kabumbu Africa Caf,,,,,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…