binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Zamu ya kufanya nini? Kama kura hazijamtosha? Unless atuambie kuna kitu gani anakifahamu!Chebukati anasubiri giza, afanye yake alale mbele.
Inawezekana Ruto amekataa kucompromise na yeyote na Raila anaamini zamu yake sasa.
Huyu hapa akijongea BomasBaba ako wapi?
SureRuto will be the president after odinga
Watu vigeu geu ndivyo walivyoNamkubali Odinga ila ana matatizo, alisusa debate ,Leo anasusa tena kuhudhuria ,huyu mzee ana matatizo siyo bure
Namkubali Odinga ila ana matatizo, alisusa debate ,Leo anasusa tena kuhudhuria ,huyu mzee ana matatizo siyo bure
Usitoe shutuma bila kujua mambo. Hali imekuwa hivyo kwa sababu Raila hajataka kutokea na maajenti wake wamesema ni wao wamemwambia asije ili kwanza wapitie fomu zote na waridhike kuwa hesabu ziko sawa. Hali ya Kenya siyo kama Tanzania makosa kidogo tu yanaweza kuzua vurugu kubwa. Tume inataka kusiwepo na tention yoyote wakati wa kutangaza kwani vurugu zinaweza kutokea.Hata huyu mwenyekiti wa tume anamatatizo sana....hafai kwa kweli...pengine hata yeye ni mkabila tu....sasa kwann utangaze muda matokeo alafu upoteee kabisa usionekane
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Death KissingFrom what the Azimio people are doing, it's clear that the hustler has won. This is so unbelievable. Serikali imemsupport Odinga ameshindwaje aisee. Inafikirisha.