Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Mzamiru anapoteza sana mpira.kocha toa Mzamiru ingiza Ndemla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzamiru anapoteza sana mpira.kocha toa Mzamiru ingiza Ndemla
Haha kabisanaona morrisoni analengo lakuwaumiza nyoyo wanayanga, sipati siku tukikutana nao.
Tena hayo maneno nakumbuka niliyasema mimiSi ndio huyu huyu wakati yupo Yanga aliambiwa hana namba Simba?
awe makini wasijempiga misumari maana vyura kwa nongwa hawajambo.Haha kabisa
Kabisa, nami ameeanza kunikera.hapa ndio uzembe wa kocha wetu unapokera. Huyu Mzamiru anatafuta nini humo dimbani
Msaada app ya kustream mpira aseehJaman Morrison anambio sana
halafu haongei na wachezaji,huyo Kapombe yupo upande wake ila hamwambii asigeuka winga kulia kuna shimoKabisa, nami ameeanza kunikera.
Kama yule kocha wa Everton.halafu haongei na wachezaji,huyo Kapombe yupo upande wake ila hamwambii asigeuka winga kulia kuna shimo
Anajua kuliko Konde boy?Ila BM3 anaujua.
Wote wanajua. Mmoja kama messi mwingi kama Cr7.Anajua kuliko Konde boy?
Nani Messi sasa hapo mkuu? [emoji23][emoji1787]Wote wanajua. Mmoja kama messi mwingi kama Cr7.
Mkuu unaonaje wakipangwa wote oct.18?Wote wanajua. Mmoja kama messi mwingi kama Cr7.
Messi yupo Barca. Nmesema kama.Nani Messi sasa hapo mkuu? [emoji23][emoji1787]
Barca ashatokaMessi yupo Barca. Nmesema kama.