Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Tabora: Tundu Lissu (CHADEMA), azindua Kampeni Kanda ya Magharibi katika viwanja vya Chipukizi


Nilikuwepo kwenye mkutano huu....

Huyu jamaa siyo wa kawaida.....

Watu kwa hiari yao walijazana kwenye uwanja huu wa wazi na kumsikiliza kwa makini mgombea...

Hoja na sera zake anazifafanua ktk lugha rahisi kueleweka...

Watu walikuwa wanafurahia kila dakika...

Alitumia dakika kama 58 hivi kuhutubia...

Lakini watu walikuwa na hamu ya kuendelea kumsikiliza zaidi na zaidi...

Hoja ya ujenzi wa uwanja wa ndege kimataifa Chato itamtesa sana Magufuli na watetezi wake...

Kwa hakika kabisa Chato International Airport ni 100% pure example ya ufisadi wa Magufuli...!!
 
Mradi wa maji toka ziwa victoria umeshammaliza. Ccm wanazoa kura zote Tabora. Maana huu mradi umewapa credit kubwa sana ya kisiasa Ccm. Akina mama wa kinyamwezi hawawezi kumsikiliza mtu anaesema kuletewa maji tabora ni maendeleo ya vitu.
Amepeleka maji kwa kodi zetu wananchi, si kwa pesa zake wala za ccm. Ni wajibu wa serikali kutumia kodi inayokusanya kupeleka huduma kwa walipakodi. Si jambo la kupongezwa wala kusifiwa. Hata farao alikusanya kodi na kutoa huduma kwa raia wake, lakini hakuwa kiongozi mzuri.
 
Na atabaki madarakani kwa nguvu ya kodi yenu
 
Hivi Magu kusema atampa kazi Lissu sio rushwa kweli...
 
Pumbavu huna akili. Je kama angezitafuna maana hakuna wa kumzuia.
 
Polisi nasikia walimpitishia barabara za ukimyaaa, ili watu wasione kama Lissu kaingia. Ila imeshindikana kuzuia. Watu waliposikia tu wakajumuika kumsikiliza mkombozi wao.

Lissu hazuiliki jamani [emoji134]‍♀️. Muwe wapole tu. Chaguo la wananchi huyo.
 

You nailed it Mkuu. Kila herufi yako imejaa ukweli mtupu.
 
Mke wa Lissu sasa ananifurahisha sana. Hivyo hivyo anavyoongea ndio inatakiwa.
 
Mradi wa maji toka ziwa victoria umeshammaliza. Ccm wanazoa kura zote Tabora. Maana huu mradi umewapa credit kubwa sana ya kisiasa Ccm. Akina mama wa kinyamwezi hawawezi kumsikiliza mtu anaesema kuletewa maji tabora ni maendeleo ya vitu.
Maji ya ziwa Victoria ni kaa la moto. Bei yake ni kubwa. Kwa sasa mambo ya bei yamefunikwa ili uchaguzi upite. January inakuja.
 
Utaielewa tu October 28
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…